KINGAZI BLOG: May 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 31, 2016

Hii hapa Nyongeza Ya Majina ya Vijana Waliomaliza Kidato cha 6 Wanaotakiwa Kujiunga na JKT Kabla ya Tarehe 10 Mwezi wa 6



Vijana wafuatao wameongezwa kuhudhuria mafunzo ya jkt katika makambi mbalimbali kama inavyoonekana hapo chini.

Pia baadhi ya vijana wamehamishwa makambi kutokana na sababu mbalimbali.Waripoti kwenye makambi kama inavyoonekana  hapa chini kabla ya tarehe 10 juni 2016.

S/NO    JINA                                                        KIKOSI

1     ABDILLAH RAMADHANI HAJI         MGAMBO JKT

2     ABDUL M. MTEKETA         MGAMBO JKT

3     ABDULAZIZ SALUM AHMAD         MARAMBA JKT

4     AGNES PETER MAGANGA         RUVU JKT

5     AGNESS EMMANUEL KITANDU         RUVU JKT

6     AGNESS PETER MAGANGA         MARAMBA JKT

7     AJUAE DAVIS AMINIELI         KANEMBWA JKT

8     ALEX MLOSO         MARAMBA JKT

9     ALFRED AIDAN MBANO         RUVU JKT

10     ALLY KAFERA ALLY         KANEMBWA JKT

11     ALVIN ISMAEL MAKUNDI         RUVU JKT

12     AMBWENE FRANK MWAKANEMA         MARAMBA JKT

13     AMOS ASEGE         RUVU JKT

14     AMOS KINGU         MARAMBA JKT

15     ANNA JORAM TIMBA         RUVU JKT

16     ANNA M. JANUARY         MSANGE JKT

17     ANTIA PANCRAS KAKWERA         RUVU JKT

18     AVITUS MUSHABI         RUVU JKT

19     BEATRICE BONFACE         MARAMBA JKT

20     BEAUTNESS JOHN NJAU         RUVU JKT

21     BENJAMIN STEPHEN NYANDA         RUVU JKT

22     BERNADINAH T. MAYOMBYA         RUVU JKT

23     BIBIANA CLETUS NJOKHA         RUVU JKT

24     BONIFACE DEOGRATIUS         RUVU JKT

25     BONIFACE JOHN         RUVU JKT

26     BRENDA JOHN BABU         MARAMBA JKT

27     BUNURI JUMA         RUVU JKT

28     CALISTER MKOLO         RUVU JKT

29     CAROLINE HENRY KABOGO         MARAMBA JKT

30     CAROLINE SOSTHENES MAHERI         RUVU JKT

31     CECILIA MPEMBA         RUVU JKT

32     CLEMENCE GWINO         RUVU JKT

33     COSTANTINE PETER         RUVU JKT

34     DANIEL BENEDICT MASHIKU         MAKUTOPORA JKT

35     DAVID L. MARIBA         RUVU JKT

36     DAVID R. MKUMBO         RUVU JKT

37     DENIS G SADALA         MARAMBA JKT

38     DEOUS SILIVESTA LUBINGA         RUVU JKT

39     DIALO MNYUKI         MAFINGA JKT

40     DICKSON JOCTAN MATOGO         MARAMBA JKT

41     DONAT ERENEST MAJALA         MAKUTOPORA JKT

42     DONATH ERNEST MAJALA         MAKUTOPORA JKT

43     DORCUS DEOGRATIUS         RUVU JKT

44     EDDAH SAUL ASWILE         RUVU JKT

45     EDWARD MMBARA MKIZU         MARAMBA JKT

46     ELAIN DIDAS MUTABINGWA         RUVU JKT

47     ELIAN E. NGONDO         RUVU JKT

48     ELINAZI YOAZ MSUYA         RUVU JKT

49     ELIZABETH DANIEL KIYABO         MGAMBO JKT

50     ELIZABETH MWAKITEGA         RUVU JKT

51     ELVIS MAHENGE SIMON         RUVU JKT

52     EMMA A. KILONZO         RUVU JKT

53     EMMANUEL PHILIPO         MGAMBO JKT

54     EVELYNE SCARION         RUVU JKT

55     EZEKIEL KWAKA MSESE         RUVU JKT

56     FABE MAGNUS NGONYANI         MAKUTOPORA JKT

57     FANUEL VICTOR KISIRI         RUVU JKT

