KINGAZI BLOG: 06/27/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, June 27, 2016

Baba ajiweka tatoo kufanana na mwanawe aliyefanyiwa upasuaji.


  Baba na mtoto
Baba wa miaka 28 nchini Marekani amenyoa kichwa chake na kuweka mchoro wa tatoo unaofanana na kovu la kichwa cha mwanawe aliyefanyiwa upasuaji.
Josh Marshall,ambaye anatoka Kansas aliingia katika shindano la kila mwaka linaloendeshwa na shirika la hisani kuhusu saratani ya watoto na kushinda taji la #BestbaldDad{baba mwenye kipara kizuri} wikendi iliopita.
Akikiri aliandika: Mimi na mwanangu katika hafla ya St. Baldtricks huko Wichita Kansas.
Niliwekwa tatoo ya kovu la mwanangu ili kuimarisha motisha yake.
Shindano hilo huwashirkisha watu wa familia na marafiki wa mtoto aliye na saratani.
 
Baba na mwanawe
Mwanawe alipatikana na uvimbe katika ubongo mnamo mwezi Machi.
''Mwanangu alikuwa na wasiwasi mwingi baada ya kufanyiwa upasuaji,alijihisi kama hayawani'',alisema Josh Marshal

Black Coffee ambwaga Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET


DJ raia wa Afrika Kusini ambaye pia ni producer maarufu kama Black Coffee, amewabwaga wanamuziki maarufu wakiwemo WizKid, Yemi Alade na Diamond Platnumz na kushinda tuzo la kimataifa la usanii la BET.
Mwaka uliopita Black Coffee alitoa albamu yake ya tano, Pieces of Me, na kupata mashabiki wengi.
Mwaka 2015 na 2016 umaarufu wake uling'aa katika ulingo wa kimataifa maeneo tofauti kote duniani
Tuzo hilo llitangazwa kupitia kwa mitandao ya kijamii.

Hii hapa Orodha nzima ya washindi wa tuzo za BET 2016,

Beyonce ameonyesha thamani yake kwa kuchukua tuzo tano za BET zilizofanyika usiku wa Juni 21 kwenye ukumbi wa Microsoft Theater, Los Angeles.

Queen Bey amefanikiwa kuibuka na tuzo hizo ikiwemo ya Best Female R&B/Pop Artist, Video of the Year, Coca-Cola Viewers Choice Award, Centric Award huku wasanii wengine waliofanya vizuri kwenye tuzo hizo ni pamoja na Drake, Rihanna na wengine.

Hii ndiyo orodha kamili ya washindi.

Best Female R&B/Pop Artist
Beyonce (WINNER)
Adele
Andra Day
K. Michelle
Rihanna

Best Male R&B/Pop Artist
Bryson Tiller (WINNER)
Chris Brown
Jeremih
The Weeknd
Tyrese

Best Group
Drake & Future (WINNER)
2 Chainz & Lil Wayne
Puff Daddy & the Family
Rae Sremmurd
The Internet

Best Collaboration
Rihanna ft. Drake – “Work” (WINNER)
Big Sean ft. Chris Brown & Ty Dolla $ign – “Play No Games”
Big Sean ft. Kanye West & John Legend – “One Man Can Change the World”
Future ft. Drake – “Where Ya At”
Nicki Minaj ft. Beyonce – “Feeling Myself”

Best Male Hip Hop Artist
Drake (WINNER)
Fetty Wap
Future
J. Cole
Kanye West
Kendrick Lamar

Best Female Hip Hop Artist
Nicki Minaj (WINNER)
Dej Loaf
Lil Kim
Missy Elliott
Remy Ma

Video of the Year
Beyonce – “Formation” (WINNER)
Bryson Tiller – “Don’t”
Drake – “Hotline Bling”
Kendrick Lamar – “Alright”
Rihanna ft. Drake – “Work”

Video Director of the Year
Director X (WINNER)
Benny Boom
Chris Brown
Colin Tilley and the Little Homies
Hype Williams

Best New Artist
Bryson Tiller (WINNER)
Alessia Cara
Andra Day
Kehlani
Tory Lanez

Dr. Bobby Jones Best Gospel/Inspirational Award?
Kirk Franklin (WINNER)
Anthony Brown & Group Therapy
Erica Campbell
Lecrae
Tamela Mann
Tasha Cobbs

Best Actress
Taraji P. Henson (WINNER)
Gabrielle Union
Kerry Washington
Tracee Ellis Ross
Viola Davis

Best Actor?
Michael B. Jordan (WINNER)
Anthony Anderson
Courtney B. Vance
Idris Elba
O’Shea Jackson Jr.

