KINGAZI BLOG: 04/19/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 19, 2016

CHUKUA DAKIKA TATU ZA KUMTAZAMA KIBOKO YA MASOGANGE NA VERA SIDIKA HII HAPA





GIGY MONEY AMTUKANA LIVE LIVE NAY WA MITEGO.

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA BLOG HAPA


Mrembo anayefanya poa kwenye video za wasanii wa Bongo kama video model Gigy Money, amempa za uso msanii Ney wa Mitego na kumuita mpumbavu asiyejitambua ni nani, baada ya kumtapeli pesa yake.

Mwanamuziki Diamond Platnumz Atangaza Nafasi za Kazi....


DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA.BOFYA HAPA

Katika hali ya kuendelea kusaidia vijana wenzetu ambao bado wapo mtaani... Ndugu zangu kuna nafasi za kazi hapa @wcb_wasafi ...tunauhitaji wa:

Harmonize 'Sijamtukana DJ K Flip' , Hiki Ndicho Kilichotokea Hadi Kuzima Mziki Katikati ya Show

DOWNLOAD APP YA TANZANIAMPYASASA HAPA BOFYA HAPA


Msanii wa lebel ya WCB 'Harmonize' amefunguka kuhusu tuhuma za kumtukana Dj K Flip kwenye show mjini Mwanza.

Harmonize alisema
“Kwanza nategemea sana maDJ kwenye kazi yangu na siwezi fanya kitendo kama hicho, nilikuwa nafanya show na nikawaambia watu kuhusu ujio wa Diamond Mwanza hivi karibuni na kuwataka waimbe na mimi akapela, nikamwambia DJ azime mziki sababu utazingua, DJ hakunielewa akakasirika na kushuka chini, ila nilimfuata na kuongea naye na show ikaendelea”.

Aidha Harmonize amemalizia kwa kusema kuwa kwa sasa matatizo yake DJ K Flip wameyamaliza na wapo poa.

Picha 25: Ilivyokuwa uzinduzi wa daraja la kigamboni Dar es Salaam




April 19 2016 ni siku ya uzinduzi wa Daraja la Kigamboni ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amelizindua rasmi  daraja la Kigamboni na amependekeza liitwe jina la Mwalimu Nyerere na si jina lake kama wengine walivyopendekeza.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio hilo
.
.
.
.
.
.
.
.Ni Jiwe la msingi la daraja la Kigamboni lililozinduliwa na Rais John Pombe Magufuli 19, April 2016
.
.Rais John Pombe Magufuli  na mkewe Janeth  wakiwa na viongozi waliohudhuria uzinduzi huo
.
.
.
.

.
.Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam , Paul Makonda akiwa na  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu), Mh. Anthony Mavunde
.
.Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki akiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John William Herbert Kijazi
.
.
.
.
.
.
.
.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jonh Pombe Magufuli akisalimiana  na viongozi mbalimbali
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.Gari la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli likiondoka kwenye eneo la tukio
.
.
.
.Msafara wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli 
.
.Katikati ni Kamanda wa  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Siro
.
.
.
.
.
.
.SOURCE;MILLARDAYO.COM

List of Qualified and Disqualified SJUIT Students

KUTANA NA MWANAMKE ALIYEAMUA KUJIOA MWENYEWE BAADA YA KUKOSA MCHUMBA WA KUMUOA.

 
YASMIN ELEBY AKIWA NA FURAHA SIKU YA HARUSI YAKE (kulia) AKIKATA KEKI.


,Mwanamke mmoja anayeitwa yasmin Eleby hakubahatika kupata mchumba wa kumuoa ambaye alihitaji kuwa mume wake mpaka alipofikisha umri wa miaka arobaini.ndipo alipoamua kufanya jambo lililowashangaza wengi pale alipoamua kujioa mwenyewe.

Breaking News: Rais Magufuli Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe

Rais Magufuli amemsimamisha kazi mchana huu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe kutokana na ufisadi wa kutisha katika utekelezwaji wa mikataba mitatu, inayohusu maeneo ya ukusanyaji mapato ya Stendi Kuu ya Mabasi Yaendayo Mikoani ya Ubungo na kodi ya uegeshaji magari katikati ya mji  na  kuisababishia  serikali  hasara  ya  bilioni 3.

