KINGAZI BLOG: 06/22/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, June 22, 2016

Nape: Nilitishiwa maisha yangu na watu wasiojulikana

.

Dodoma. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wakati wa mchakato wa chama kurejesha imani kwa wananchi hali ilikuwa ngumu kwake hadi kufikia kutishiwa maisha na watu wasiojulikana.

Mbali ya watu hao kumpigia simu za vitisho nyakati za usiku, pia walikuwa wakimchafua kupitia mitandao ya kijamii lakini anamshukuru Mwenyezi Mungu alivuka salama na chama kimevuka salama.

“Tulipoanza kuzunguka kujenga chama nilitukanwa sana. Watu waliwekeza kunichafua. Watu hao niliokuwa nawanyooshea kidole hawakufurahishwa na hatua ile hivyo wakaweka mkakati wa kutaka kunifukuzisha ndani ya chama na ilifika hatua wakawa wananichafua katika mitandao ya kijamii.Nikaamua kujitoa huko mpaka leo hii nimeamua kujitoa katika mitandao na kubaki katika twitter pekee kwa kuwa unaweza kutambua mtumiaji,” alisema Nape.

Akizungumza katika mahojiano maalumu nyumbani kwake mkoani Dodoma, Nape ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ambaye aliteuliwa kwa mara ya kwanza kushika nafasi hiyo mwaka 2011 Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alipounda sekretarieti mpya chini ya Katibu Mkuu, William Mukama alisema watu hao walifikia kudai yeye si mtoto wa Mzee Moses Nnauye.

Kamati Kuu chini ya Mukama ilipita mikoani na kaulimbiu ya kuvua gamba iliyoasisiwa na chama kwa lengo la kuwaondoa watuhumiwa ufisadi lakini iliondolewa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2012 ikaundwa mpya chini ya Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana.

Kukata vigogo

Katibu huyo wa uenezi alisema changamoto kubwa waliyokutana nayo katika mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM ilikuwa kukata majina ya waliokuwa viongozi wa Serikali ambao walijitokeza kugombea nafasi hiyo.

Nape alisema kumpata mgombea wa kupeperusha bendera ya chama hicho kongwe ilikuwa kazi nzito baada ya viongozi mbalimbali wa juu wa Serikali ya Awamu ya Nne kujitokeza wakiwamo, aliyekuwa Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal, Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda na aliyekuwa Jaji Mkuu Augustino Ramadhani.

Vigogo wengine waliowapa wakati mgumu CCM ni aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu na Nne, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, na mawaziri kadhaa lakini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu waliweza kutimiza wajibu wao.

“Kuwaondoa viongozi waliokuwa madarakani ni sawa na kutafuna jongoo kwa meno lakini hatukutetereka na hatimaye tukapata majina matano ambayo nayo yalipigiwa kura na kupatikana jina la mgombea mmoja,” alisema.

“Ingawa vikao vilikuwa vya moto sana na kulazimika kukesha mpaka usiku, kila mmoja alipata nafasi ya kujadiliwa na kutendewa haki siyo kama ilivyovumishwa kuwa wagombea wengine hawakujadiliwa,” alisema.

Nape alisema katika chama chao kila mwanachama ana nafasi sawa hivyo haikuwasumbua kuangalia majina ya watu hao wala nyadhifa zao badala yake waliangalia sifa za mgombea mwenyewe ndani ya chama.

Alisema anashukuru Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Jakaya Kikwete kwa kuwa na kifua cha kuhimili vishindo na hiyo ndiyo siri ya kufanikisha mchakato huo kwa kuwa ni mtoto wa CCM hivyo ilikuwa rahisi kumkata yeyote kwani uzoefu wake ndani ya chama ulisaidia.

Nape alisema itachukua muda mrefu kupata kiongozi kama yeye lakini pia hawawezi kupuuza kazi iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Abdulrahman Kinana na wazee waliorekebisha mambo na kuvuka salama kwa kuwa hali ilikuwa mbaya.

Nilijua nisiyempenda

Kuhusu mshindi alivyopatikana alisema alikuwa anamjua asiyempenda na alikuwa anajua sifa za anayempenda.

“Mimi naamini katika misingi ya hoja siamini katika ufisadi hivyo nilijua wale wote ambao waliokuwa na tuhuma za kifisadi ndani ya chama chetu wasingepata nafasi katika mchakato ule ingawa sikujua hasa nani atashinda katika kinyang’anyiro kile,” alisema

Muswada wa habari

Akizungumzia muswada wa habari, Nape ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo alisema upo katika hatua za mwisho ili upelekwe bungeni.

Kwa mujibu wa Nape, muswada huo utafikishwa bungeni kabla ya mwaka huu kwisha na kwamba utakuwa mzuri na wenye manufaa kwa waandishi wa habari.

Bunge laivu

Nape alisema suala la kuzuia kurushwa moja kwa moja kwa matangazo ya Bunge si lake na kwamba lilipitishwa na wabunge wenyewe. “Mimi ni msimamizi wa Serikali. Watu wanapotosha, nilichofanya ni kulinusuru Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), kwa miaka 10 mfululizo Bunge lilishindwa kuwalipa fedha zao ambazo ni Sh4.5 bilioni kila mwaka.

“Hili liwe fundisho kwa wabunge, kuna vitu wabunge wanapitisha hawavijui baada ya muda wanaona madhara yake wanaanza kulalamika kumbe walivipitisha wenyewe...Suala la Bunge kuanzisha kituo cha televisheni pia walilipitisha wenyewe, leo hii Katibu wa Bunge anavyotumia fedha kama ingekuwa haipo katika bajeti wasingemwacha,” alisema.

Mahakama Yamkuta na Kesi ya Kujibu Askari Mtuhumiwa wa Mauaji ya Mwangosi

 Daud Mwangosi enzi za uhai wake.

Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mjini Iringa, Pasificus Cleophace Simon katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daud Mwangosi.

Daud Mwangosi aliuawa Septemba 2, 2012 katika Kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.

Mwangosi kabla ya kuuawa.

Askofu Gwajima Kusakwa na Interpol Popote Alipo

Siku moja baada ya wakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala kuwaandikia barua Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amesema hawafanyi kazi kwa kufuata barua ya askofu huyo.