58     FELICIAN PASCHAL ULAYA         RUVU JKT

59     FESTO MWAKAYO         RUVU JKT

60     FRANCES MASHAKA LUJAJI         RUVU JKT

61     FRODIANUS FIDERI         RUVU JKT

62     GABRIEL PATRICK LWESYA         MLALE JKT

63     GAUDENSIA MOHAMED MWALUNGWE         MAKUTOPORA JKT

64     GEORGE STANSLAUS SHAYO         RUVU JKT

65     GEORGIA ISHENGOMA         RUVU JKT

66     GERVAS PASCHAL KIHANGA         RUVU JKT

67     GETRUDE J. MASIMBANI         RUVU JKT

68     GIFTI A. LUGOME         MARAMBA JKT

69     GLORIA ALBERT MARINGO         RUVU JKT

70     GODFREY CHRISTIAN ROEBERT         RUVU JKT

71     GOODLUCK JOHN WILLSON         MGAMBO JKT

72     GREEN EUSTAD         RUVU JKT

73     GROLIA GODWIN KAHWA         MAFINGA JKT

74     HAJI SHEMHILU         RUVU JKT

75     HAPPINESS MGURU         RUVU JKT

76     HARRISON DAVID MRANGO         RUVU JKT

77     HASSAN RAJABU NJAU         RUVU JKT

78     HAWA ISSA MDENG'O         MARAMBA JKT

79     HAWA ISSA MDENG'O         MARAMBA JKT

80     HERI MOHAMED MKUMBEGE         RUVU JKT

81     HERIETH MAHENGE         RUVU JKT

82     HINDU HAMIS MRISHO         RUVU JKT

83     IBRAHIM ABDALLAH         RUVU JKT

84     IELEEN DIDAS MUTABINGWA         RUVU JKT

85     IMELDA IGNAS MBUNDA         MAKUTOPORA JKT

86     INZARI CHARLES LUGUTU         BULOMBORA JKT

87     IRENE KYENKUNGU         RUVU JKT

88     JACKLINE ADAM LEYNA         MGAMBO JKT

89     JACKLINE HERBET STEWARTH         MARAMBA JKT

90     JACKSON LUPAKISYO MWAIPUNGU         RUVU JKT

91     JAFARI S. JAFARI         RUVU JKT

92     JANE MGINJA MTIMBA         RUVU JKT

93     JANETH FORTUNATUS WAMBURA         RUVU JKT

94     JANETH V. KILONZO         RUVU JKT

95     JAPHET MASOTA         MARAMBA JKT

96     JASMIN MARTIN         RUVU JKT

97     JASMIN MARTIN SHAYO         MARAMBA JKT

98     JASMINE RASULI         RUVU JKT

99     JASON STEVEN         RUVU JKT

100     JIDIRU IZADINI KALOKOLA         RUVU JKT

101     JOHANITHA JOHN         MAFINGA JKT

102     JOHNSON JONATHAN JOHN         RUVU JKT

103     JORAM MBOMA JONATHAN         RUVU JKT

104     JOSEPH E. JOHNSON         MARAMBA JKT

105     JOSEPH REGNALD TUNGALAZA         RUVU JKT

106     JOSEPH TARIMO         RUVU JKT

107     JOSEPHINE BONIFACE MHANDO         RUVU JKT

108     JUENI MALIJANI         RUVU JKT

109     JUSTINE REGNALD MAKENE         RUVU JKT

110     KELVIN GEDION LEMNGE         MARAMBA JKT

111     KHADIJA E. KALONGA         RUVU JKT

112     KIBIBI HASAN JAMBIA         MARAMBA JKT

113     LAULENCIA ENGITRAUDA         842KJ

114     LEAH THOMAS MTWEVE         RUVU JKT

115     LILAN HENRY CASTORY         MAKUTOPORA JKT

116     LILIAN KANG'WA MASANJA         RUVU JKT

117     LUCIA JORAM TIMBA         RUVU JKT

118     LUGENDO LUCAS CHAPUGA         RUVU JKT

119     MARIAM M. JUMA         RUVU JKT

120     MARIAM WAMBURA         MSANGE JKT

121     MARIAMU S LIPENDE         MAKUTOPORA JKT

122     MARKO MICHAEL KASONI         RUVU JKT

123     MARTIN EWALD MALYAWERE         RUVU JKT

124     MARTINA GEORGE MWAILUSI         RUVU JKT

125     MARY ANTHONY MASSAWE         RUVU JKT

