KINGAZI BLOG: 10/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, October 16, 2016

CHOMBEZO: ILAMBE HUMOHUMO sehemu ya -1

Image result for booty ebony
NILAMBE HUMO HUMO-1
Nilambe Humo Humo - 1

MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA
SIMU: 0755 697335

SEHEMU YA KWANZA

Kidokezo
…ulikuwa mduara wa Segere kwa lugha isiyo rasmi. Au ‘mnanda’ kama ilivyozoeleka. Baadhi ya wakazi wa kitongoji hicho walikuwa wakizunguka kwa pozi huku wakizungusha viuno vyao taratibu kwa ustadi mkubwa. 
Mirindimo ya ngoma sambamba na kiuno cha mwanamama mmoja kilichokuwa kikizunguka vitamu
vikayafanya macho yangu yamuandame! Yakamwandama kila alipokwenda. 
Halafu ngoma ikazimwa.
Yule mwanamama ambae wakati huo alikuwa ameshagundua kuwa nilikuwa nikimtazama akanitupia jicho na kuachia tabasamu. Ngoma ikapigwa upya na kurindima kwa robo saa hivi. Ilipozimwa tena na moto ulio kuwa ukitoa mwanga pekee hapo uwanjani nao ukazimwa! 
Kabla mshangao wangu haujaisha, nikajikuta ninashikwa mkono na kuvutwa kuelekea migombani kwenye kiza. Nikaweka mgomo kiasi, lakini nilipogundua kuwa kwamba jimama lililokuwa likizungusha kiuno vitamu ndilo lililokuwa likinivuta, nikatabasamu na kulifuata mithili ya mwanakondoo.
Kisha macho yangu yakazoea giza.
Huko Migombani nikashangaa kukuta seti mbilimbili za watu wakiwa wameng’ang’aniana huku wakitoa milio ya ajabu ajabu! Nilipowatazama vizuri, nikataharuki! Walikuwa wakifanya mapenzi!.
Nikatolewa ndani ya taharuki na jimama lililokuwa likinivuta, ambalo lilikuwa tayari likinishinikiza nasi tufanye mapenzi! Loh! My God ‘Gobbah…!’ 
Tembeeni muone. 

* * * 
Naweza kusema nilikuwa na bahati mbaya maishani, ndio mwenyewe nilijiona kuwa na sura ya wastani isiyo mbaya sana wala nzuri sana. 
Sura ambayo unaweza kumtongoza msichana huyu akakukatalia na yule akakukubalia! Lakini haikuwa kwangu. Kila niliyemtongoza alinikatalia, Kila niliyemtongoza! 
Hali hii haikuanza leo wala jana, ilianza kitambo toka ningali kinda lisilojua adha wala starehe ya tendo hilo la ndoa. Wakati huo akili za utoto zikinifanya niamini kwamba sikuwa mtaalamu wa kupangilia vyema mashairi yangu wakati nilipotaka kufikisha ujumbe wangu kwa mlengwa.
Nilipoingia primary wewe iite shule ya msingi na tatizo hilo kujirudia tena, sikutilia maanani sana. Nilikuja kuadhirika mwishoni mwa kidato cha pili na mwanzoni mwa kidato cha tatu. 
Nadhani kuathirika kwangu kisaikolojia kulitokana na ukweli kwamba kipindi hicho ndicho kilikuwa kipindi kipevu kwangu, kipindi cha masham sham na matamanio ya hamu. Kipindi cha mifadhaiko na majaribio, kipindi cha kupevuka.
Naam kilikuwa kipindi cha balehe. Kipindi cha kutoka utotoni na kuingia katika utu uzima. Ndugu yangu kipindi hiki kisikie hivyo hivyo, kama mwenzetu ulifanikiwa kukipita salama, hongera yako.
Lakini wale wenzangu na mimi tuliopelekwa na kupelekeshwa na kipindi hicho ambacho kila anayebahatika kupewa uhai na manani lazima akipitie, wanazielewa fika tamu na chungu za kipindi hiki hatari.