Sirro alithibitisha kupata barua hiyo, lakini akasema kuwa wanaendelea kumtafuta popote pale alipo na wakifahamu watamtia nguvuni.

Sakata la kutafutwa kwa kiongozi huyo linazidi kushika kasi kutokana na sintofahamu ya kubaini alipo, ikiwamo kambi ya muda wa saa saba iliyowekwa na polisi nyumbani kwa Gwajima, ambayo haikuwa na mafanikio wiki iliyopita.

Baada ya sintofahamu ya wiki nzima huku kukiwa na uvumi kuwa yupo nje ya nchi na wengine wakidai yupo nchini, juzi wakili Kibatala aliwasilisha barua Polisi akidai mteja wake yupo nje ya nchi na aliposafiri hakuwa anajua kama anatafutwa na polisi.

Katika barua hiyo Kibatala alisema ameelekezwa na mteja wake kufikisha ujumbe huo na akirejea atajisalimisha polisi kuitikia wito huo.

Jana Kibatala alisisitiza kuwa: “Kwa sasa yupo nje ya nchi akihubiri injili, alisafiri kabla ya kupata taarifa kuwa anatafutwa na polisi ana mashauri katika Mahakama ya Kisutu Julai Mosi, hivyo kabla ya hapo atakuwa amesharejea.”

Lakini Sirro alisema barua hiyo ni kujitetea ambako hakuna maana na wanachofanya wao ni kuendelea kumtafuta badala ya kusubiri ajisalimishe kama ulivyoandikwa waraka huo.

“Suala la kutupa taarifa za kujifanya alikuwa hafahamu kama anatafutwa si kweli, tukifahamu mahali alipo hata sasa hivi tunakwenda kumkamata, hatufanyi kazi kwa kufuata maelekezo yake,” alisema Kamanda Sirro.

Sirro alifafanua kuwa bado wanafuatilia kubaini kama yupo nchini au nje ya nchi, wakitambua ni nje nchi atakamatwa huko huko kwa msaada wa Interpol.

“Hatujafahamu alipo hata huko nje Interpol wapo kuwashughulikia watu kama hawa wanaofanya ukorofi nchini na kukimbilia nje ya nchi wakidhani wanatatua tatizo, kumbe wanaliahirisha,” alisema Sirro.

MAAAJABU YA MWAKA!!!!! MTOTO WA AJABU MWENYE VICHWA VIWILI AZALIWA GEITA

WANANCHI katika kijiji Kaseke kata ya Kasami wilayani na Mkoani Geita wamekubwa na taharuki na wasiwasi mkubwa mara baada ya Geresi Saidi( 20) Kujifungua mtoto wa kiume mwenye vichwa viwili vinavyofanana sura.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jumapiri majira ya saa sita usiku katika katika kituo cha afya katoro alikwenda kujifungua muda mfupi baada ya kupata uchungu.

Channel Ten ilifika kijiji hapo na kushudia viumbe hao huku mamia yawananchi kutoka kila kona wakifika na kushudia tukio hilo na hapa mashuhuda wakaeleza ilivyokuwa.
Baba mzazi wa mtoto huo Stefano Lugisha amesema pamoja na mke wake kujifungua mtoto huyo lakini ana imani kama ni mipango ya mungu kama amavyoeleza.
Diwani wa kata hiyo Anderea Karamura pamoja na mwenyekiti wa kijiji Zakaria Rukas wamewataka wananchi wao kutoliusisha tukio hilo na imani za kishilina swara hilo.
Akiongea kwa njia ya simu mganga kitua hicho aliyempokea mama huyona kumzalisha Peter Janga amedhibitisha kutokea kwa na kwamba uchunguzi wa kina unafanyika ili kubaini nini tatizo kwa mama huyo ambaye hiyo ilikuwa ni nzao ya kwanza na kuongeza kuwa kiumbe hicho kilipoteza maisha baada ya muda mfupi.

Kitwanga Afunguka Kwa Mara ya Kwanza......Asema haya , Wiki Ijayo atarajia Kutua Bungeni.


ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema yupo imara na amerejea nchini akiwa na matumaini mapya.

Pamoja na hali hiyo, amesema kuwa hivi sasa anajipanga kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha anaisaidia nchi pamoja na wapigakura wake na kuwa na maendeleo ya kweli na Jumatano ya Julai 29, ataripoti bungeni.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kurejea akitokea nchini Israel ambako alikwenda kwa shughuli zake binafsi.

Alisema licha ya mtihani uliomkuta, kwa sasa yupo imara kwa ajili ya kuwatumikia wapigakura wake kwa kuwawakilisha vema ndani ya Bunge.

“Niko imara kabisa na nina nguvu na matumaini mapya, nimeingia nchini jana (juzi) nikitokea nchini Israel ambako nilikuwa na shughuli zangu binafsi. Unajua mimi ni mtaalamu (wa mawasiliano) na wewe unajua kabla sijaingia kwenye siasa nilikuwa nafanya nini.

“Kifupi ninasema nilikwenda Israel kwa shughuli zangu binafsi kabisa ambazo kwa kipindi cha wiki tatu nilizokuwa huko nimefanya. Hata wanaosema nilikwenda kulia kwa Bwana nao ni mawazo yao, maana unajua ile ni nchi takatifu kutokana na historia yake,” alisema Kitwanga.

Alipoulizwa amepokeaje hatua ya kufutwa kwake kazi na Rais John Magufuli kwa kile kilichoelezwa ni ulevi, alisema kwa sasa hawezi kusemea jambo hilo kwani aliyemteua ndiye mwenye mamlaka ya kumwajibisha.

“Rais ni mtu mkubwa anaweza kufanya jambo lolote ili mradi havunji sheria, hata kilichotokea kwangu ni mamlaka yake halali, ingawa Mungu ndiye muweza wa kila jambo. Mimi ni Mkristo safi, nasi tumefundishwa kusamehe saba mara sabini na kusahau yaliyopita,” alisema.

Akieleza mikakati yake, Kitwanga alisema kuwa baada ya kuripoti bungeni wiki ijayo, atakuwa na ziara ya wiki tano ndani ya jimbo lake ambako atazungumza na wapigakura wake na kueleza yaliyomsibu hatua kwa hatua.

