KINGAZI BLOG: 04/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, April 16, 2016

Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL


Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL kufikia 16 Aprili, 2016.

Idris Sultan Wanaosema Sina Kazi Wanakosea...' Kuwa Kwenye Mitandao ya Kijamii Kwangu ni Kazi


Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amesema kwamba wanaosema hana kazi na anazurura tuu kwenye mitandao ya kijamii wanakosea kwa sababu yeye ni msanii.

Idris amefunguka hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir katika kipindi cha Mkasi Tv Show kinachotushwa na EATV.

''Mimi ni 'Celebrity' na kwangu kuwa kwenye mitandao ya kijamii kwangu ni kazi kwa sababu siwezi kufanya 'interview' na vyombo vya habari kila siku''-Amesema Idris.

Aidha Msanii huyo pamoja na mambo mengine amefunguka kwamba bado hajaoa na wala hana mtoto.

Daraja Jipya la Kigamboni Limeanza Kutumika Leo..Hizi Hapa Picha


April 16 2016 ni siku ya kwanza kwa wakazi wa kigamboni kuanza kutumia Daraja jipya la kigamboni, kuvuka kutoka upande wa vijibweni kwenda upande wa pili wa kurasini Daraja la kigamboni litafunguliwa rasmi siku ya tareheApril 19 2016 na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John pombe Magufuli

Fuvu la Binadamu Ndani ya Ofisi ya Mwanamuziki Diamond Platnumz...


Fuvu la binadamu lakutwa limewekwa kwenye meza ya Diamond pembeni ya picha ya mwanawe Tifah.
Diamond asema ni kweli ni fuvu la binadamu, ila ni pambo tu kama mapambo mengine, yeye anamtegemea Mungu.

Matokeo ya Mechi ya Yanga na Mtibwa Sugar leo Haya Hapa....Cannavaro Atoa neno.


Baada ya Yanga kuifunga Mtibwa Sugar bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, leo Jumamosi, beki na nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amewashukuru mashabiki waliojitokea uwanjani hapo kuwashuhudia lakini akasema kuwa akili yao yote sasa ni kwa Waarabu wa Al Ahly.

VIDEO;Majipu Yaliyotumbuliwa Kwa Mbwembwe Yarudishwa Kimya Kimya.




 

Yule aliyesema kwamba serikali inaendesha mambo yake kwa mizuka kweli hajakosea.

Upo uthibitisho kwamba watu ambao wamekuwa wakisimamishwa ama kufukuzwa kazi na serikali kwa mbwembwe za kwenye vyombo vya habari wameanza kurudishwa kazini.

Maajabu:( VIDEO)Watoto Mapacha Wazaliwa Wamekumbatiana.


Mara nyingi ni kawaida Mama kujifungua watoto mapacha,pia huwa ni furaha kwa sababu huwa inaonekana kama ni Bahati kutoka kwa mwenyezi Mungu.Knachostaabijaha ni pale jambo tofauti linapotokea kama hili,Baada ya mama mmoja kujifungua Watoto mapacha wawili huku wakiwa wamekumbatia,

Newborn twins get a bath  

Wanufaika mishahara hewa waanza kubanwa

http://habarileo.co.tz/images/resized/images/frequent/angela-kairuki_210_120.jpgWaziri wa nchi ofisi ya Rais (utawala bora) Bi.Angela Kairuki

SAKATA la mishahara hewa iliyokuwa ikiigharimu Serikali zaidi ya Sh bilioni 1.8 kila mwaka, limechukua sura mpya baada ya mishahara hiyo kubainika kuwepo karibu katika kila kona ya nchi.

Wana miaka 117 na bado wanadunda!



Susannah Mushatt  sasa ana umri wa miaka 117392999-49a6c0a4-5a3e-11e3-b7ab-c407036b0b36Emma Morano sasa ana umri wa miaka 117.
Duh! Hawa ndiyo vikongwe ambao wamebainika kuzaliwa miaka ya 1800 na wanaendelea kuishi kama kawa.
Susannah Mushatt kutoka Marekani, alizaliwa Julai, 1899, kwa sasa ana umri wa miaka 117 huku ajuza mwingine ni Muitaliano, Emma Morano aliyezaliwa Septemba, 1899 ambaye naye kwa sasa ana umri wa miaka 117.
Wote wameingia katika Kitabu cha Kumbukumbu cha Dunia cha Guinness kwa kuwa ndiyo vikongwe walio hai mpaka sasa.
Hata hivyo, ajuza mwingine ambaye aliwahi kuishi miaka mingi ni Jeanne Calment, raia wa Ufaransa aliyezaliwa mwaka 1875 na alifariki dunia mwaka 1997 akiwa na miaka 122

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 16 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.


April 16 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa.














Rais Salva Kiir Awasili Tanzania Kujiunga Rasmi na Umoja wa nchi za Afrika Mashariki (EAC)


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. John Pombe Magufuli akibadilishana makabrasha ya mkataba na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit mara baada ya kukamilika kwa zoezi la utiaji Saini wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. John Pombe Magufuli akibadilishana makabrasha ya mkataba na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit mara baada ya kukamilika kwa zoezi la utiaji Saini wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. John Pombe Magufuli akibadilishana makabrasha ya mkataba na Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit mara baada ya kukamilika kwa zoezi la utiaji Saini wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akisalimiana na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Utiaji saini wa Mkataba wa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akisalimiana na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Utiaji saini wa Mkataba wa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akisalimiana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu kwa ajili ya Utiaji saini wa Mkataba wa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akisalimiana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu kwa ajili ya Utiaji saini wa Mkataba wa kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akikagua Gwaride la Heshima mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akikagua Gwaride la Heshima mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. John Pombe Magufuli akitia saini kwenye mkataba wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dk. John Pombe Magufuli akitia saini kwenye mkataba wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akitia saini kwenye Mkataba wa Sudani Kusini kujiunga na Jumuia ya Afrika Mashariki.
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit akitia saini kwenye Mkataba wa Sudani Kusini kujiunga na Jumuia ya Afrika Mashariki.
Rais Dk. Magufuli akitoa hotuba yake mara baada ya zoezi la utiaji Saini kukamilika.
Rais Dk. Magufuli akitoa hotuba yake mara baada ya zoezi la utiaji Saini kukamilika.
 

Gallery

Popular Posts

About Us