Wakati huo mheshimiwa sana kule ikulu alikuwa akinisumbua vilivyo nyakati za usiku muda mfupi kabla ya kulala, kila wakati akitaka kukagua gwaride la heshima. 
Hata hivyo bahati ilikuwa upande wangu mara nyingi usingizi uliponichukua ndoto nyevu ziliniokoa!
Ingawa shida za usiku hazikuwa za kupatiliza, adha nilizokuwa nikizipata mchana katika maeneo mbali mbali kila nilipokuwa nikikutana na mwanamke aliyeumbika vizuri, aliyevaa nguo za kubana sana, aliyevaa kimini na kitopu na hata wale waliovaa robo tatu uchi; hazikuwa na mfano.
Pengine ni hili lililoniingiza katika mkumbo waliopitia vijana wengi. Mkumbo wa kujichua! Potelea mbali kama unalegeza mishipa na kuathiri nguvu za kiume baadae! 
Ndiyo, niliamua kufanya mapenzi na mikono yangu kwa msaada wa sabuni, mafuta au chochote nilichokiona kinafaa au kunirahisishia kazi. Hii ikaendelea kuwa mkombozi pekee kwangu katika masuala ya kupoza makali ya ukware! 
Kumbe ningelifanyaje? hasa ukizingatia ukweli kwamba nilikuwa mwanafunzi nisiye na uwezo wowote kifedha, muoga wa kuwakabili viumbe hawa uzao wa Eva? Hakika hilo lilikuwa suluhisho kwangu.
Sikushauri uwe kama mimi, lakini mwenzako suluhisho hilo lilinifanya nihitimu elimu ya sekondari vizuri salama usalimini. 
Sikupata alama nzuri ambazo zingeniwezesha kuendelea na masomo ya juu ngazi ya A – level, kidato cha tano na sita. Na hili nilitarajia kabisa. Unadhani? Ningewezaje kupata alama nzuri hali nikiona mguu uliojaziajazia chini ya sketi basi hata kama nilikuwa ninasoma na wenzangu ni lazima nitafute mahali nijichue kwanza ndipo mambo yaende sawa?
Wazazi wangu wakaamua kunipeleka Veta kuchukua mafunzo ya ufundi umeme!