“Sitaki kuingia ndani sana ila mengine nitayasema nikiwa jimboni, lakini si kwa lengo la kubishana na mtu, na uzuri kila hatua ambayo nimepitia hata wapigakura wangu walikuwepo kwa uwakilishi wa madiwani wa Misungwi ambao walikuwa mjini Dodoma,” alisema.

Mei 21, mwaka huu, Rais Magufuli alimng’oa Kitwanga kuhudumu kama Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kutokana na madai ya ulevi, huku taarifa zaidi za ndani zikieleza kuwa alianza kushughulikiwa bila yeye mwenyewe kujua.

CHOMBEZO FUPI: JAMANI ANKO

Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi.
Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea.
Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha.
Madam Jesca alikuwa ni mwalimu aliyekuwa akitufundisha kwa muda tu baada ya kuwa amemaliza kidato cha sita. Wakati huo sisi tulikuwa kidato cha nne.
Somo alilokuwa akitufundisha ni Kiswahili.

Hatimaye mwalimu akatoka na baada ya nusu saa nikaondoka kuelekea nyumbani kwa madam Jesca.
Niliingia baada ya kuwa nimegonga hodi.
“We Joshua mbona muda wa vipindi hivi we umekuja huku..” aliniuliza huku macho yake yakionyesha mshangao wa waziwazi.
Kanga yake aliyovaa ilikuwa imelowana na hivyo kusababisha niuone mstari wa chupi.
Na kama hiyo haitoshi madam Jesca alikuwa ana kitu kingine cha ziada. Awali nilidhani nimekifananisha lakini alipotembea nikahisi ni chenyewe.
Aidha alikuwa amevaa cheni ama la alikuwa ana shanga kadhaa kiunoni.
“Mwalimu nimekuja unifundishe aina za NOMINO”
“Joshua ni lini sasa utaacha vituko, aina za Nomino nyumbani kwangu eeh!!” alinikaripia lakini sikurudi nyuma niliamua kuwa iwe siku hiyo. Siku ya maamuzi yangu!!
“Madam, kwa hiyo unataka nifeli ama….” Nilimuuliza kwa uchungu. Nikauona uso wake ukipunguza makali ya hasira.
“Hebu ni kitu gani huelewi sasa hapa kwenye Nomino,…..” aliniuliza.
Nikatikisa kichwa na kuingiza mtego wangu. Madam mwenyewe hakuwa mkubwa ni basi tu ye alikuwa amenitangulia kieleimu na sasa ni mwalimu wangu.
“Madamu…nitafundishwa nikiwa nimesimama hivi kweli..” nilihoji huku nikitoa tabasamu hafifu sana.
Madam akatembea na kuingia ndani huku akinionyesha ishara ya kumfuata. Nikafanya kama alivyoniambia, nikiwa nyuma yake nikauona utamu halisi wa Madam ambao huwa unajificha katika mavazi yake ya kiualimu.
Alikuwa amegawanyika vizuri, kiuno kilijitenga kivyake na makalio yake yalikuwa katika mlingano sahihi hivyo hata kutikisika yalitikisika katika namna ya kuvutia.
Upesi nikaingiza mkono katika suruali yangu ya shule nikaishusha injini iliyoanza kunyanyuka juu nikaibana vyema katika mkanda ili isije kuniaibisha mbeleni.
Ubaya na uzuri wa chumba cha Madam Jesca ni kwamba kilikuwa kimoja tu, hivyo hakupata fursa ya kubadili nguo aliketi kitandani na kuniruhusu mimi nikae katika kiti.
“Iwe mara ya kwanza na ya mwisho kuingia katika nyumba hii. Shida zote tunamalizia shuleni sawa???” alijaribu kunikoromea. Na hapo nikauona utamu mwingine.
Jesca alikuwa na mwanya!! Mama weee!! Nilikuwa wapi siku zote bila kuuona huu mwanya.
“Nimekuelewa mwalimu!” nilijibu kwa nidhamu.
“Haya ni wapi hukuelewa…’
“Madam usiseme tu sikuelewa yaani siku hiyo sikuwa darasani kabisa…”
“Sasa utoro wako nd’o uje kunisumbua mimi ebo!!!” aling’aka.
“Sio utoro madam….. nilikumbwa na majanga sana…..”
“Yapi uongo tu!!!” alizidi kuwaka….katika namna ya kunisuta…
Na hapo ndipo nilipopataka zaidi. 
“Madam nilipata misiba mfululizo we acha tu, kwanza mdogo wangu, sijakaa sawa kuna rafiki yangu wa tangu utoto naye akagongwa gari…mama ameugua muda mrefu pia madam,,, yaani aargh!! Mwaka huu ni wangu madam mi nitafeli tu na sijui nitakuwa mgeni wa nani, hesabu nimekosa topiki mbili, Chemistry nd’o sijagusa praktiko hata moja…..” na hapo nikasita kisha nikaanza kulia, nililia kiume machozi bila kelele.
Madam akajiingiza mkenge, akanishika na kuanza kunibembeleza. Huu si ndio utamu niliokuwa nautaka sasa….
Alinibembeleza mwisho nami nikajilaza kifuani mwaka.
Wacha wee!! Madam alikuwa na embe dodo kifuani ambazo zilikuwa na joto fulani linalokulazimisha kuendelea kuzilalia hata kama hutaki kulala. Mikono yangu ikazunguka katika kiuno cha madam na kukutana na ile cheni, nikaifyokonoa na kuizamisha katika kiuno chake.
Nikazisikia pumzi zake zikipishana kwa kasi, nikajua nimegusa penyewe.
“Usijali Joshu aaaaah!! Usijali utafaulu sawa eeeh!! Usijali Jo….ooooooH!!! aaaaaaH!!!” he!! Madame alikuwa anazungumza ama analalamika.
Nikatambua kuwa mambo tayari, nikamsukuma ghafla akatua kitandani kwake. Macho yake yalijaribu kunitazama lakini yalionyesha kusinzia kwa huba!!
Kanga ilikuwa imekaa hovyo tu, paja laini likinidxhihaki na kichupi cheupe nacho kikinichungulia na kuniambia karibu!!!