126     MARY I MREMA         MAKUTOPORA JKT

127     MASTERBETTER JOHN         RUVU JKT

128     MATHIAS BAHATI ORESTI         MAKUTOPORA JKT

129     MESHACK MARTIN LYIMU         MARAMBA JKT

130     MESHACK MARTIN LYIMU         RUVU JKT

131     MICHAEL DEOGRATIUS NJAU         MGAMBO JKT

132     MIRIAM M. JUMA         RUVU JKT

133     MUSSA KALUME AGUSTINE         RWAMKOMA JKT

134     MUSSA S. MAIGE         RUVU JKT

135     MWAMINI KADUMA         RUVU JKT

136     NAISHOOKI WILBERT OLE-MBILE         RUVU JKT

137     NAOMI ENMANUEL LEKASHINGO         MARAMBA JKT

138     NASRA NURDIN YUSSUPH         RUVU JKT

139     NEEMA JAMES MANYAMA         RUVU JKT

140     NEEMA MAIKO MASAGASI         RUVU JKT

141     NEEMA MSUYA         RUVU JKT

142     NESTARY AGATHON NDUNGURU         MAFINGA JKT

143     NESTARY AGATON NDUNGURU         MAFINGA JKT

144     NICODEMO JACOB         RUVU JKT

145     NOEL JAMES MWAKISOMBE         RUVU JKT

146     NORBERT NOEL         KANEMBWA JKT

147     NUSRAT ZAKARIA         RUVU JKT

148     OCTAVIAN BUBERWA         RUVU JKT

149     OMARI DIWANI OMARI         RUVU JKT

150     OMARY MAKOTA ALLY         KANEMBWA JKT

151     PAUL KATUNZI         MSANGE JKT

152     PRISCILA WENDE MGANA         MAKUTOPORA JKT

153     PROJESTUS H.CHAMAHANGA         RUVU JKT

154     RACHEL DAVID ISSAME         RUVU JKT

155     RACHEL DAVID ISSAME         RUVU JKT

156     RACHEL RAYMOS FOYA         RUVU JKT

157     RAHEL FESTUS ISOKOZA         RUVU JKT

158     RAMADHANI ALLY NJERA         RUVU JKT

159     RAMADHANI MBWAMBO         MARAMBA JKT

160     RAMADHANI RAJABU RAMADHANI         RUVU JKT

161     RAMADHANI RAJABU RAMADHANI         RUVU JKT

162     RECHO DANIEL MWALIMU         MAKUTOPORA JKT

163     REHEMA DEUS RUBALE         RUVU JKT

164     REHEMA SHAWARI IKAJI         MARAMBA JKT

165     REMIDIUS REYMOND MUTA         RUVU JKT

166     RETISIA SAANANE         RUVU JKT

167     RIDHIWANI SHABANI MAKUMBI         MGAMBO JKT

168     RISHAD KIHOMO MLELWA         RUVU JKT

169     ROGERS JOHN EZEKIEL         RUVU JKT

170     ROMAN CASTORY         RUVU JKT

171     ROSEMARY T. MASIAGA         MSANGE JKT

172     SADICK HASHIM MWAISAKA         RUVU JKT

173     SAIMON P. SOZIGWA         MARAMBA JKT

174     SALA A. MWAKAJWANGA         RUVU JKT

175     SALEHE MACHIBYA JONIOR         MGAMBO JKT

176     SALMIN AMRI         MARAMBA JKT

177     SALOME AMOS         RUVU JKT

178     SALOME SHITUNGURU         RUVU JKT

179     SHUKRANI MWAIPWISI         MAFINGA JKT

180     SIMON P. SOZIGWA         RUVU JKT

181     SOLINA SABAS         RUVU JKT

182     SOPHIA DEUS RUBALE         RUVU JKT

183     SOPHIA S. MATHIAS         MARAMBA JKT

184     STEPHEN F. NDALUSE         RUVU JKT

185     STIVEN NDALUSO         RUVU JKT

186     SUSAN PATRICK MNASIZU         RUVU JKT

187     SWEED IDD         RUVU JKT

188     TATU HAMAD HATIBU         RUVU JKT

189     TATU JUMA MYOVELA         MARAMBA JKT

190     TOMESTECLES H.CHAMAHANGA         RUVU JKT

191     TUMAINI JOHN MAKUNENGE         BULOMBORA JKT

192     TUMPALE JAPHET         RUVU JKT