Kazi ambayo awali niliona inawastahili wanaume pekee, lakini nilipofika huko matokeo yakawa kinyume! Wanawake na labda niwaite wasichana walikuwa wamefurika isivyo kawaida katika darasa hilo. 
Pongezi kwa wanaharakati wanaopigania usawa wa kijinsia, harakati zao zinazaa matunda ati! Kwa mujibu wa waalimu wa hapo, kipindi cha nyuma ilikuwa aghalabu kukuta wanawake wengi wakijitokeza katika fani kama hizi zilizoonekana kama zina harufu ya uume uume!
Wengi ungewakuta ama katika mafunzo ya ufundi wa ususi, urembaji mapambo, mabatiki, ushonaji nguo, upishi na aina zote zenye mwelekeo huo lakini sasa hali ni tofauti, tena tofauti sana. 
Ni huko nilikokutana na rafiki yangu Akimu Yusuph, huyu alitokea kuwa rafiki wa kweli na mfariji mkuu wa maradhi yangu ambayo sina shaka kwamba sasa unayafahamu fika. 
Halafu ilifika siku moja, siku isiyo na jina!
Siku ambayo hatukuwa na masomo hapo chuoni. Nadhani itapendeza zaidi nikiita siku ya mapumziko. Mchana wa siku hiyo ulinikuta katika grosari moja jirani na chuo chetu pale chang’ombe nikipata kinywaji laini cha baridi. Mimi sio mtumiaji wa vikali na ninaomba Mungu anisaidie nisijaribu kuvigusa, usiulize sababu tafadhali.
Mchana huo ukiendelea kuyoyoma taratibu sambamba na kinywaji changu, mkononi nilikuwa na gazeti la Ijumaa wikienda nikiendelea kupata elimu ya kutakata ya namna ya kuyafikia mafanikio toka kwa Brother Erick Shigongo. 
“Hai Ibra?” Sauti nyembamba na laini ikaniharibia pozi.
Nikageuka taratibu kabla ya kujibu. Ni utaratibu nilio jiwekea toka enzi na enzi ili kuepuka kujibu salamu isiyonihusu na hivyo kumkwaza msalimiaji. Ndiyo! Kuna akina Ibra wangapi jijini?
Macho yangu yakakumbana na tabasamu zuri lililopachikwa kiufundi katika sura murua ya binti huyu mantashau. Hakuwa mgeni kwangu. Hili lilidhihirisha kwamba salamu ile ilikuwa yangu. Nami nikachanua tabasamu bomba kujibu tabasamu lake pamwe na salaam pia. 
“Hai Shamsa! Mambo?” 
“Kama mgambo kasoro kirungu!” 
“Hivi bado hamjamuelewa Karl P tu? Kwanini hukujibu kama mgambo kasoro bunduki na pingu?” 
Tukacheka.
Shamsa Nuhu alikuwa mmoja kati ya wanafunzi wenzangu tuliokuwa tukichukua mafunzo ya umeme pale VETA. Katika muziki Shamsa alikuwa akimpenda sana msanii Karl P, ingawa Karl P mwenyewe hayuko tena kwenye chati siku hizi .
Shamsa pia ni mmoja wa wasichana wachache walio kuwa wakiwapelekesha puta wanaume ndani na nje ya darasa letu. 
Alikuwa na akili za kutosha, hilo lazima nilikiri. Masomoni alikula sahani moja na wale unaoweza kuwaita majiniazi. Kifedha pia alikuwa njema kiasi kile ambacho usingeweza kumrubuni akubaliane na wewe kwa kwa kumringishia vijisenti! Kama hujui vijisenti, usiniulize mimi; muulize Chenge!
Kwa uzuri sijui wengine, lakini kwangu alikuwa na uzuri ulio shinda malaika! Alikuwa na sura nzuri, tabasamu zuri, ‘dimples’ nzuri, shingo ya miraba miraba, umbo zuri, mzigo wa uhakika nyuma yake, usafiri mzuri na hata mwendo wake ulikuwa mzuri. wachilia mbali sauti, roho na vitendo vyake. Alikuwa mzuri hasa, mzuri fika. 
Alikuwa mmoja kati ya wengi waliowahi kuumong’onyoa moyo wangu! Unadhani? Sio yeye tu, wako wengi waliowahi kupata hifadhi moyoni mwangu, lakini mimi nilipotaka kuingia katika mioyo yao wakagoma kunipa hifadhi!
Nilihofia kumueleza nilivyojisikia juu yake kutokana na ile hofu ya kawaida, hofu ya kukataliwa kwamba kama watu wanaoonekana; wenye akili zao darasani, fedha zao Benki na heshima zao katika jamii wamejaribu wameshindwa mimi mtoto wa msaka nyoka kama sio msaka tonge nitaweza kweli? 
Niliendelea kuumia kwa muda mrefu mpaka siku fulani nilipopata ujasiri wa aina yake na kumkabili. Hii ilikuwa ni baada ya kujishauri sana na kuamua kwamba mwanaume anakufa siku moja.

Aidha ilikuwa ni baada ya kujiuliza ni mara ngapi nimetongoza na kufaulu, nikagundua ni mara 0.05! Nikakubali kuishi siku moja kama simba kuliko kuishi siku mia moja kama inzi! Kwamba hata akinikatalia atakuwa tayari anajua ninampenda! Itatosha . 
Nikamvaa!
Unadhani nilifanikiwa kuinua domo langu na kumwambia japo ninakupenda tu? Thubutu! Kila nilipojitahidi kusema sasa nimwambie, ulimi ulikuwa mzito na pale ulipokuwa mwepesi maneno yalifanya mgomo! 
Mgomo ulipojisahau yalitoka maneno mengine tofauti kabisa na ninakupenda! 
Mpaka muda wa maongezi niliomuomba tuongee unakwisha na yeye kuniaga sikuwa nimemwambia lolote la maana. Nilibaki nimeduwaa kwa muda wakati wakati akiyoyoma na kunipa nafasi ya kuyafaidi maungo yake kwa nyuma. 
Ghafla akageuka na kunitazama. 
Macho yetu yakagongana. 