Sikutaka kuwa na papara, nikamrukia na kukutanisha ndimi zetu, akazipokea.
Ebwa ee!! Joto likaongezeka na suruali ikazidio kunibana….
Ni kama alijua vile kuwa jogoo anataka joto, nikaisikia mikono yake ikitafuta mkanda wangu huku ndimi zikiendelea kushambuliana kwa kasi. Akaupta mkanda, akaufungua nami nikajipandisha juu kidogo ili aweze kuitoa suruali vyema.
Akaishusha kidogo kwa mikono kisha akaisindikiza kwa miguu. 
Mara mapaja yakagusana….doh!! nikajihisi nipo ulaya na wazungu wanataka kutoka katika jogoo wangu.
Aibu gani hii wazungu kutoka katika nchi kabla ya uhuru!!! Nikajibana huku na kule huku nikijaribu kukwepesha hisia zangu nisije kuaibika.
Ghafla mkono wa Jesca ukaikamata ikulu vyema, mikono laini kabisa ikaanza kupanda juu na kushuka chini kwa sababu maalumu kabisa.
Lakini kama nilidhani kuwa ile mikono ndo laini kupita kila kitu nilikuwa nimekosea.
Ni kama tulikuwa tunacheza kuwahiana, mimi nilikuwa nimemnyonya masikio, mara akanirukia na kujikunja huku akihema, akaimeza ikulu nzimanziama mama weee!! Nikajikuta napiga kelele kwa mshtuko. Jesca akanishambulia kwqa kasi sana hadi nikakiri kuwa nisipokuwa makini wazungu watatoka kabla sijapewa uhuru. Nikambandua kutoka pale kisha ikawa zamu yangu kutazama chumvi ya uvinza ina kiwango ama imeharibika tayari.
Nikazamisha ulimi na kuanza kufanya upelelezi. Nilipopiga kelele nilidhani nimejiaibisha lakini madam alikuwa zaidi. Sijui kilikuwa kichaga kile. Neno kuu alilorudia mara kwa mara ni ‘yerewiiii na jingine mbombo ngafu…’ kama sikosei ni hayo. Nadhani mchaga yule. Chumvi yake ilikuwa ina ubora, madam alikuwa msafi kupindukia.
Hakuwa akitoa harufu kabisa!!
Maana akina Mwajuma wa mtaani kwetu almanusura nitapike nilipozama siku ile!!
Huyu alikuwa smart haswa!!
Kama ni utamu ndipo huu.
Masikioni utamu, mdomoni utamu, hadi huku kwenye chumvi napo utamu.
Ulikuwa utamu mtupu!!!
Madam kuona mashambulizi yamezidi na yeye akajaribu kupambana…safari hii kidogo aniue huyu dada.
Ebwana!! Umewahi kupulizwa korodani wewe!! Zipulizwe halafu zimezwe kitaalamu…….
Unaweza kuzirai!!! Na usiombe upate mtaalamu wa kuzipuliza na kunyonya unaweza kujifia kitandani ukapatia watu kesi zisizowahusu.
Madam akaninyonya, sijui na mimi nilizungumza kinyakyusa?? Sikumbuki kwa kweli…..
Baada ya hapo hapakuwa na jingine ulikuwa wakati wa kuwarudisha wazungu ulaya ili nibaki huru!!
Kibaba na mama!!! Staili ya kuwarudisha wazungu wa kwanza wenye kiherehere!!! 
Nikajikunja na kuushika mguu wake nikaunyanyua juu..nikaingia golini. Haya nafungaje sasa…..
Huyu nakuna kushoto sana ambapo wasichana wengi wamezoea kwa sababu mashine nyingi za wanaume huwa zimeegemea kushoto…..nikishamkuna kushoto alipozoea nahamia kulia ambapo najua hajawahi kukunwa vizuri.
Kweli nikaanzia kushoto, nikakwangua kama mara ishirini, nilipohamia kulia. Madame akapiga kelele za utamu kwa nguvu. Nikatamani kumziba mdomo lakini nikajua huo ni utamu umempagawisha!!! Na mimi lazima niwatoe wazungu ndo nitajua hayo mengine.
Nikamkunja zaidi huku nikizidi kukuna kulia……..nikawakontrol wazungu wasitoke ili aendelee kufaidi.
“Baby iam coming…..iam coming baby…..” nikamsikia akilalamika kimombo, haya huwa nayasoma gazetini huko nikajua kuwa amekaribia mshindo.
“Jamani ankoo!!” nikamsikia akizidi kulalamika
Nikazidi kupampu kwa juhudi ili asinisahau tena maishani mwake.
Ile wazungu wanataka kuja na yeye akajipandisha juu zaidi. Akanisukuma kwa nguvu.
He!! Mara nikajikuta hewani, nikataka kurudi chini ikawa ngumu. 
Mara macho yakafumbuka, nilikuwa nimeanguka na kiti changu darasani, wanafunzi walikuwa wanapiga kelele.
Wengine wakinizomea, :: wakinisikitikia,,,,,, ile kujitazama suruali yangu ilikuwa imevimba haswa na wasichana walikuwa wakinitazama.
“Joshua yaani unaota mchana kweupe hivi mdogo wangu?? Tena unakoroma kama kondoo looh!!” lilikuwa swali kutoka kwa madam Jesca. Ebwana eeeh!! Ilikuwa aibu, kichwa kikaanza kuuma nikatambua kuwa nilijibamiza vibaya nilipoanguka. Na mawalimu niliyemuota nd’o kilikuwa kipindi chake sasa!! KISWAHILI

Looh!! Yaani utamu wote ule kumbe nilikuwa naota Joshua mimi aaargh!!!
Japokuwa ilikuwa ndoto lakini ule ulikuwa UTAMU MTUPU…..
Sema ilikuwa noma sana maana nilitaniwa sana hadi shule nzima ikajua kuwa niliota nafanya mapenzi nikashtuka nishajimwagia tayari!!!

MWISHO!!:::

Lil Wayne - Skate It Off (Official Video) | Download Mp4


http://www.youtubeinmp4.com/redirect.php?video=jLpkYHCKXHk&r=sFBvf6KOqaR6z8nA0%2BAPZlpITL799RBPatXUJf0OgSU%3D

CASAR BABY - WANANUNA(AUDIO)



Yamoto Band Ft Ruby - Suu(AUDIO)

MWASITI FT LINAH - UNANIANGALIA(AUDIO)

 Brand new  #HitTrack from  Mwasiti almas ft Linah Sanga here the link you can download for free.

