KINGAZI BLOG: 06/13/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, June 13, 2016

Wanasayansi wasema Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele

WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade Robert Mugabe amegundulika kuwa na vinasaba (genes) ambavyo vitamfanya aishi milele (asife).


Robert Mugabemiaka ya 1980.

Utafiti huo wa siri unaongozwa na Daktari Irvin Koch umegharimu mabilioni ya fedha na kugundua pia kwamba Bob Robert mwenye miaka 92 sasa haweki dawa kichwani (SUPER BLACK) wala hajawahi kukata nywele zake licha ya kutojihangaisha na kula vyakula vya mimea (veggies) ama kwenda gym kufanya mazoezi.

Katika tafiti hiyo, Wanasayansi hao walichukua sampuli mbalimbali kutoka kwa Bob ikiwemo damu yake, nguo zake, miswaki aliyokuwa akitumia, na hata chanuo kwa miongo kadhaa na kugundua kuwa hakuna hata chembe ya umauti kwa Mugabe.

Baadhi ya watu wameanza kuamini kuamini tafiti hizo baada ya kugundua kutoka kwenye picha za Mugabe akiendelea kupeta katika muonekano huohuo huku akiwa mwenye siha ya haja kwa miaka mingi sasa.

Mpinzani wake mkuu kwenye siasa za Zimbabwe ambaye ni Kongozi wa Chama cha MDC, Morgan Tsvangirai (ama kwa kuguswa kwamba ausahau uraisi) amejibu kwa kejeli kwamba ‘Mugabe ni makusanyo ya nyama na mifupa kama hayawani wengine wote’ na kwamba kila nafsi itaonja mauti (Kulu ‘nafsi dhaaikatul ‘maut).

Inasemekana kwamba utafiti huo unaendelea mpaka mwaka 2018 ndipo utakamilika.

Source: Newssa/Mzansi Satire


Nuh amuumbua upya Shilole


Nuh Mziwanda akiwa na mrembo anayedaiwa kufanana na Shilole.

Stori: BONIPHACE NGUMIJE, WIKIENDA

Dar es Salaam: Msanii anayefanya poa kwenye Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amemuumbua upya aliyekuwa mwandani wake, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kwa kuanika A-Z ya namna alivyokuwa anamnyanyasa kwenye uhusiano wao wa kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana naye. Wikenda limeinyaka.


Zuwena Mohammed ‘Shilole’

Akizungumza na Wikienda mara baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya wa Jike Shupa huku ndani yake akigusia kiduchu figisufigisu alizokutana nazo kwenye uhusiano huo akimtumia mrembo anayefanana na Shilole ‘Shilole bandia’.

Nuh aliliambia gazeti hili kuwa alishindwa kustahimili kuacha matukio ya uhusiano wake yapite hivihivi bila kuyagusia kidogo kwenye wimbo wake huo kwa sababu alihisi watu hawamuelewi kile alichokuwa anakisema juu ya Shilole.

“Nimeamua kufanya hivi ili Watanzania waone jinsi Shilole alivyokuwa ananifanyia kupitia mtiririko wa matukio kwenye kichupa changu. Kiukweli inaumiza sana lakini hivyo ndivyo roho yake ilivyo, sijali ataumbuka kwa kiasi gani lakini hizo ni hisia zangu ambazo nimeamua kuziweka upya,” alisema Nuh huku akiongeza kuwa kwa sasa yuko kwenye uhusiano na mwanadada aitwaye Nawal.

Hata hivyo, baada ya gazeti hili kuchonga na Nuh lilimtafuta Shilole ambaye alipoulizwa juu ya sakata hilo alidai kuwa hataki kumzungumzia Nuh wala kusikia habari zake maana hata video yenyewe hawezi kuiangalia.