193     VAILET GEORGE SIMBA         RUVU JKT

194     VALERIAN VEREMUND CHARLE         MAFINGA JKT

195     VERONICA CASMIR NDAMBARIKA         MAKUTOPORA JKT

196     VERUS THOBIAS KASONSO         RUVU JKT

197     VERUS TOBIAS KASONSO         RUVU JKT

198     VICTOR DAUDI ANYASIME         RUVU JKT

199     VICTOR L. AMBELE         RUVU JKT

200     VICTORY HENRY         RUVU JKT

201     WALTER FRUGENCE SAMKY         RUVU JKT

202     WILLIAM OSIAS MWANYIKA         RUVU JKT

203     WILLIAM PATRICK ASSEY         MGAMBO JKT

204     YASSER HAMAD MALESA         MARAMBA JKT

205     ZAMDA MWALIMU         MAKUTOPORA JKT

Haya hapa Magazeti ya Leo Jumanne ya May 31 2016

Karibu,tunakuletea kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo mei 30 usisahau kulike page yetu ya facebook/tanzaniampyasasa na twitter/tanzaniampyasasa




Wabunge Watoa maoni yao kuhusu wenzao kusimamishwa,wengine wapongeza.

Baadhi ya wabunge wa chama tawala wamepongeza uamuzi wa bunge wa kuwasimamisha wabunge 7 wa upinzani kwa kutofuata sheria za bunge kwa kutaka kushinikiza kujadiliwa kwa hoja ambayo ilikuwa imeshatolewa maamuzi kuhusu bunge kurushwa live.

Baadhi ya wabunge hao ni Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ambaye ameupongeza uamuzi wa Bunge na kusema kwamba ni lazima ifike sehemu adhabu itawale bungeni. Wabunge 7 waliosimamishwa wamepewa kitu wanachostahili kwa kuvunja kanuni.

Mbunge wa Geita vijijini Joseph Kasheku Msukuma amesema kwamba adhabu hiyo ni sawa kwa wabunge hao ili iwe fundisho kwa wabunge wapya.

Kwa upande wake Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga amesema kwamba kusimamishwa huko kutajenga heshima ya Bunge na kuwa fundisho kwa wengine.

Aidha Wabunge waliosimamishwa ni Tundu Lissu na Ester Bulaya vikao vya mkutano wa tatu na wanne, Godbless Lema, Zitto Kabwe, Paulin Gekul, na Halima Mdee vikao vyote vya mkutano wa tatu na John Heche vikao 10 vya mkutano unaoendelea sasa.

Udaku specialblog

Alichokisema Zitto kabwe baada ya kufungiwa kuhudhuria vikao vya bunge kupitia twitter.


Muda mfupi baada ya kutolewa taarifa ya kusimamishwa kwa wabunge saba wa Upinzani akiwemo Zitto Zubery Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha Act-Wazalendo ametumia akaunti yake ya Twitter kueleza haya kuhusiana na Sakata hilo:

 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Wabunge wafuatao tunajadiliwa kusimamishwa kazi za Bunge kwa vipindi tofauti tofauti. Wabunge hao ni Tundu...hfb.me/4Zsu1o7FE 

7:22 PM - 30 May 2016

  313  202


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Tundu Lissu, Godbless Lema, Halima Mdee, Esther Bulaya and John Heche also debated to be suspended for different times

7:20 PM - 30 May 2016

  484  323


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Wabunge wote wa Upinzani wamepewa onyo kali kwa kung'ang'ania kutaka Bunge lionyeshwe moja kwa moja na Shirika la TBC

7:34 PM - 30 May 2016

  747  353


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Tundu Lissu na Esther Bulaya wanasimamishwa kwa mikutano 2 ya Bunge ( yaani wasiingie Bungeni mpaka mwaka 2017)