CLICK HERE TO DOWNLOAD

Hizi hapa Mbinu Za Kufanya Kama Mwanamke Hataki Kujibu Texts Zako!!!zisome hapa















Unafukuzia mwanamke mzuri mnaanza kuzungumza. Mnachukua muda wa dakika 20 hadi 30 kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake.

Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa kujibu texts zako. Unabaki ukijiuliza maswali ni kitu gani ambacho umefanya ambacho umekosea. Ok labda anaweza kuwa yupo buzy unampa muda kiasi ajibu text zako...unangojea masaa, siku, wiki mpaka inafikia wakati unagundua kuwa amekupuuza. Kwa nini hajajibu text zako?

So kwa nini hakujibu text zako?

Katika situation nyingi ni kuwa sababu kuu ambayo amekataa kujibu texts zako ni kuwa haukumpendeza mara ya kwanza ulipokutana naye. Ok labda sababu nyingine inaweza ni kuwa ameibiwa simu yake wakati alipokuwa akitext na wewe barabarani ama kitu kingine kama hicho, lakini hapa acha tumakinike na hatua ya kwanza uliokutana naye...yaani first impression ambayo unakudana na mwanamke yeyote.

1. Hakikisha unampendeza mara ya kwanza unapokutana naye
Anaweza kuwa hana muda mrefu wa kukaa na wewe ili akutambue zaidi so kile kitu ambacho unahitaji kufanya ni kuwa lazima uuonyeshe upendo wako kwa kuwa mpole, mkarimu na mtulivu. Hii itamfanya yeye kumakinika na labda kutaka kukufahamu. Hakikisha kuwa wakati unapoongea na yeye tumia mbinu za kuonyesha kuwa ungependa kukutana na yeye wakati mwingine. Kama hakuonyesha dalili zozote za kukuelewa basi hata kama atakupatia namba yake ya simu fahamu ya kwamba itakuwa ni kazi bure

2. Taja sababu zako za kuongea na yeye
Mfano: Nimefurahia sana kuongea na wewe. Kusema kweli nimependa maonezi yetu machache. Nataka kwenda lakini naonelea wikendi nitakutext tukutane ili tuongee tena. Hapa utakuwa umeeleza ajenda yako kwake hivyo ukianza kuchat na yeye baadae haitakuwa vigumu kwake kukujibu.

3. Hakikisha kuwa unamtumia text wakati ufaao
Ukiomba namba ya simu kwa mwanamke inamaanisha kuwa wewe umeonyesha intrest kwake vilevile mwanamke akikupatia namba yake ya simu inamaanisha kuwa labda itakuwa amependezwa na wewe. Lakini je, ni muda upi unaotakikana hadi umtext mwanamke huyo.
Wanawake wanapenda kuona wanababaikiwa na kufukuziwa. So usijaribu kumtext hapo hapo wakati amekupatia namba yake. Hakikisha umejibatia shughli nyingi ili usahau kabisa kama uchukua namba kwa mwanamke. Masaa mazuri ambayo yangekuwa sawa ya kumtext ni baada ya masaa 24 baada ya kuchukua namba yake. Hii itamfanya mwanamke yeyote kujiuliza maswali ya kwa nini umechukua muda mrefu kumtext. Itamfanya kuingiwa na maswali ya kama: kwani hajapenda chat yangu? yuko na mwingine? nk. Ukichukua muda huu mrefu hadi kumtext, itakuwa rahisi kwake kukujibi.
ONYO: Hakikisha ya kwamba haupitishi zaidi ya siku tatu kwani anaweza kukusahau kwa haraka ama kuona unampotezea wakati wake.

4. Kitu cha kuandika kwa text yako ya kwanza
Messages za kwanza ambazo utazituma kwa mwanamke zitachangia pakubwa kuona kama wewe uko uko interesting ama unaboa. Unaweza kuuharibu mchezo mzima kama iwapo utaanza kumtext na mambo ambayo hayana manufaa kwake. Kile kitu unachohitajika kufanya hapa ni kuonekana hauna haraka na ujaribu kutumia lugha za kirafiki. Mfano unaweza kujaribu kumtext swala ambalo aliligusia kwa chat iliyopita. Labda aliongea kuhusu kwenda shopping na nduguyake, so swali lakini linaweza kuwa: Je ile shopping yenu na nduguyako iliendaje?. Hii itamfanya kuwa interested na wewe manake ataona ya kuwa ulikuwa umemakinika wakati mlipokuwa pamoja. Hii itamfanya kujibu text zako mara kwa mara bila yeye kuchoshwa.

5. Jaribu kuhepa stori ambazo hazitafikia popote
Mara ya kwanza anaweza kukujibu lakini itafikia pahali atanyamaza. KUMBUKA: Siri kuu ya kumfanya mwanamke ajibu texts zako ni uwe makini kwake, yaani unamtext vtu ambavyo unajua yuko intrested navyo.

6. Weka wazi kuwa unataka mkutano
Acha stori za kumzungusha huku na huku kama wanaume wengine. Ukitaka akujibu text zako hakikisha ya kuwa unadhihirisha azma yako kwa kumwambia kuwa unataka kukutana naye.

7. Usikate tamaa
Kuna wanaume wengine kama wamekataliwa kujibiwa texts zao mara moja basi wanakasirika na wanaachana kabisa na kushungulika tena. Tatizo labda linaweza kuwa mwanamke anakupima akili aone bidii yako kwake. Kama tujuavyo tabia za wanawake ni kuwa hawapendi kuonekana kama ni watu wa kukubaliana na kila kitu hivyo basi wakati mwingine wanakuwa hawaeleweki. 
Ukiona mwanamke amekataa kujibu text yako kwa siku tatu, fanya kumtext tena huku ukionyesha kuwa hauna intrest naye sana vile halafu achana naye. Hii itamfanya yeye kuona una interest na yeye lakini hauna haraka. Baadaye anaweza kuanza chat yeye mwenyewe

KUMBUKA: Kuna sababu tofauti tofauti ambazo zinaweza kumfanya mwanamke kukataa kujibu texts zako. Labda umemtusi, hujampendeza, ni mwanamke mwenye haya nk. So hizi hatua zitategemea na vile imetokea katika situation yako.