“Sitaki kusungumzia habari za mtu mwingine, no coment, labda kama kuna ishu nyingine unaweza
kuniambia,” alisema Shilole. Shilole na Nuh waliachana miezi kadhaa iliyopita ambapo mrembo huyo alidai alikuwa akimlea jamaa huyo hivyo Nuh naye ameamua kueleza ukweli namna ambavyo Shilole aligeuka mwanamasumbwi ndani ya nyumba.

Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba Kutoka mwezi huu.

 Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizokuwa wakizingoja kwa hamu hatimaye zitaachiwa hivi karibuni.

DIAMOND F/ P-SQUARE

Huu ni wimbo wa Diamond aliowashirikisha mapacha maarufu zaidi Afrika, Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square. Video ya wimbo huo ilifanyika April 24 nchini Afrika Kusini. Na sasa hitmaker huyo kupitia post yake ya Instagram amewaeleza mashabiki wake kuwa collabo hiyo inatoka ‘soon.’

 Wimbo huo unatoka ikiwa ni takriban mwaka mmoja sasa kundi la P-Square halijaachia wimbo wake mpya. Wimbo rasmi wa mwisho wa kundi hilo la nchini Nigeria kutoka ulikuwa ni Collabo waliomshirikisha Don Jazzy. Miezi ya hivi karibuni wawili hao waliingia kwenye mgogoro wa kifamilia uliopelekea kuondolewa kwa kaka yao Jude kama meneja wao wa muda mrefu.

Mgogoro wa wawili hao ulipelekea kuwepo kwa kila dalili za kundi hilo kuwa limevunjika huku kila mmoja akianza kuwekeza nguvu zake kwenye miradi binafsi. Kwahiyo Diamond ana collabo kubwa mkononi mwake itakayoitikisa Afrika nzima huku kiu ya sauti za Peter na Paul wakiwa pamoja tena zikiifanya kuwa ‘collabo ya dhahabu.’

Kingine kwa watu waliobahatika kuiona video ya ngoma hiyo wanasema ni video kali itakayomweka Diamond level nyingine.

Na huenda staa huyo ameitengenezea timing nzuri zaidi ya kuiachia itakayoangukia kwenye msimu wa tuzo za BET mwishoni mwa mwezi huu. Kwa kuachia collabo kubwa kama hiyo katika msimu huo, anajitengenezea sababu ya kuwa msanii anayestahili kuishinda tuzo ya Best International Artist: Africa mwaka huu.


Wiki tatu kabla mauti hayajamkuta Papa Wemba kwa kuanguka jukwaani na kufariki wakati akitumbuiza mjini Abidjan, Ivory Coast, April 24, muimbaji huyo mkongwe aliingia studio kurekodi wimbo na Diamond. Tarehe ambayo Papa Wemba alifariki, ndiyo ambayo Diamond alikuwa location kushoot video ya wimbo aliowashirikisha P-Square.

Kwahiyo ni bahati na heshima kubwa kwa staa huyo wa Tanzania kufanikiwa kushirikishwa na mwanamuziki huyo nguli aliyekuwa na sauti ya aina yake wiki chache kabla ya kifo chake.

Kupitia akaunti ya Instagram ya marehemu Papa Wemba ambayo bila shaka inaendelea kusimamiwa na watu wake wa karibu, imetangazwa kuwa wimbo huo utatoka June 24. Wimbo huo utakuwepo kwenye ile ambayo ingekuja kuwa album yake mpya, From Generation to Generation.

Kama zitatoka katika wiki zitakazofuatana, basi collabo hizi zitamfanya Diamond ateke vichwa vya habari vya Afrika na kumuongezea ukubwa wake unaoendelea kukua kila siku kwenye muziki wa Afrika.

How much sleep should a child get every night? US experts reveal answer


Guidelines revealed by American Academy of Sleep Medicine for children from babies to teenagers

 A newborn baby boy sleeps. Experts have revealed how much sleep babies and teenagers should get every night. Photograph: Alamy

Parental warning: Don’t lose sleep over new guidelines on how much shut-eye your kids should be getting.