***NILAMBE HUMO HUMO INAANZIA HAPA……Na itaendelea

Sh 330 milioni kusaidia upasuaji wa moyo kwa watoto nchini

Dar es Salaam. Jumla ya Sh303 milioni zimekabidhiwa kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ili kukamilisha matibabu ya upasuaji kwa watoto 138 wanaosubiri huduma hiyo kwa sasa.

Fedha hizo zimewasilishwa leo na taasisi tatu tofauti ikiwemo ya Baps Charities iliyotoa Sh222 milioni, Youth Welfare Trust Sh48,400,000 milioni na I & M Bank iliyotoa Sh33 milioni.

Akizungumzia mara baada ya kupokea msaada huo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohammed Janabi alisema fedha hizo zitawezesha upasuaji kwa watoto 138 ambao walitakiwa kufanyiwa upasuaji mwakani.

 "Upasuaji tunafanya kwa foleni, wapo waliopangiwa mwakani lakini baada ya msaada huu  tuna imani kwamba ifikapo Desemba mwaka huu tayari watoto 138 watakuwa wamefanyiwa upasuaji," alisema.

Waasi 'waiteka' ngome muhimu ya IS Syria

Waasi wanaoungwa mkono na serikali ya Uturuki nchini Syria wameuteka mji muhimu wa Dabiq kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State,kulingana na makamanda wa waasi hao na wachunguzi.

Waasi hao waliuteka mji wa Dabiq baada ya wanachama wa kundi la Islamic State kuuondoka kulingana na kundi la haki za kibinaadamu lililo na makao yake huko Uingereza.

Mji huo mdogo wa Kaskazini una thamani kubwa kwa IS kwa sababu umekuwa ukitajwa katika ubashiri mwingi wa vita vya kundi hilo pamoja na propaganda zake.

Utekaji wa mji huo ni miongoni mwa vita vikali vilivyoanzishwa na makundi ya waasi nchini Syria dhidi ya kundi hilo.

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

 Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.

“Team Tanzania Mungu ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo.

Harmonize akiwa na Akothee aliyeshinda tuzo ya msanii bora wa kike Afrika Mashariki na Willy M Tuva

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

Mwana Samatta Atajwa Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya GENK ya nchini Ubelgiji ametajwa miongoni mwa wachezaji 30 wanaowani Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Wachezaji wengine ni pamoja na Mkenya Victor Wanyama anayecheza ligi kuu ya Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspur, Denis Onyango kutoka Uganda anayekipiga katika klabu ya Mamelodi Sundowns.

Hapa chini ni orodha kamili.

1. Riyad Mahrez (Algeria & Leicester City)

2. El Arabi Hillel Soudani (Algeria & Dinamo Zagreb)

3. Islam Slimani (Algeria & Leicester City)

4. Samuel Eto’o (Cameroon & Antalyaspor)

5. Benjamin Mounkandjo (Cameroon & Lorient)

6. Serge Aurier (Cote d’Ivoire & PSG)

7. Eric Bailly (Cote d’Ivoire & Manchester City)

8. Yao Kouasi Gervais ‘Gervinho’ (Cote d’Ivoire & Hebei Fortune)

9. Mohamed Salah (Egypt & Roma)

10. Mohamed El Neny (Egypt & Arsenal)

11. Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon & Dortmund)