Haya Ni Mambo Yanayokupa Udhaifu Wewe Mwanaume Hadi Kushindwa Kumridhisha Mwanamke Wako Kitandani.

Ni kitu kinachofahamika kutokana na utafiti kuwa wanawake wengi hawaridhishwi kihisia kwasababu utendaji wa wanaume wengi kitandani umepungua.

Haijalishi unampa nini mkeo au mpenzi wako, kama huwezi kumridhisha, ataendelea kutokuwa na furaha, mlalamikaji na wakati mwingine kama akijaribiwa nje, huenda akajaribu bahati yake kwingine.

Tena kama mpenzi wake kabla ya kuolewa alikuwa akimtosheleza, usishangae akamtafuta kokote aliko kukumbushia (hata kama hana lolote).

Wakati mwingine wanawake hufeki maneno matamu ya pongezi ili tu kukupa moyo kuwa umefanya kazi nzuri. Cha ajabu hii imewafanya wanaume wengi kuboresha game yao na kujiamini.

Kipi kinachowapa udhaifu wanaume ?

1. Kejeli kutoka kwa wanawake wao
Wanawake wengine hulalamika kiasi cha kuwaambia wapenzi wao bila kuficha kuwa hawana lolote kitandani. Katika hali hii, wanaume hujisikia aibu kiasi cha kupoteza kujiamini kwao. Hii inaweza kuwafanya wengine kuanza hata kuchelewa kurudi nyumbani kuepuka fedheha.

2. Uoga wa kumaliza haraka
Kufika kileleni haraka hutokea pale mwanaume anapoutua mzigo mapema wakati wa kufanya mapenzi kabla ya kumridhisha mwenzake. Wanaume wengine hupania na kuwa na wasiwasi. Hii inaweza kupelekea kumaliza haraka hara kabla mwanamke hajaridhika.

3. Upungufu wa nguvu za kiume
Utafiti unaonesha kuwa takriban wanaume milioni 30 duniani huathirika kila mwaka na tatizo hili. Hii ni hali ambayo uume husinyaa wakati wa tendo la ndoa na kupunguza ugumu unaohitajika. Tatizo hili hukosesha raha na husababisha msongo wa mawazo.

Jinsi Ya Kuwavutia Wanawake Bila Kutamka Neno


Ushawahi kujikuta katika hali ambayo unashindwa kujua utaanza vipi kuongea na mwanamke? Ni mwanamke mzuri ambaye moyo wako unamtamani lakini akili yako inashindwa kutengeneza mawazo ya jinsi utakavyoanzisha stori na yeye. Unabakiwa ukimuangalia akikupita mbele yako, ama mbaya zaidi anakuja kuchukuliwa na wanaume wasiokuwa na thamani yeyote kwa maisha yake. Unabakia na majutio na mawazo ya "kama ningeweza kujiamini mbeleni si ningem...." Well, tatizo hilo halijawahi kutokea kwako pekee bali kwa kila mwanaume wakati flani katika maisha yake na hatutaki lijitokeze tena mbeleni.


So chanzo cha wewe kutoweza kumtongoza huyu mwanamke ni kuwa akili yako ilikataa kutoa mazungumzo ambayo ungeweza kuyatumia kwa huyo mwanamke. Well, waonaje kwa mara moja tukubaliane na akili yako na tusitumie maongezi kuapproach mwanamke, na badala yake tutongoze kimya kimya?

Kutongoza kimya kimya ni mbinu rahisi sana, mwanzo ni rahisi kwa kuwa unapata kujua kama mwanamke anakupenda au la. So bila kupoteza wakati, hebu tuchambue mpango mzima.

Zama nami!

1. Kwa kutumia macho
Kila mtu anajua nishati inayotokana na kutumia macho. Macho ni kiungo ambacho wanaume wamebarikiwa nacho na akikitumia vizuri kinajeuka kama silaha nzito wakati ambapo unaitumia kwa mwanamke. Ushawahi kujiuliza ni kwa nini wakati mwingine mwanamke anashikwa na aibu/haya wakati unapomwangalia? Ama je ushawahi kumskia mwanamke akisema kuwa usimwangalie machoni mwake? Hii ni kwa sababu macho yanaweza kutumika kuongea maneno ambayo mdomo unaweza kushindwa kuongea.


Wakati utajipata ukimwangalia mwanamke, mwangalie machoni halafu utoe tabasamu. Kumuangalia kunaonyesha unajiamini. Kutabasamu unamwonyesha kuwa wewe ni salama na anaweza kuongea na wewe. Unaweza kusoma chapisho letu la awali ambalo linafafanua mbinu ya kutumia macho kuapproach mwanamke kwa kina.
2. Mfanye akugundue kupitia kutangamana kwako
Njia nzuri ya kusimama ili wanawake waweze kukutambua ni kupitia utangamano wako na wengine. Kujizunguka na wanawake wengi (haswa wale warembo) kutaashiria ya kuwa wewe ni aina ya mwanaume ambaye wanawake wanapenda kuwa naye. Hii itawafanya wanawake wengine katika hio sehemu kuwa na shauku ya kutaka kujua ni kitu gani ambacho kinakufanya wanawake wapende kuwa na wewe. Hii automatically itawafanya wanawake kuwa na umbea kukuhusu, kuvutiwa kwako, na hata kuingiwa na wivu wa kwa nini haujawaingiza katika kundi lako. 

Mbinu hii ni moja wapo ya sosholojia ya wanawake, kimaumbile wanawake hupenda vitu ambavyo wanawake wengine hupenda. Hivyo kama wewe unamtaka mwanamke flani na hutaki kutumia maongezi, anza kutangamana na marafiki wake wote isipokuwa yeye, mwishowe utamwona akijileta yeye mwenyewe, tena ujitayarishe na mapema kwa kuwa atakuja na presha ambayo kama hukujipanga vizuri inaweza ikakulemea.

