KINGAZI BLOG: 04/10/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, April 10, 2016

Official VIDEO | Maua Sama - Mahaba Niue


https://youtu.be/_m95o6CIk7k

Quick Rocka - Love Yourself (JB Cover) (AUDIO)


Ally Nipishe-Kaniroge(audio)


Tendo la Ndoa Hudumu Kwa Muda Gani? Wanasayansi Wana Jibu Hili


Ni muda gani tendo la ndoa (ama nalisema kiheshima sana?) Au niseme ni muda gani watu wanaofanya mapenzi hutumia kumaliza?

PAKUA application ya TANZANIAMPYASASA ili uweze kupata habari zote mpya punde tu zinapotokea kutoka kila pande za ulimwengu .

PAKUA application ya TANZANIAMPYASASA ili uweze kupata habari zote mpya punde tu zinapotokea kutoka kila pande za ulimwengu .

Msafara wa Rais Magufuli Kutozidi watu 10.....Balozi Mahega Asema Anategemea Kwenga Ng'ambo hivi Karibuni


Rais John Magufuli anataraji kusafiri tena kwenda nje ya nchi hivi karibuni akiwa na msafara ambao unawezekana usizidi jumla ya watu 10.

Alshabab wavamia kituo cha polisi Wajir Kenya


Image copyrightAFP
Image captionAlshabab wavamia kituo cha polisi Wajir Kenya
Wapiganaji takriban 100 wa kundi la kigaidi la Alshabab wamevamia kituo kimoja cha polisi Wajir Kaskazini mwa Kenya.

Wanaomiliki migodi watakiwa kuacha kazi.




WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka maofisa madini wa kanda, mikoa na wilaya wanaomiliki vitalu vya madini au migodi, waache kazi serikalini.
Mbali na agizo hilo, pia amesema wizara yake haikatazi mafunzo nje ya nchi yakiwa ya muhimu,

HIZI HAPA NAFASI ZA KUJIUNGA JKT 2016 KWA VIJANA WA KUJITOLEA.

TANGAZO MAALUM VIJANA WA KUJITOLEA JKT 2016.
TANGAZO

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2016.
Barua zilizoainisha sifa za kijana kujiunga na mafunzo ya JKT

Hii ndiyo orodha ya Vyuo vikuu vipya 20 bora Duniani.

 



Kuna list kubwa ya watanzania ambao wapo nje ya nchi kwa ajili ya elimu ya juu pia nina watu wangu wa nguvu ambao wana ndoto hizo. April 8 2016, Forbes kupitia mtandao wao wametoa top 20 ya vyuo vipya bora duniani.

Magazeti ya tanzania yaalichoandika leo Jumapili ya April 10 kwenye habariza kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.

April 10 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysasa..
 

Gallery

Popular Posts

About Us