12. Andre Ayew (Ghana & West Ham)

13. Victor Wanyama (Kenya & Tottenham)

14. William Jebor (Liberia & Wydad Athletic Club)

15. Mehdi Benatia (Morocco & Juventus)

16. Hakim Ziyech (Morocco & Ajax)

17. John Mikel Obi (Nigeria & Chelsea)

18. Kelechi Iheanacho (Nigeria & Manchester City)

19. Ahmed Musa (Nigeria & Leicester City)

20. Cedric Bakambu (DR Congo & Villareal)

21. Yannick Bolasie (DR Congo & Everton)

22. Sadio Mane (Senegal & Liverpool)

23. Kalidou Koulibaly (Senegal & Napoli)

24. Keegan Dolly (South Africa & Mamelodi Sundowns)

25. Itumeleng Khune (South Africa & Kaizer Chiefs)

26. Mbwana Samatta (Tanzania & Genk)

27. Aymen Abdennour Tunisia & Valencia)

28. Wahbi Khazri (Tunisia & Sunderland)

29. Dennis Onyango (Uganda & Mamelodi Sundowns)

30. Khama Billiat (Zimbabwe & Mamelodi Sundowns)

Mamelodi Sundowns yajiweka pazuri kutwaa klabu bingwa Afrika

Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imejiweka kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo mchezo wa marudiano wa fainali ya klabu bingwa Afrika Jumamosi ijayo baada ya kuifunga Zamalek 3-0 kwenye mechi ya kwanza mjini Pretoria.

Licha ya ushindi huo mnono ilioupata Sundowns, tangu mwaka 2010 ambapo TP Mazembe iliifunga Esperance ya Tunisia 5-0, bado hakuna klabu ambayo imeweza kufanya hivyo kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya fainali.

Anthony Laffor na Tebogo Langerman walifunga magoli mawili ya kuongoza kipindi cha kwanza huku bao la tatu likifungwa kipindi cha pili.

Ushindi huo unaifanya Sundowns kupewa nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye mchezo wa marudiano mjini Alexandria ambako watakuwa wakisaka taji lao la kwanza barani Afrika na kuwa timu ya pili kutoka Afrika Kusini kushinda taji hilo kubwa barani Afrika kwa ngazi ya vilabu.

Wakitazamwa na watazamaji 40,000 Sundowns walikuwa na nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi kwa kuichezesha Zamalek katika mchana wa jua kali.

Endapo Sundowns watatwaa taji mwishoni mwa juma lijalo, wataandika historia mpya kwenye ardhi ya Afrika Kusini kwa ngazi ya vilabu. Walitupwa nje mapema wakati wa hatua za kufuzu dhidi ya AS Vita Club lakini walirejeshwa tena mashindanoni baada ya Vita Club kupokwa nafasi hiyo kufatia kumchezesha mchezaji asiye na vigezo.

Mchezo wa marudiano utapigwa Alexandria Jumapili October 23.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza amezindua meli kubwa ya kisasa yenye uwezo wa kubeba abiria 500

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongela amezindua rasmi huduma ya usafiri wa meli kati ya Mwanza na mji wa Nansio wilayani Ukerewe katika ziwa Victoria, ambayo itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 500 magari madogo 40 na tani 284 za mizigo, hatua itakayosaidia kutatua changamoto ya huduma za usafiri wa abiria kwa wakazi wa kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza.

Meli hiyo MV. Nyehunge II, imejengwa na kampuni ya Songoro Marine Transport kwa gharama ya shilingi milioni 800 na kufanyiwa ukaguzi na maofisa wa mamlaka ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini (SUMTRA), makao makuu Dar es Slaam.

Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Ukerewe, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo George Nyamaha wanaeleza changamoto za usafiri zilizokuwa zinawakabili awali.

Meli zinazotoa huduma ya usafiri ndani ya ziwa Victoria kati ya Mwanza na Ukerewe, ni mv. Butiama inayomilikiwa na kampuni ya huduma za meli Tanzania pamoja na meli ya MV. Nyehunge.

Madereva wa vigogo walia na agizo la Rais Magufuli kurejesha fedha za Mwenge

Madereva na Wasaidizi wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya mbalimbali nchini ambao walikuwa tayari wamefika Mkoani Simiyu kushiriki sherehe za kilele cha mbio za Mwenge wameeleza kuumizwa na agizo la kurejesha fedha za kujikimu ambazo kiasi walizitumia kwa shughuli husika.

Walisema kuwa agizo hilo la Rais John Magufuli kwao limewatengenezea tatizo lingine la kiuchumi kwani liliwafikia kwa kuchelewa.