7:40 PM - 30 May 2016

  848  373


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Mimi na Halima tunasimamishwa shughuli za Bunge mpaka mwezi Septemba

7:41 PM - 30 May 2016

  787  383


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Mbunge Msukuma " hili ni fundisho kwa wabunge wengine". Huyu ni Mbunge ambaye alitaka Bangi iruhusiwe kulimwa

7:43 PM - 30 May 2016

  636  404


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Ridhiwani Kikwete " lazima ifike sehemu adabu itawale Bungeni. Hawa wabunge wamepewa kitu wanachostahili. Kanuni...hfb.me/86IZUBqFZ 

7:45 PM - 30 May 2016

  414  181


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Kigwangalla: " anataka wabunge wasiadhibiwe zaidi ya vikao 10"

7:48 PM - 30 May 2016

  464  292


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Goodluck Mlinga ( aliyetaka sanamu la Askari pawekwe mdogo wangu Diamond) : " tunajenga heshima ya Bunge. Iwe fundisho. Naunga mkono hoja."

7:54 PM - 30 May 2016

  494  424


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

I dedicate this to my friend Deo Haule Filikunjombe. It is his victory and I won't celebrate this as to me the election became meaningless


Monday, May 30, 2016

Wengine tena waongezeka wafikia saba,Bunge limeamua kuwafungia kushiriki vikao vya bunge vilivyobaki.


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge limepitisha azimio la  kuwasimamisha kuhudhuria vikao vya Bunge baadhi ya wabunge wa Kambi ya Upinzani waliohusika katika kufanya vitendo vya vurugu ndani ya ukumbi na kudharau Mamlaka ya Spika Januari, 27, 2016.

Wabunge waliosimamishwa kuhudhuria vikao hivyo ni Mhe.Kabwe Zubeiri Ruyangwa Kabwe, Mhe.John Heche, Mhe.Halima Mdee,Mhe.Tundu Lissu, Mhe.Halima Mdee, Mhe.Pauline Gekul  na Mhe. Ester Bulaya.

 

 Azimio la adhabu kwa wabunge hao limetolewa na Bunge chini ya Kifungu cha 30A (1) cha sheria ya Haki Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na kanuni ya 74 (4) na (6).

Akisoma adhabu hizo Mwenyekiti wa kamati hiyo yenye wajumbe 15 Mhe.George Huruma Mkuchika amesema kuwa uchunguzi uliofanywa na Kamati hiyo kwa kuwaita na kuwahoji wahusika ulibaini kuwa wabunge hao walitenda kosa kwa kukiuka kanuni zinazoliongoza bunge hilo.

 

 Imebainishwa kuwa Mhe.Zitto Kabwe alivunja masharti ya Kifungu cha 24(c), (d) na (e) cha Sheria ya Haki na Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 60(2) na (12) , 74(1) na (b) kwa kusimama na kuzungumza bila kufuata utaratibu na kudharau mamlaka ya Spika.

Kamati hiyo ilibaini kuwa Mhe.Godbless Lema, Mbunge wa Arusha alivunja Masharti ya kifungu cha 24 (c),(d) na (e) cha Sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 pamoja na Kanuni ya 74(1) (a) na (b) ya kanun hiyo Kudharau Mamlaka ya Spika.

Kwa upande wa Mhe.John Heche alivunja kanuni ya 72 (1) na 68(10) ya kanuni za Bunge kwa kuendelea kusimama na kuomba mwongozo kwa jambo ambalo limekwishatolewa mwongozo na kuongeza kuwa vitendo hivyo vilivuruga shughuli za Bunge.

Kwa mujibu wa maelezo ya kamati hiyo Mhe.Halima Mdee, Mhe.Tundu Lissu,Mhe Pauline Gekul  na Mhe.Ester Bulaya walivunja masharti ya kifungu cha 24 (c), (d) na (e) cha sheria ya Haki,Kinga na Madaraka ya Bunge Sura ya 296 na Kanuni ya 72 (1)68 (10), 60(2) na 12 na 74(1) (a) na (b) kwa kusimama na kuendelea kuomba mwongozo kwa jambo ambalo limekwishatolewa uamuzi, kuzungumza bila kufuata utaratibu na kudharau Mamlaka ya Spika.