The recommendations range from up to 16 hours daily for babies to at least eight hours for teens. They come from a panel of experts and give parents fresh ammunition for when kids blame them for strict bedtimes.

Should I sleep-train my child?

 

Read more

The guidelines released Monday are the first-ever for children from theAmerican Academy of Sleep Medicine. They encompass recommendations the American Academy of Pediatrics has made at different times for different ages.

According to the guidelines: Adequate sleep is linked with improved attention, behaviour, learning, mental and physical health at every age covered. And insufficient sleep increases risks for obesity, diabetes, accidents, depression and in teens, self-harm including suicide attempts.

The recommendations are based on a review of scientific evidence on sleep duration and health.

Recommended daily/nightly sleep duration

12 hours to 16 hours including naps for infants aged 4 months to 12 months. Younger infants aren’t included because they have a wide range of normal sleep patterns.

11 to 14 hours including naps for children aged 1- to 2 years.

10 to 13 hours including naps for children aged 3 to 5 years.

9 to 12 hours for children aged 6 to 12 years.

8 to 10 hours for teens aged 13 to 18 years.

Old rivals, new threats: Zimbabwe's politicians ready themselves for Mugabe's death

Political atmosphere is becoming increasingly turbulent as potential leaders fight to reinvent themselves,

 Many people in Zimbabwe fear that violence will erupt when Robert Mugabe dies.

To the casual observer, nothing much seems to have happened in Zimbabwe in recent years: Robert Mugabe, the world’s oldest head of state, remains president and Zanu-PF is still the ruling party more than 35 years after it took power.

But there has, in fact, been a tectonic shift. Like Zimbabwean society itself the opposition has become deeply fractured and any meaningful cooperation between the multitude of opposition parties seems unlikely. Moreover, this fragmentation has affected Zanu-PF itself – and that’s a big deal.

The man behind #ThisFlag, Zimbabwe's accidental movement for change

Of course, the party has always been riven by factions but much of what has made Mugabe so successful has been his uncanny ability to manage these conflicts and turn them to his advantage.

A sense of balance has been key. Internal opponents and troublemakers were isolated and, where necessary, excommunicated or worse. Others were rewarded for their loyalty. In doing so, Mugabe has for nearly 40 years managed to prevent schisms from becoming wide enough to threaten the party.

That has now changed. Over the past 18 months, an unprecedented purge has effectively demolished this delicately balanced edifice. Most conspicuously, former vice-president Joice Mujuru and many of her allies were expelled from the party in 2015.

Mugabe is 92, and with elections on the horizon, Zimbabwe’s political atmosphere is becoming increasingly turbulent as a miscellany of groups and individuals compete for the right to take over when Mugabe dies, or is no longer capable of running the show.

Inconvenient truths

A driving force behind the new ructions in the party is the first lady, Grace Mugabe. Since the ousting of Mujuru, Grace and her faction have antagonised and provoked ambitious groupings around vice-president Emmerson Mnangagwa and various security services chiefs. Many fear that violence will erupt when Mugabe dies.

Meanwhile, Mujuru and other former Zanu-PF members have joined the unfamiliar ranks of the opposition. Many people, both inside and outside the country, see Mujuru’s newly announced party, Zimbabwe People First (ZimPF), as the potential leader of a coalition capable of garnering enough support to win elections, due to be held in 2018. That’s assuming agreement can be reached between opposition groups.

Analysis New documents claim to prove Mugabe ordered Gukurahundi killing

However, Mujuru – like Mnangagwa and others who are trying to reinvent themselves – faces significant problems. Awkward questions have arisen about their involvement in an event that many former Zanu-PF members would prefer everyone forgot.

That event is the Gukurahundi, when thousands of Ndebele speakers were killed by the army’s fifth brigadebetween 1983 and 1984. The pretext for these massacres was the emergence of a “dissident” or bandit problem in Matabeleland, which the government alleged to be orchestrated by the rival political party, Zapu, under Joshua Nkomo.