Baadhi yao wamesema kuwa wao hawana uwezo wa kurejesha fedha hizo kwani hawakuomba kufanya safari hizo bali ilikuwa sehemu ya kazi zao na kiasi cha fedha hizo walizitumia kama walivyokubaliwa na ofisi kuwawezesha kufika na kuishi katika eneo hilo.

”Sisi hatukuomba kuja Bariadi kwenye sherehe za Mbio za Mwenge wa Uhuru. Tuliambiwa kuja na tukapewa fedha ambazo tumezitumia kwa mujibu wa mahesabu ya matumizi tuliyoandikiwa kwa sababu ilibidi tule na kulala kwenye nyumba za wageni. Hapo sisi kosa letu liko wapi?” Alihoji mmoja kati ya madereva aliozungumza na gazeti la The Citizen.

Alisema kuwa anadhani uamuzi wa wao kurejesha fedha zote ambazo tayari wamezitumia hautawatendea haki kutokana na matumizi husika waliyofanya.

Naye msaidizi wa Mkuu wa Mkoa mmoja ambaye hakutaka kutajwa, alisema kuwa yeye hataweza kurejesha fedha hizo kwa sababu baada ya kufika Bariadi alilazimika kulipia chumba siku 7 alizopaswa kukaa hapo kutokana na upungufu wa vyumba.

”Ilinibidi nimlipe mwenye chumba gharama zote za siku 7 ambazo nilitarajiwa kuishi hapa kama nilivyotumwa kwa sababu ya uhaba wa vyumba hapa. Sasa naanzaje kumwambia mwenye anirudishie pesa yangu yote ili nirejeshe ofisini?” Alihoji.

Hata hivyo, wakati wasaidizi wa vigogo hao wakionesha kuchanganyikiwa na agizo hilo ambalo wanaamini sasa linaweza kuwaingiza hasara ambayo imetokana na kutumwa wafanye wajibu wao, baadhi ya wakuu wa mikoa tayari wameshaanza kurejesha fedha hizo.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ni mmoja kati ya wakuu hao wa mikoa walioweka wazi mbele ya waandishi wa habari kusitisha safari hiyo na kurejesha kiasi cha fedha walizopangiwa kwa shughuli hiyo.

Rais John Magufuli aliagiza viongozi wote pamoja na wasaidizi wao waliokuwa wamepanga kuhudhuria sherehe za kuzimwa kwa mbio za Mwenge mkoani Simiyu wasitishe safari zao na waliokwishachukua posho wazirejeshe.

Unene husababisha muda mfupi wa kuishi

Uzito ni sawa na uvutaji wa sigara ambao huleta matatizo makubwa kwa watu ambao wamo katika kilinge hicho.

Wataalam wa afya na urembo wanasema wazi kuwa mnene kunapunguza sit u namna ya kujiweka sawa katika masuala mbalimbali ya kijamii lakini pia unakuwa na muda mfupi sana wa kuishi duniani.

Wataalam wanasema kwamba kuwa mzito kunapunguza maisha yakokwa miaka mitatu anasema mtafiti Gary Whitlock kutoka Clinical Trial Service Unit ya Chuo Kikuu cha Oxford  kilichopo
Uzito huo ni ule unaokuwa mara tatu ya uzito ambao mtu anatakiwa awe nao kutokana na urefu wake, umri na afya yake.

Ndio kusema kama mtu anakuwa na uzito mathalani paundi 150 mtu huyo anapunguza umri wake wa kuishi duniani kwa miaka 10.

Pia uzito wa kuchusha umekuwa ukileta tatizo la figo, ini na aina kadhaa za kansa na pia huleta matatizo ya magonjwa ya moyo na kiharusi.

Unene huleta mchosho mkubwa kwa moyo na huleta mizania dhaifu ya rehemu na kusababisha shida katika mwenendo wa damu.

Wakati wanaume wenye kiuno kikubwa huongeza hatihati ya kifo wakati wanawake wenye mzunguko mkubwa huongeza hatihati ya kifo kwa asilimia 78

 

Gallery

Popular Posts

About Us