Kufuatia uchunguzi huo Bunge kupitia kamati hiyo limeazimia kuwa Mhe. Ester Bulaya na Mhe.Tundu Lisu wasihudhurie vikao vyote vya mkutano wa tatu wa Bunge la Kumi na Moja vilivyobaki kuanzia tarehe 30 Mei , 2016 pamoja na vikao vyote vya Mkutano wa Nne wa Bunge la Kumi na Moja kwa kuwa walipatikana na makosa ya ukiukwaji wa Kanuni na kuonyesha dharau kubwa kwa mamlaka ya Spika.

Aidha, Bunge limeazimia kuwa Mhe. Pauline Gekul, Mhe.Godbless Lema, Mhe.Zitto Kabwe na Mhe Halima Mdee wasihudhurie vikao vyote vya mkutano wa tatu wa Bunge kuanzia tarehe 30 Mei 2016.

Aidha  Bunge limeazimia Mhe.John Heche asihudhurie vikao kumi mfululizo vya Mkutano wa Tatu wa Bunge hilo kuanzia Mei, 30, 2016 kwa kuwa alipatikana na kosa moja na pia kwa kuwa alitoa ushirikiano kwa kamati kwa kufika na kujibu maswali yote kama alivyoulizwa pamoja na kuheshimu vikao vya kamati na Mwenyekiti aliyeongoza vikao hivyo.

Pamoja na adhabu hizo Kamati hiyo imetoa maoni na mapendekezo kuwa Bunge liandae mafunzo ya kutosha kwa wabunge wote kuhusu matumizi ya uzingatiaji sahihi wa kanuni sahihi wa kanuni za Kudumu za Bunge hasa kanuni za majadiliano ndani ya Bungeni.

Aidha, Kamati hiyo imesema kuwa ipo haja ya kutungwa kwa kanuni za maadili kwa wabunge wote kama kifungu cha 12 A Cha Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge kinavyoelekeza ili kuweza kudhibiti nidhamu kwa wabunge kwa kuhakikisha heshima na hadhi ya Bunge inadumishwa.

Kwa upande wao baadhi ya wabunge wakichangia kwa nyakati tofauti kuhusu suala hilo wamesema kuwa ipo haja ya Bunge kurudisha heshima yake kwa wabunge wote kuheshimiana na kutoa michango yenye staha kwa kuzingatia nafasi walizonazo katika jamii.

Wamesema kuwa michango wanayoitoa ndani ya Bunge hilo lazima ijikite katika masuala yanayowahusu wananchi wanaowawakilisha badala ya mambo yanayochochea vurugu na kulifanya Bunge lipoteze heshima yake katika jamii.

Aidha, wabunge hao wamekubali kwa kauli moja kuanza upya kuzingatia kanuni zinazoendesha vikao vya Bunge huku wakimtaka Spika wa Bunge au Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutosita kuchukua hatua za haraka kwa mbunge yeyote atakayekiuka utaratibu na kanuni zilizowekwa.

Kesi ya Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Zanzibar Kufumaniwa Akifanya Mapenzi na Mtoto Wake Yatupiliwa mbali



Kesi ya Faki Dadi Faki yatupiliwa nje maana binti ni mtu mzima ana miaka 21 though yuko form 6. Na sio mtoto wa kumzaaaa so hakuna incest.Na wala binti hakumshtua mamake ilikuwa Ndo mchezo wao mama mtu aliwafatilia mwenyewe.. Hata ile video ukiangalia utamuona binti anavaa chupi huku anapiga kelele analia... Mtu alie panga na manake Kweli anavua Hadi chupi??? Mimi kilichonistua kuhusu story ya Kuwa binti alisema Kwa mamake ni jinsi alivyo Kuwa analia Kwa mshtuko huku akivaa chupi..So conclusion hapa ni kwamba wooooooote wawili they are to blame because binti ni mzeee mzima.. Wengine 21 Tayari tuna mimba za kina Bhoke, 21 ni mtu na akili zake timamu za kujua asitembeeeee na babake.... Angekuwa 16 tungemtetea Ila Kwa 21 Hapana aiseee....

Tundu Lissu na Esther Bulaya Wapigwa marufuku Kuhudhuria vikao vyote vilivyobaki vya Bunge.