 Robert Mugabe emerges from exile at Harare Fields, 1980. Photograph: Brian Harris / Rex Features

Mnangagwa, who is vying for the presidency, recently denied a statement he is said to have made in 1983, quoted in a book by lawyer David Coltart. In it he allegedly threatened to burn down “all villages infested with dissidents” and asserted that the campaign against dissidents could only succeed if the infrastructure that nurtured them was destroyed.

Coltart pointed out that he had done nothing more than cite a contemporary account from 1983 in the state-run Chronicle newspaper.

Such statements were regularly issued by Zanu ministers in that period and enthusiastically reported by the state-owned media. Mugabe, for example, said in April 1983 that “communities which sympathised with dissidents must not be shocked when the government viewed them as enemies of peace as much as the dissidents themselves. Communities which helped dissidents must not be surprised if they were punished as severely as the dissidents.”

Discomfort over the Gukurahundi massacres is not confined to the Mnangagwa faction. A prominent defector to Mujuru’s ZimPF is retired brigadier-general Agrippah Mutambara, who was in 2007 accused by Judith Todd, the daughter of a former Rhodesian prime minister, of rape.

In her memoir, she claimed Mutambara assaulted her after she approached the government with evidence of the fifth brigade atrocities, and was instructed to liaise with him by Solomon Mujuru, then chief of the army and Joice Mujuru’s late husband.

Mutumbara has never responded to these allegations, but the bad news for Mujuru is that such exposure is set to increase rather than decrease with time. This claim, like that involving Mnangagwa, has long been a matter of public knowledge, but a great deal of new information is due to emerge as Mugabe’s end draws nearer.

Archives in Britain, Australia and America, which are a treasure trove of formerly classified information on Zimbabwean events during the 1980s, are also progressively disgorging masses of documents which will make for uncomfortable reading for those who were politically active in that period.

History of violence

'Want me to punch you?' says Mugabe at TV interviewer's retirement question

The threat posed by such inconvenient truths is well illustrated by the case of Didymus Mutasa, a long-time confidant of Mugabe who left the party with Mujuru and who is a high-profile founding member of ZimPF.

Mutasa’s latter-day conversion to democracy has come under fire from Jestina Mukoko, an activist who was abducted and tortured by government agents in 2008 when Mutasa was minister of state security.

Mukoko has since taken Mutasa to court, declaring that “it does not change anything that he is no longer with Zanu-PF and he is now with People First; he is still Didymus Mutasa … The message to Zimbabwe is that as Zimbabweans, we need to hold people to account. People need to be responsible for their actions”.

In March, Mutasa responded to Mukoko’s calls for him to expose the men who attacked her, telling the Zimbabwean Daily News site that he was unable to name them due to theOfficial Secrets Act.

Either way, Mutasa and others like him will have to become more accustomed to the prospect of legal action – and the humiliation it can bring.

 Former vice-president Joice Mujuru with Robert Mugabe. Mujuru is yet to react to being implicated in the Gukurahundi. Photograph: Jekesai Njikizana/AFP/Getty Images

Where next?

Where does all this leave Mujuru? In an attempt to present her party as something more than stale broth that’s has been reheated, she has mentioned the need for a national truth-telling exercise, similar to Desmond Tutu’struth and reconciliation commission. Yet, for many, a yawning credibility gap is likely to widen for as long as she remains silent about the histories of those in her own ranks.

Mujuru herself has been implicated in the Gukurahundi by diplomatic documents. An Australian cable released last year recounts a conversation with Eddison Zvobgo, a member of Zanu’s central committee, at the height of the killings in 1983.

Mugabe’s ​​death will lead to either regression, continued stagnation or some form of genuine change


Zvobgo spoke of a “decision of the central committee that there had to be a ‘massacre’ of Ndebeles”. Before the inception of the politburo in 1984, the 20-member central committee was the party’s peak policymaking body – and Mujuru was a member of it, as were Mnangagwa and Mutasa. In other words, the trio – all of whom seek power in a post-Mugabe dispensation – are said to have participated in a formal decision to launch the Gukurahundi.

