KINGAZI BLOG: 03/13/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, March 13, 2016

CHEGE FT RUNTOWN & UHURU - SWEETY SWEETY(VIDEO DANCE)

New AUDIO | G.nako Ft. Nikki wa II, Chin Bees - AROSTO | Download

ORODHA YA WAKUU WA MIKOA WAPYA HII HAPA!!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa 26 ya Tanzania Bara ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe.

Gigy na madai ya kutumia unga, bangi


GIGY (2)
MUUZA nyago gumzo Bongo kutokana na matukio yake, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amedaiwa kuwa anatumia unga na kuvuta bangi ndiyo maana amekuwa

Babu seya,papii kocha,mapokezi ya kifalme

babu seya na papii (1)Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na bendi yake wakitumbuiza.

 DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari njema kwa mashabiki wao kusikia kwamba familia ya mwanamuziki aliyefungwa maisha jela kwa kosa la kuwanajisi watoto 9,

Vita ukatibu mkuu chadema.


freeman-mbowe-chadema 

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, yupo katika wakati mgumu kutokana na wajumbe wa Baraza Kuu na wabunge wenye ushawishi kumtaka amteue

Meya Dar kabla ya Machi 25

simbaa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wametofautiana katika tarehe ya uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji la Dar es Salaam.

Gavana BoT amjibu JPM



Tanzania's President elect Magufuli addresses members of the ruling CCM at the party's sub-head office on Lumumba road in Dar es Salaam 

SIKU moja baada ya Rais John Magufuli kueleza kutoridhishwa na mwenendo wa ajira za watumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na ulipaji wa malimbikizo ya madeni ya Serikali, Gavana Benno Ndulu ametoa kauli inayojibu hoja zilizoibuliwa na Rais.

Hatimaye Ciara achumbiwa



ciara-russell-wilson-engagement
Ciara akiwa na mchumba wake, Rusell.
STAA wa muziki wa Pop, Ciara ametangaza rasmi kuchumbiwa na mchumba wake ambaye pia ni mchezaji wa NFL. Russell Wilson.

Azam FC ipo tayari kwa mapambano Caf


azam fc 
Kikosi cha timu ya Azam Sc.
 Johannesburg
AZAM FC leo Jumamosi inacheza na Bidvest Wits katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika huku Kocha Stewart Hall akitamba timu yake kupata ushindi kutokana na maandalizi waliyofanya.

Jason, Daphne wajiachia ufukweni



3209B77600000578-3484448-image-a-20_1457548505194Staa wa muziki wa R&B, Jason Derulo na mpenzi wake, Daphne Joy wakiwa ufukweni.
CASA ARAMARA, Mexico
ANAPIGA kote kote! Staa wa muziki wa R&B, Jason Derulo na mpenzi wake, Daphne Joy wameonyesha kuwa wanapendana sana baada ya kuonekana wakijiachia vya kutosha huko Punta Mita, Mexico, Jumanne ya wiki hii.

Mikataba ya umeme yenye maumivu basi -Muhongo


WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Serikali haitaingia tena mikataba yenye kutaka gharama za uwepo wa mtambo wa kuzalisha umeme huku wakiendelea na majadiliano kuibadili mikataba ya zamani yenye gharama hizo.

Waliochoma nyumba saba Pemba wasakwa



JESHI la Polisi limeanza msako wa watu waliochoma nyumba tano za wananchi wakazi wa Kangagani, ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Kituo cha Afya katika Mkoa wa Kaskazini Pemba.

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 13 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo

March 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter.
 

WATCH:(NEW OFFICIAL VIDEO)SAJNA -VANILLA

 

Gallery

Popular Posts

About Us