PICHA 10: Hadi kufikia March 2016 hivi ndivyo vinatajwa kuwa Viwanja 10 bora vya ndege Duniani


Kwa mwaka wa nne mfululizo uwanja wa Ndege wa Singapore Changi  umekuwa ndio uwanja wa ndege bora zaidi duniani ukishika nafasi ya kwanza na ulichukua tuzo za SkyTrax World Airport Awards 2016 ambapo ulitangazwa huko Gologne Germany, Tuzo za Skytrax zinategemea kura zinazokusanywa kutoka kwa mamillioni ya abiria.

Mwanaume Shoga Aamua Kukiri Redioni Kufanya Biashara Hiyo...Aangua Kilio na Kuelezea A to Z Jinsi Alivyoanza....Ataka Kuacha

.

Morogoro: My confession! Katika hali isiyo ya kawaida, kijana Karimu Said (25) almaarufu Anti Karimu aliyekiri kufanya biashara haramu ya kuuza mwili (ushoga), ameangua kilio redioni wakati akiutangazia umma wa Watanzania kuachana na dhambi hiyo aliyodumu nayo kwa miaka saba.

Ilikuwa Alhamisi iliyopita, Karimu alitinga kwenye Kipindi cha Mcharuko wa Pwani cha Radio Planet FM kinachoendeshwa na mtangazaji mahiri, Warda Makongwa akishirikiana na Farham Abraham.

Lengo la Karimu lilikuwa ni kutubu dhambi yake hiyo sambamba na kumuomba msamaha Mwenyezi Mungu na Watanzania kwa jumla.

Akiwa hewani laivu kwenye kipindi hicho na watangazaji hao na mwandishi wetu, Karimu alisimulia kilichomwingiza kwenye ushoga kuwa ni umaskini uliotokana na vifo vya wazazi wake.

“Baada ya wazazi wangu kufariki dunia na mimi kumaliza darasa la saba hapa Morogoro, nilikwenda Dar kutafuta kazi. Nilipofika nilipata kazi ya ndani (house boy) kwa bosi mmoja.

“Nikiwa hapo, bosi wangu wa kike na wanaye walikwenda likizo kijijini, mimi nilibaki na bosi wa kiume.

“Siku moja huyo mwanaume alinirubuni akanipeleka beach (ufukweni) na baadaye Mlimani City ambako alinilazimisha kunywa pombe.

“Tuliporudi nyumbani aliniingilia, tangu hapo kila siku akawa akinifanyia hivyo. Mkewe aliporudi alinikanya nisimwambie, nikajikuta namuonea wivu huyo mwanaume hata akiwa na mkewe.

“Hali hiyo ilisababisha mkewe kujua na kunitimua,” alisema Karimu.
Alisema kuwa baada ya kutimuliwa alirejea kwao Morogoro na kuendelea na ushoga akijiuza kwenye madanguro yaliyopo ltingi na Kahumba mjini hapa.

Alipoulizwa wateja wake wakubwa ni watu gani, Karimu alifunguka kuwa ni waume za watu wakiwemo baadhi ya vigogo wa serikali.

Mwandishi wetu alipomtaka kuelezea al sema hivi
Changamoto ni nyingi zikiwemo za kupigwa, kupata bwana akakulipa elfu arobaini lakini ukifika geto kwake, ukishamhudumia, anakugeuka na kukunyang’anya fedha.

“Nimeyatafakari matukio yote hayo, ndipo nikaungana na rafiki yangu aliyenipeleka kanisani ambako niliombewa hadi nikaanguka, nikapoteza fahamu, nilipozinduka nikajiona niko Keene ulimwengu mwingine na kujutia dhambi hiyo ya ushonga, hivyo naomba Mungu na Watanzania wanisamehe,” alisema Karimu huku akilia.

OMMY DIMPOZ AJIKITA KWENYE KILIMO BAADA YA GAME KUWA NGUMU.