YoungStars Award
Amandla Stenberg (WINNER)
Quvenzhane Wallis
Silento
Willow Smith
Yara Shahidi

Best Movie
Straight Outta Compton (WINNER)
Beasts of No Nation
Concussion
Creed
Dope

Sportswoman of the Year
Serena Williams (WINNER)
Cheyenne Woods
Gabrielle Douglas
Skylar Diggins
Venus Williams

Sportsman of the Year
Stephen Curry (WINNER)
Cam Newton
Kobe Bryant
LeBron James
Odell Beckham Jr.

Coca-Cola Viewers’ Choice Award?
Beyonce – “Formation” (WINNER)
Bryson Tiller – “Don’t”
Chris Brown – “Back to Sleep”
Drake – “Hotline Bling”
Future ft. Drake – “Where Ya At”
Rihanna ft. Drake – “Work”

Centric Award
Beyonce – “Formation” (WINNER)
Andra Day – “Rise Up”
K. Michelle – “Not a Little Bit”
Rihanna – “BBHMM”
The Internet – “Under Control”

Best International Act Africa?
Wizkid (Nigeria) (WINNER)
AKA (South Africa)
Black Coffee (South Africa)
Cassper Nyovest (South Africa)
Diamond Platnumz (Tanzania)
Mzvee (Ghana)
Serge Beynaud (Cote D’Ivoire)
Yemi Alade (Nigeria)

Best International Act UK
Skepta (WINNER)
Kano
Krept & Konan
Lianne La Havas
Stormzy
Tinie Tempah

Rais Magufuli ameteua wakuu wa wilaya 139, mabadiliko madogo kwa wakuu wa mikoa

Nafasi za Ajira kutoka BRAC

Job Vacancy: Head of Internal Audit

Source The Guardian, 24 TH June 2016

Head of Internal Audit
BRAC is one of the world largest development organization has extensive development program globally, BRAC in Tanzania seeking application from competent, dynamic and self-motivated individual to fill up the position ‘with the following specifications:

Duties and Responsibilities:

Prepare Individual audit plan, monthly audit plan and annual Internal audit plan”Advise and supervise the audit activities carried out by the audit team as per the annual as well as monthly ‘Internal audit plan.Finalize the audit reports, quarterly summarized reports, target and achievement report and deliver to respective management.Discuss with management team, respective program managers in respect of risk identification, risk register completion and timely submission to, the program anchors for review of Risk Registers.Perform the annual performance appraisal for internal auditors of the department.Ensure the preservation of various documentations for audit work.Conduct departmental quarterly meeting to discuss on the issues of internal audit department and discussion about other program issuesMonitor’ internal auditor’s performance i and the training needs requirement; arrange and conduct training activities for them.Preparation of reports on regulatory and Donors Compliance Checklist and Submission to respective department.

Experience and educational requirements

At least eight years of professional experience in the similar position. Masters/Graduate in B.Com, Accounts, Finance or any other related field, CPA is an added advantage

Job location: Dar es Salaam

APPLICATION INSTRUCTIONS:

If you feel you are the right match for above mentioned position, please apply to:

HRD, BRAC Tanzania Finance limited 
Plot #2329, Block-H Mbezi Beach 
P.O.Box 105213, 
Dar Es Salaam.

Nafasi za Kazi Kutoka Aga Khan Education Service, Tanzania


Job Vacancy : A NECTA Coordinator 

Source Dailynews,24th June 2016
Aga Khan Education Service, Tanzania

CAREER OPPORTUNITIES

Aga Khan Education Service, Tanzania (AKES, T), is a private, not for profit, education company registered under the companies Act and operates four schools in Tanzania offering the International Baccalaureate PYP /Diploma Programme, Pre IGCSE at grade 7 -9, IGCSE at Grades 10 and 11 and the NECTA curriculum from Form 1 – 6. AKES is currently seeking local qualified, dynamic, open-minded, committed, effective and experienced candidates to fill the following vacant teaching cum non-teaching positions:

• Special Needs Teachers with experience and qualifications to teach students with exceptional needs
• A NECTA Coordinator with necessary qualifications i.e. knowledge of the requirements, curriculum and assessment.

The ideal candidates must be qualified with relevant academic documentation and a minimum of 3 years’ experience. Young dynamic graduates can apply whereby if successful AKES,T would provide the required initial training to support the graduate to gain the require experience.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Applicants should send a letter of application describing experience, along with detailed Curriculum Vitae, and birth certificates and contact information of three confidential referees, including current or previous Line Manager/Supervisor

It should be addressed to:
Human Resources Department,
Aga Khan Education Service,
P. O. Box 125, Dar es Salaam.