Mujuru is yet to react to this disclosure. An honest account of what she saw, heard – and did (or failed to do) – during the Gukurahundi and other periods of abuse would win her the support of many Zimbabweans who yearn for real reform. On the other hand, such a move could alienate a large constituency within her fledgling party.

But the risks of inaction are also significant. Sooner rather than later, Mujuru will have to choose whether she will be a leader or a political operator; whether she will lead a movement or just another of Zimbabwe’s opposition parties.

Analysis Joice Mujuru: the woman threatening to topple Robert Mugabe's ruling party

Her dilemma is, in a sense, that of the nation itself. Mugabe’s death will lead to either regression, continued stagnation or some form of genuine change. Given the backdrop – which makes for an “operating system” riddled with malware – options one or two seem most likely.

At the same time, history is about human beings and the choices we make. That is why Zimbabweans, despite the crushing disappointments of the post-independence period, keep hoping against hope that change will come.

A version of this article first appeared on the Daily Maverick

Dr Stuart Doran is the author of a forthcoming book on the 1980s killings in Zimbabwe – Kingdom, power, glory: Mugabe, Zanu and the quest for supremacy, 1960–87

Picha 15: Watu 50 wameuawa shambulio la Kigaidi Marekani

June 12 2016 Wamarekani waliamka na habari za kushtukiza sana ambapo mauaji makubwa zaidi yametokea nchini humo baada ya kijana Omar Saddiqui Mateen mwenye miaka 29 kuingia club moja jimboni Florida na kufyatua risasi ambazo zilisababisha mauaji ya watu wasiopungua 50.

Taarifa zinasema kwamba kulikuwa na takribani watu 320 ndani ya klabu hiyo wakati tukio hilo linatokea na watu 100 walichukuliwa mateka, Mateen alipigwa risasi na maafisa na kufariki.

Mtuhumiwa wa mauaji hayo Omar Mateen

.

.

.

.

.

.

.

.

Ile kolabo ya Diamond platnumz na Marehemu Papaa Wemba yaiva,Ni gumzo!!!!


Hit Alert Song: Papa Wemba Ft. Diamond latnumz soon,Just few weeks ago we got a bad Information for the death of Papa wembaBefore his Death Diamond was already having a Collabo with late Artist Papa wemba so Diamond Platnumz has Promise to drop this hit on 24th June 2016, so stay updated with makubwa haya news we will make sure we will be the first one to show you their Classic Music.

right is Romy Jones and followed by Papa wemba then Diamond Platnumz, this photo was taken during their Collaboration before the death of Papa wemba.

Taarifa ya ACT- Wazalendo Kuhusu Kupotea Kwa Zitto Kabwe Tangu Jana Jioni


TAARIFA KWA UMMA

Tunaujulisha UMMA kwamba Kiongozi wa Chama chetu cha ACT Wazalendo ndg. Zitto Kabwe amekuwa anatafutwa na Polisi tangu jana usiku.

Mpaka sasa hatujui Kiongozi wetu yupo wapi na yupo kwenye Hali gani. Askari kanzu wanalinda nyumbani kwake na kwa watu wake wa karibu. 

Sisi kama chama tunaliambia jeshi la Polisi kuwa lolote litakalotokea kwa Kiongozi wetu wao watajibu kwa umma.

 

Msafiri Mtemelwa, 
Kaimu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo

Picha 8:Jionee teknolojia iliyitumika kujenga daraja la kigamboni.

Leo tarehe 19 April 2016 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Magufuli amefungua daraja la Kigamboni, daraja la kwanza la kuning’inia (Suspension Bridge) katika Afrika Mashariki likiwa na urefu wa mita 680.