3. Matumizi ya banta bila kuongea
Banta ni mbinu ya kuonyesha ucheshi, mchezo na mzaha wakati wa kuongea na mtu. Mbinu hii pia inaweza kutimizwa bila kutumia mazungumzo ili umfanye mwanamke aweze kuvutiwa kwako.

Kwa mfano, kama ulishatumia mbinu ya macho kuwasiliana na mwanamke na unataka kuendeleza shughli kwa kutumia banta, njia rahisi ni kumuonyesha nyuso za ucheshi. Jifurahishe na uwe mcheshi - toa ulimi wako nje - pinda macho yako - weka uso wowote ule wa kipuzi ambao unajiskia. Hii ni njia rahisi ya kumfanya mwanamke atabasamu akiwa mbali, na itakuwa rahisi kwako kumuapproach na kuendea na yeye iwapo ataonyesha dalili za kupendezwa na wewe.

4. Mvutie na mwonekano wako
Ukitaka kumvutia mwanamke kiurahisi basi ni muhimu kubadilisha mwonekano wako. Mbinu hii tuliieleza kwa kina katika chapisho la jinsi ya kubadilisha mwonekano wako uwavutie wanawake. Kwa kawaida, wanawake wanapenda kushufu wanaume ambao wanavalia kinadhifu.

Lakini hapa usichukulie makosa. Kubadilisha mwonekano hakumaanishi ya kuwa unapaswa kuvalia nguo ghali ama za thamani ya juu. La hasha. Kubadilisha mwonekano kunamaanisha kuvalia nguo safi, nadhifu na ambazo zinaashiria hulka yako. Usijitese kuvalia nguo ambazo haziwiani na wewe kwani kwa mwanamke ni rahisi kukugundua kama umejeuka mwigo.

5. Ishara ya mwili wako 
Wanawake wanaweza kujua mengi kukuhusu kwa kuangalia miondoko yako ya mwili pekee. Kama unataka kuonyesha ujiaminifu ambao utamfanya mwanamke akutambue, basi ni lazima mwili wako uonekana vile unapaswa kuonekana.

Kuonyesha confidence katika mwili wako unapaswa kufanya yafuatayo: 
i) Simama wima - mwanaume thabiti akisimama anakuwa hivi; masikio yako yawe nyuma ya mabega yako, mabega yako yawe nyuma ya kiuno chako, kiuno chako kiwe nyuma ya kiwiko chako. 
ii) Kaa kwa kujitanua - wakati umekaa katika kiti, hakikisha ya kuwa unachukua nafasi yote ambayo unaweza kuitimia. Egemea kwa kiti, itanue miguu na mikono yako, kichwa kiweke kiangalie juu. 
iii) Jinsi unavyokaa - Usisogee sogee kama huna sababu zozote, usikunje miguu wala mikono, usiangalie chini, usijikune kichwa ama kutafuna tafuna. 
iv) Unavyotembea - Tembea na sababu, tembea kwa kujiamini, tembea na njia thabiti.

Kuweza kukontrol mwili wako inakusaidia kuonekana mtu mwenye nguvu, wa kujiamini ambaye anapendwa na wanawake. [Soma: Jinsi ya kutumia mwili wako kutongoza]

6. Kuwa na hadhi ya juu
Mpaka sasa hili chapisho linaongea kuhusiana na kuwasiliana na mwanamke bila kuongea naye. So iwapo unataka mwanamke akunotice, wakati mwingine inahitajika kuwa na jitihada za ziada. Kukaa sehemu moja kungojea mwanamke akugundue haitakuwa ya fanaka kama vile ambavyo utaamka na kujifanya uonekane wewe mwenyewe.

So utafanyaje mpaka mwanamke akunotice?  
Tangamana na marafiki, jamiiana na kila mtu ambaye unamjua. Wakati umetoka matembezi au sehemu yako ya kujivinjari, ongea na kila mtu - wanaume, wanawake, wateja, wafanya kazi nk. Wanawake watauona uwezo wako wa kutangamana na kila mtu na watakuwa na interest ya kuongea na wewe. Ziada ni kuwa utakuwa unaonyesha ujiaminifu, urafiki, na uko na uwezo wa kujicontrol katika jamii - tabia zote ambazo wanawake wanaziona nzuri katika mwanaume. [Soma: Jinsi ya kupandisha hadhi yako kwa mwanamke]


7. Wafanye wanawake wakufukuzie
Kufanya wanawake wakufukuzie inaweza kuwa rahisi sana.  Kile ambacho unahitajika ni kutoka nje umakinike na kujifurahisha muda wote. Weka tabasamu katika uso wako na ujiinjoy wewe mwenyewe. Hii itamfanya mwanamke kukunotice na kutamani kuungana na wewe ili muinjoy pamoja.

Zifahamu Faida za Kutokuvaa Chupi hebu zisome hapa.


Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19 baada ya uvumbuzi wa viwanda na mapinduzi yake yaliyoambatana na mapinduzi ya teknolojia. 

Enzi za mama zetu na babu zetu uvaaji wa chupi haukuwepo hapa Tanzania. Uvaaji wa chupi uliletwa na wamisionari na wakoloni wakati wanaleta dini Africa. Kabla ya hapo waafrica hatukuwa na utamaduni wa KUVAA chupi. 

Mtoto akizaliwa hakuvalishwa chupi kamwe kama ilivyo Leo. Mwanamke pia enzi hizo alikuwa havai chupi. Mwanaume naye pia alikuwa havai chupi? Watu wote walikuwa hawavai chupi. Mwanamke alikuwa hachuchumai chini pindi akijisaidia kutokana na kwamba hawakuwa wanavaa chupi hivyo wakitaka kujisaidia haja ndogo walikuwa wanasimama tu na kupanua miguu na kuanza kukojoa. 

Nyakati za leo ambapo uvaaji chupi kwa wanaume na wanawake uko juu sana kuanzia watu tunapokuwa watoto wadogo hali ya Afya ya viungo vya uzazi imeendelea kuwa mbaya sana. Yafuatayo ni baadhi ya madhara ya kuvaa chupi : 

1. Magonjwa ya "Urinary tract infection" au UTI hayataisha kwako. 

Hii hasa ni kwa wanawake wanavaa nguo nyingi kwa wakati mmoja na kwa muda mrefu zaidi ya saa kumi. Unavaa chupi, lakini tight, suruali ya jinzi, nk halafu unashinda na hizo nguo kuanzia asubuhi unapoenda kazini hadi saa mbili usiku unaporudi home. Hiyo ni hatari sana. 