 

SPECIAL NEEDS TEACHERS 

Source Dailynews, 24th June 2016
Aga Khan Education Service, Tanzania

CAREER OPPORTUNITIES

Aga Khan Education Service, Tanzania (AKES, T), is a private, not for profit, education company registered under the companies Act and operates four schools in Tanzania offering the International Baccalaureate PYP /Diploma Programme, Pre IGCSE at grade 7 -9, IGCSE at Grades 10 and 11 and the NECTA curriculum from Form 1 – 6. AKES is currently seeking local qualified, dynamic, open-minded, committed, effective and experienced candidates to fill the following vacant teaching cum non-teaching positions:

• Special Needs Teachers with experience and qualifications to teach students with exceptional needs
• A NECTA Coordinator with necessary qualifications i.e. knowledge of the requirements, curriculum and assessment.

The ideal candidates must be qualified with relevant academic documentation and a minimum of 3 years’ experience. Young dynamic graduates can apply whereby if successful AKES,T would provide the required initial training to support the graduate to gain the require experience.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Applicants should send a letter of application describing experience, along with detailed Curriculum Vitae, and birth certificates and contact information of three confidential referees, including current or previous Line Manager/Supervisor

It should be addressed to:
Human Resources Department,
Aga Khan Education Service,
P. O. Box 125, Dar es Salaam. Please ensure you include an email address and a telephone contact and Skype I.D.

Meli ya Mizigo Yazama Bandari ya Zanzibar


Zoezi la uokoaji likiendelea eneo ilipozama meli ya MV Happy.

Meli ya mizigo iitwayo MV Happy iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kwenda Zanzibar imezama leo asubuhi kwenye Bahari ya Hindi eneo la Chumbe, Unguja.


Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo ni kwamba meli hiyo ilianza kuzama majira ya saa 10 alfajiri na kufikia saa moja asubuhi ilikuwa imezama kabisa ndani ya maji.

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo

Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo kuanzia jana.

Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imesema Rais amemteua Dk Charles Mlingwa ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Siha kujaza nafasi hiyo.

Mulongo anakuwa mkuu wa mkoa wa pili kutimuliwa kazi na Rais Magufuli baada ya Anne Kilango Malecela aliyekuwa Shinyanga.

Hata hivyo, tofauti na Kilango ambaye alitimuliwa kutokana na kutoa taarifa potofu kuhusu watumishi hewa mkoani mwake, Ikulu haikutoa sababu za kutenguliwa kwa uteuzi wa Mulongo.

Mulongo ameondolewa madarakani miezi sita baada ya Rais Magufuli kutengua uteuzi wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Dk Faisal Issa baada ya kutofautiana na Mulongo wakati huo akiwa mkuu wa mkoa huo.

Baada ya kumwondoa Dk Issa na nafasi yake kujazwa na aliyekuwa Kamishna wa Polisi, Fedha na Utawala (CP) Clodwig Mtweve, miezi miwili baadaye Rais alimbadilisha Mulongo kituo cha kazi akimhamishia Mara.

Alipoulizwa jana jinsi alivyoipokea hatua hiyo iliyochukuliwa dhidi yake Mulongo alisema: “Sina taarifa rasmi.”

Kabla kuhamishiwa Mara akitokea Mwanza, Mulongo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Alishika nafasi hiyo baada ya kupandishwa cheo akiwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo.

DIAMOND PLATINUMZ AUTAMBULUSHA WIMBO WAKE MPYA NA P-SQUARE


Kwenye mashindano lazima patakuwa na mshindi wa pili na watatu na kukubali kuanguka ni kawaida, ila kuamka  baada ya kuanduka ndio kazi yenyewe ambayo kwa sasa Diamond anafanya kwa  kutoa kazi ambayo yeye anaimani ni bora zaidi baada ya kupoteza tuzo ya BET kwa msanii Black Coffee wa Afrika Kusini.

Haya maneno ya Diamond kuhusu wimbo wake mpya aliyoandika Twitter:

"Haya Ongeeni Vizuri na waganga wenu Baada ya siku nne simba Anaachia ile Mashine"


PICHA 13:Muonekano wa baadhi ya mastaa kwenye fainali tuzo za BET

Usiku wa June 26 ndio tuzo za muziki za  BET zinamalizika kutolewa  kwa mwaka 2016. Kila mtu ametokelezea kivyake mtu wangu. Hizi ni baadhi ya picha za wasanii katika Red na Gray carpet pamoja na nje ya ukumbi ambao tuzo zinatolewa Los Angeles Marekani.

Diamond

A.K.A

Alicia Keys

DJ Khaleed

                                                                                         Jiddenna

Karueche

French Montana

Nandi

Yemi Alade

Chris Brown

 

 

Neyo

Akon

Nicky Minaj & Meek Mill

 
Millard Ayo

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 27 KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO NA UDAKU.


Karibu, tunakuletea vichwa vya habari katika maazeti ya Tanzania Leo Juni 27 usisahau kukaa karibu kwa kulike page yangu ya Facebook hapo chini uwe wa kwanza kpata habari mpya





 

Gallery

Popular Posts

About Us