Daraja hilo linaloshika nafasi ya tatu kwa urefu ukiacha daraja la Mkapa linaloshika nafasi ya kwanza (kilomita 1) huku lile la Umoja linalounganisha Tanzania na Msumbiji (mita 720) lilojengwa kwa ushirikiano kati ya serikali na NSSF, limetumia teknolojia ya kisasa inayotumika kutengeneza madaraja marefu duniani.

Tuanze na kuelewa maana ya Suspension Bridge (Daraja linaloning’inia), hii ni aina ya madaraja inayotegemea kamba, nyaya au vyuma vilivyoungwa katika nguzo kuu za daraja ambazo zinabeba uzito wote wa daraja na vifaa vinavyopita juu yake. Kwa maana nyingine madaraja haya huwa yategemea sana zile kamba zinazoshikiliwa katika nguzo kubeba uzito wa daraja zima. Mfano mzuri katika daraja la Kigamboni kuna nguzo kuu mbili zinazobeba uzito wote wa daraja huku kukiwa na vipande tisa (9) vya chuma kila upande wa nguzo kubeba uzito wa daraja na kuuelekezea katika nguzo.

Faida za madaraja ya kuning’inia (Suspension Bridge)
Uwezo wa kutengeneza madaraja marefu zaidi ukilinganisha na aina ya madaraja mengine
Kiwango kidogo cha material kinachohitajika katika utengenezaji ukilinganisha na aina nyingine za madaraja

Kiasi kidogo cha nguvu kazi chini ya daraja ukitoa usimamishaji wa nguzo kuu, deck zote hutengenezwa juu kwa juu baada tu ya kazi ya usimamishaji nguzo kukamilika.
Yana uwezo mkubwa zaidi wa kuhimili matetemeko ya ardhi ukilinganisha na aina nyingine za madaraja

Linaweza kubadilishwa kulingana na mahitaji, kama kubadilisha deck ili kukidhi mahitaji ya foleni.
Tucheki picha za Daraja hilo lililopewa jina la Nyerere Bridge










Gmail kukupa tahadhari kama Serikali inafuatilia nyendo zako mtandaoni


Gmail sasa itakupa taadhari endapo serikali itakuwa inakuwinda. Hii ni mojawapo ya mwendelezo wa juhudi za kuhamasisha matumizi huru ya mitandao ambayo makampuni mengi makubwa kama Apple imekuwa ikiwekea mkazo.

Gmail sasa inaimarisha ulinzi kwa kukueleza nini kinaendelea kwenye akaunti yako ya barua pepe. Gmail inatanua uwezo wa “safe browsing notifications” ya akaunti yako pale ambapo unataka kufungua uzi (link) ambayo ina mashaka kutoka kwenye barua pepe yako ,gmail itatoa onyo/tahadhari kubwa juu ya link hiyo,

lakini pia kabla link hiyo haijafunguka gmail itakupa tena uamuzi wa kuacha link hiyo na kurudi nyuma iwapo tayari ulishaifungua kwa bahati mbaya.!! Hii itasaidia sana watumiaji kutofungua link zitakazosababisha matatizo/matumizi mabaya ya mitandayo kinyume na matakwa ya mtumiaji binafsi.

Aidha gmail inaendelea kupigania haki za watumiaji wake kwa kutoa taadhari ukurasa mzima endapo inahisi unawindwa na wadukuaji (hackers) wa serikali. Google pia imesema kuwa si zaidi ya 0.1% ya watumiaji wake ndo watakaopokea onyo hili maalumu la ukurasa mzima, hii ni kuwalinda waandishi wa habari na wanaharakati ambao mara nyingi husakwa na serikali zao.

Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 13 kwwnye habari za kitaifa,kimataifa,michezo na udaku 

Karibu,tunakuletea kile kilichoandkwa kwenye magazeti ya tanzania leo usisahau kulike page yeti ya facebook/tanzaniampyasasa na twiter@tanzaniampyasasa




 

Gallery

Popular Posts

About Us