KINGAZI BLOG: 08/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, August 16, 2016

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMANNE TAR 16 AUGUST.

















Q CHIEF AFICHUA SABABU ZA JOKATE KIDOTI KUMTOSA LIVE,AFUNGUKA MENGI



Q Chief: Jokate Alitosa Kutokea Kwenye Video Yangu Kwa Sababu Hii Hapa.
Q Chief hamwezi Jokate Mwegelo. Ni kwasababu anadai imeshindikana kumtumia kwenye video yake kutok...
Q Chief hamwezi Jokate Mwegelo. Ni kwasababu anadai imeshindikana kumtumia kwenye video yake kutokana na kile muimbaji huyo amedai mrembo huyo alitaka alipwe ‘six figures.’
Chief ambaye jina lake halisi Abubakar Katwila amedai kuwa amemtaja Jojo kwenye wimbo huo na kwamba ingemake sense kama angeonekana pia kwenye chupa lakini akawa ‘very expensive.’
Akiongea na E-News ya EATV Jumatatu hii, Chief alisema kuwa Jokate ni classmate wake hivyo alitarajia angemlegezea bei lakini Jojo only means business.
Pamoja na hivyo, muimbaji huyo anayejiita ‘Mungu wa Bongo Flava’ amedai kuwa anaheshimu uamuzi wa Jokate na ameongeza kuwa hawezi kuuondoa ukweli kuwa ni mtoto mkali.
Hivi karibuni Q alishoot video mpya na Justin Campos na kudai kuwa itawashangaza weng

MSANII DIAMOND PLATINUMZ AFANYA MAANDALIZI YA, ZIARA YAKE BARANI AFRICA

Hatimaye Diamond ameamua kusikiliza kilio cha wengi kwa si tu kuanzisha bendi yake, bali pia kujiandaa kwa ziara ya Afrika.

Muimbaji huyo amepost video kadhaa zinazomuonesha akiwa mazoezini na bendi hiyo na kueleza kuwa ni maandalizi ya ziara yake ya Afrika.

Miongoni mwa watu wanaonekana kwenye bendi hiyo ni producer, Tudd Thomas.

Ziara hiyo inakuja katika kipindi ambacho staa huyo anajiandaa kuachia album yake ya kwanza ya kimataifa.

Pia ndio itakuwa ziara yake ya kwanza ya uhakika kuzunguka bara hilo. Bado hajesema itaanza lini na wapi.

Kwa muda mrefu mashabiki wake wamekuwa wakimshauri aanze kutumbuiza na live band hasa kwenye show zake za kimataifa.

 

Gallery

Popular Posts

About Us