Tundu Lissu na Esther Bulaya wafungiwa kuhudhuria vikao vyote vilivyobaki vya bunge la bajeti na bunge lijalo la mwezinwa tisa. Vilevile Zitto Kabwe, Pauline Gekul, Godbless Lema na Halima Mdee wafungiwa kushiriki vikao vilivyobaki vya bajeti na John Heche afungiwa kuhudhuria vikao kumi mfululizo vya bajeti kuanzia leo.
Huu ni uamuzi wa kamati Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge chini Mh George Mkuchika (Mb)

SUALA LA POMBE AINA YA KIROBA DAWA ZA KULEVYA,SERIKALI YAFANYA MAAMUZI HAYA.




Hakuna kitu kinachowaharibu vijana wa Tanzania kama madawa ya kulevya na viroba.
January
Lakini wakati vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya ikionekana kuendelea kuwa ngumu, serikali inakaribia kupata ushindi kwenye vita dhidi ya viroba. Serikali imetangaza kupiga marufuku utengenezaji, usambazaji na uingizaji wa plastiki nchini hadi kufikia mwaka 2017.
Hiyo inamaanisha kuwa viroba vitakuwa vimechimbiwa kaburi lake moja kwa moja. Uamuzi huo umetangazwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba wakati akizungumza na waandishi wa habari Jumapili.
Alidai kuwa mifuko hiyo ambayo mingi hutolewa bure imekuwa mstari wa mbele katika uchafuzi wa mazingira nchini. Alisema uamuzi huo utaanza kutekelezwa ili kuwapa muda wafanyabiashara wanaoingiza mkate wa kila siku kupitia biashara hiyo kutafuta nyingine mapema kabla mambo hayajawa magumu kwao.
Pamoja na kuharibu nguvu kazi ya taifa, viroba ambavyo hutumiwa na vijana wengi katika muda ambao walipaswa wafanye kazi, mifuko yake imekuwa ikichafua mazingira ikiwa ni pamoja na kuziba mifereji mbalimbali ya kupitisha maji.
Hata hivyo kuzuiwa kwa mifuko ya plastiki kutawafanya watengenezaji wa vilevi vya bei chee kufikiria njia mbadala ya kufungasha zaidi ya chupa zilizoeleka.  

BONGO 5

Habre ahukumiwa kifungo cha maisha jela.


Image copyrightAFP
Image captionHabre alipatikana na makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu , ubakaji na utumwa wa ngono.
Aliyekuwa rais wa Chad Hissene Habre amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika kwenye uhalifu dhidi ya ubinadamu , ubakaji na utumwa wa ngono.
Hissene Habre alihusika moja kwa moja katika uhalifu huo ambao ulifanyika wakati akiwa rais wa Chad.
Waathiriwa waliokuwa ndani ya mahakama wakati wa kusomwa kwa hukumu hiyo mji Dakar nchini Senegal, walishangilia wakati jaji alimaliza kusoma hukumu.
Bwana Habre anatuhumiwa kwa kuamrisha mauaji ya watu 40,000 wakati wa utawala wake miaka ya 80, madai ambayo ameyakana
Habre alikamatwa nchini Senegal , na kupelekwa uhamishoni mwaka 2013.

BBC

PICHA 8: Wabunge walivyoamriwa kutoka bungeni baada ya kufukuzwa kwa wanafunzi UDOM

Naibu Spika Tulia Ackson ameamuru Wabunge kutolewa nje ya bunge baada ya baadhi ya Wabunge hao kusimama kupinga kitendo cha bunge kakataa kujadili suala la Serikali kuwataka wanafunzi wa UDOM kurudi kwao ndani ya saa 24 kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea kwa sasa.
AW1A0974
Baadhi ya wabunge wakionekana kujadili jambo
AW1A0973
AW1A0917
Mbunge wa Chemba Juma Nkamia alivyosimama kuainzisha hoja hiyo
AW1A0956
Mbunge wa Arumeru Joshua Nassari akifafanua zaidi
AW1A0959
Baadhi ya wabunge wakitoka nje
AW1A0960
AW1A0987
AW1A0986
AW1A0984
 

Gallery

Popular Posts

About Us