DOWNLOAD APPLICATION YA TANZANIAMPYASASA HAPA

 12965888_222618848093998_1469943721_nZamani ilijulikana kama kilimo ni shughuli ya watu wa hali ya chini au watu maalumu tu. Hii imekuwa tofauti kwa mwanamuziki Ommy dimpoz ambaye kwa sasa ameamua kujikita katika kilimo cha mazao mbalimbali, hii ilidhihirishwa juzi baadfa ya kupiga picha akiwa kwenye shamba l;ake huku akiweka Emoji za za matunda kwenye picha hizo alizozituma kwenye Mtandao wa Instagramu.Wasanii wengine wanaojihusiha na kilimo ni Ditto,Masanja mkandamizaji na pia Juma Nature.

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 19 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

DOWNLOAD APPLICATION YA TANZANIAMPYASASA HAPA


April 19 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa.

Rais Magufuli Azua Taaruki Jijini Leo..Aenda Bank ya CRDB na Gari Binafsi Bila Msafara...

...

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezua taharuki mjini leo baada ya kufika katika Tawi la CRDB (Holland Branch), akiwa kwenye gari binafsi lenye namba T 182 DFQ huku likiwa halina nembo ya adamu na hawa wala bendera.
Tukio hilo lililochukuwa takribani dakika 25, limetokea majira ya saa nne asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam katika tawi la benki hiyo ambalo liko katika makutano ya Barabara ya Ohio na Samora bila kutarajiwa.
Mara baada ya Rais Magufuli kufika katika eneo liliko tawi hilo makutano ya barabara hizo yalifungwa huku ndipo rais aliposhuka kwenye gari  na kuingia ndani ya benki hiyo.
Wakati akikaribia kuingia ndani ilibidi baadhi ya wateja waliokuwa wakijiandaa kuingia ndani ya benki hiyo  wazuiwe kuingia huku huduma ikiendelea tu kwa wale ambao walikwisha ingia.
Aidha, baada ya kuingia ndani baadhi ya wateja wa tawi hilo na wananchi wengine walibaki wakishangaa huku wengine wakijiuliza imekuwaje Rais kuingia benki kwa staili ile kwani baadhi ya wananchi walidai kuwa hawajaona tukio kama lile kwa marais wote waliopita.
James Charles, ambaye ni dereva wa Texi, alisema baadhi ya wananchi waliokuwa kwenye eneo hilo baada ya kuona ulinzi unaimalishwa walishtuka huku wasijue ni nini kinaendelea, hadi pale walipomuona Rais Magufuli akishuka kwenye gari hali iliyowafanya wafikirie anakwenda kutembelea ofisi yake ya zamani.
“Lakini kufumba na kufumbua tukamuona anaelekea kwenye benki ya CRDB tukajiuliza vipi rais leo kaamua kuwa kama mteja hata hivyo hatujui kama hiyo ilikuwa inawezekana. Lazima kutakuwa na kitu haiwezekani aende akachukue fedha kwa utaratibu ule ngoja tusubiri tutasikia amefuata nini,” alisema Charles.
Joyce Godwin ambaye ni mwanafunzi wa chuo kimojawapo cha elimu ya juu, alisema kuja kwake kumewashtua wafanyakazi wa tawi la benki hiyo kwani walidhani alikwenda pale kwa ajili ya kutumbua majipu.
“Mimi wakati Rais Magufuli anaingia nilikuwepo ndani kwenye foleni nikisubiri huduma kwa ujumla kila mmoja wetu alishtuka lakini hatukujua kilichomleta,”alisema.
Baada ya Rais Magufuli kumaliza kazi yake iliyompeleka alitoka na kuingia kwenye gari huku akiwapungia mkono wananchi.

Official VIDEO | Salamu TMK - Mfuko

Official VIDEO | Emanuel Austin Ft. Ben Pol - BOGE

New AUDIO | Bright Feat. Barakah Da Prince - Nitunzie | Download


New AUDIO | Eddoh Mzawa Ft. MESEN SELEKTA - Jibebe | Download


 

Gallery

Popular Posts

About Us