Mwanamke anayefanya kazi zinazompasa kuwepo kazini zaidi ya masaa 8 namshauri asiwe anavaa chupi kabisa. Chupi ivaliwe nyakati za hedhi tu. Kama hauko kwenye siku zako vaa suruali tu bila chupi. Au vaa underskirt pekee yake kwa ndani na ndoo uvae nguo yako ya kawaida. Hii itakuepusha na kuugua UTI. Ukiacha sababu za ngono UTI husababishwa na bacteria wanaopendelea mahali penye unyevu na joto. Kwa hiyo mwanamke akivaa nguo nyingi bacteria hao hujipatia joto la kutosha kuzaana.
Mwanamke ni vyema ukaepuka kuvaa nguo za kubana mwili sana ili kuepukana na uwezekano wa kupafanya ukeni pawe na joto sana na ikitokea bacteria mmoja tu akaingia humo atazaa haraka sana na kujikuta UTI inakuwa rafiki yako. Vaa sketi bila chupi au kama kuvaa suruali ni lazima hakikisha unavaa suruali peke yake. Jizoeze tu utazoea. Na ukizoea kuvaa nguo bila chupi utainjoi sana. 

2. Magonjwa ya kuvu au fungus hayatakoma kwako. 
Bado niko kwa wanawake, kama nilivyoeleza mwanzo hapo magonjwa ya fungus yanasababishwa pia na kuvaa chupi kwa muda mrefu. Chupi inayovaliwa kwa zaidi ya saa 8 lazima italeta ukungu au uvundo sehemu nyeti. Huo uvundo waweza kuleta fungus ukeni. Fungus za ukeni hazina tofauti na zile za miguuni kwa wanaume wanaovaa viatu kwa muda mrefu bila usafi miguuni wa kutosha. 

Chupi inakuwa kama socks za wanaume. Mwanamke avaae chupi muda mrefu bila kuruhusu upepo upite ndani ni watapata fungus ukeni sawa na mwanaume anayevaa socksi zisizofaa kiafya. Chupi au socks zinazofaa ni zile za pamba au cotton. 

Of course sababu za kupata ugonjwa wa fungus kwa mwanamke siyo tu kuvaa chupi inayobanaaaa kwa muda mrefu ni pamoja na kutawadha kwa kutumia maji. 

Wanawake wengi hawajui kutawadha kwa kutumia maji. Wengi wamalizapo kujitawadha haja kubwa ndipo hurudi kujisafisha ukeni. Hii ni hatari sana kwani bacteria watokanao na kinyesi unawahamisha kutoka nyuma na kuwaleta mbele. 

Mwanamke unapaswa kutawadha kwanza mbele kisha umalizie nyuma. 

Yaani hakikisha kuwa uchafu wa nyuma unaoweza kuwa umebakia kwenye vidole vyako usiuingize ukeni kwa namna yoyote. Tawadha pande zote lakini uhakikishe kuwa haviingiliani mbele na nyuma. Sawa dada yangu? Uko poa hapo? 

Kikubwa hapa ni usafi wa mbele na nyuma. Usafi wa chupi zetu. Uvaaji chupi wetu. 

Kwa mfano uwapo safarini tena safari ndefu ya zaidi ya saa 8 ni vyema ukasafiri bila kuvaa chupi isipokuwa tu kama uko kwenye siku zile za adabu. Hata kama uko kwenye siku za adabu ni vyema ukasafiri bila kuvaa manguo mengi sana yanayobana mwili. Vaa chupi na sketi au suruali isiyoubana sana mwili wako. 

3. Chupi husababisha ugumba kwa wanaume. 
Sababu nyingi za ugumba tunaweza ukizipata kutoka kwa madaktari wetu wa hospitali zetu. Lakini ukija kwangu mimi Daktari wa magonjwa ya tabia (Lifestyle Based Diseases Doctor) nitakuongezea sababu nyingine ya ugumba wa wanaume kuwa ni kuvaa chupi zinazobana sana. 

Mwanaume shujaa havai chupi. Anavaa kaptura badala ya chupi. Tena havai kaptura inayobana sana. Anavaa isiyobana viungo muhimu kwa uzalishaji wa watoto. Mbegu za kiume huzalishwa kwa wingi wakati wa baridi. Kuvaa chupi inayobana kwa muda mrefu husababisha pumbu kuchemka sana na kushindwa kuzalisha mbegu nyingi. Mwanaume mwenye mbegu chache hushindwa kutungisha mimba kwani mbegu zake zinakwenda ukeni kwa uchache na kushindwa kuogelea ukeni. 

4. Chupi husababisha miwasho sana kwenye mapaja ya mwanaume na mwanamke. 
Epuka kuvaa chupi zinazobana ili kuepukana na miwasho. 

5. Chupi husababisha michubuko ya mapaja. 
Ukivaa chupi kwa muda mrefu utajikuta umepata michubuko mapajani karibu na uume au uke . 

6. Uvaaji chupi usiku huchelewesha tendo la ndoa. 
Mwanaume anapohitaji vitu adimu usiku wakatimwingine anapaswa kujichotea tu kirahisi kwani ni mke wake halali lakini akikutana na chupi inakuwa kikwazo. Mwanamke usilale na chupi usiku. Unaogopa nini? Hakuna majambazi wala moto. Nani alikwambia ulale na chupi eti unajihami na ajali za moto usiku.? Mbona tangu umelala na chupi usiku hakuna ajali ya moto iliyokwishatokea. 

Acheni kuvaa chupi enyi wanawake ili ikitokea waume zenu tunahitaji naniii usiku tujipatie kwa wepesi! Au Siyo? 

Tangu niache kuvaa chupi sijawahi tena kuwashwa mapajani wala mke wangu hajawa na taarifa za fungus na UTI kama zamani alipokea hajalielewa somo hili. Na wewe pia nakushauri uache kuvaa chupi kuanzia leo Uwe na afya bora maeneo yote nyeti.
 

Gallery

Popular Posts

About Us