KINGAZI BLOG: 04/14/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, April 14, 2016

KCEE FT YEMI ALADE- CORRECT(AUDIO)

Ordeal Of Chibok Girls Goes On In New Video


Looking timid and staring at the ground the girls, among more than 200 taken by Boko Haram in 2014, are questioned in the footage

Boko Haram video apparently showing kidnapped Nigerian schoolgirls
Video: Kidnapped Girls Seen On Video

Baada ya Anne Kilango Malecela, Magufuli atumbua Jipu lingine.Amfuta kazi kigogo mkubwa wa serikali.

Tanzania's President elect John Pombe Magufuli addresses members of the ruling Chama Cha Mapinduzi Party (CCM) at the party's sub-head office on Lumumba road in Dar es Salaam, October 30, 2015. Tanzania's ruling party candidate, John Magufuli, was declared winner on Thursday of a presidential election, after the national electoral body dismissed opposition complaints about the process and a demand for a recount. The election has been the most hotly contested race in the more than half a century of rule by the Chama Cha Mapinduzi Party, which fielded Magufuli, 56, a minister for public works. REUTERS/Sadi Said


ENDELEA KUFUATILIA SEHEMU YA TANO YA STORI HII KALI YA MAPENZI IITWAYO ==TARATIBU MPENZI.-5

Mtunzi;Geofrey Malwa
Mawasiliano;0712507115
Kwa upande wa Nelson aliachwa mwenyewe nyumbani kwake,akiwa amepumzika anachati na watu wake kupitia mtandao wa WhatsApp,mara simu yake ikaingia meseji,,,Hey baby,nakuja sasa hivi jamani nimekumisi au uko bize?,

ZIJUE SIFA TANO AMBAZO WANAUME HUWA WANAZICHUNGUZA WANAPOTAKA KUOA MWANAMKE.!!

love photo: love U love.jpg

 

Kutokana na hali halisi ya maisha kuwa magumu kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira ndani na nje ya nchi, hii imepelekea Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali

Ishu ya kubwia madawa ya kulevya, JK amuonya Ray C


Ray-C 
Rehema Chalamila ‘Ray C’.

Wakati msuguano mkubwa ukiwa umeibuka, Mbongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akisukuma madongo kwa vyombo vya habari kwamba

Wema ambwaga Idris sultan


Habari ya mtoto mzuri Wema Sepetu ‘Madam’ kumwagana na mpenzi wake, Idris Sultan si ngeni masikioni mwa wapenda ubuyu, imetapakaa kwenye mitandao ya kijamii lakini chanzo chetu imenasa sababu kubwa inayodaiwa kusababisha penzi hilo kuvunjika, twende pamoja.

Mwanafunzi wa darasa la saba awa waziri mkuu australia

Orley

Orley ni mwanafunzi wa darasa la saba
Mvulana mmoja nchini Australia alifanikiwa kujitambulisha kama waziri mkuu wan chi hiyo kwa siku mbili mwishoni mwa wiki.
Australia imekuwa na mawaziri wakuu wanne tangu mwaka 2013.

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 14 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.


April 14 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog
na twitter@tanzaniampyasasa.

Utajiri wa Sh. Bil 8/- wa Mwanamuziki Diamond Wazua Maswali...


zari-diamond4
Hivi karibuni, Mtandao wa The Net Worth (www.the-net-worth.com) umetangaza utajiri wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ (26) ambapo kwa mujibu wa jarida hilo, nyota huyo ana utajiri wa dola milioni 4 za Kimarekani (sawa na zaidi ya shilingi bilioni

Mbunge Saed Kubenea atupwa jela ya njebaada ya kupatikana Hatia Mahakani.







Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemtia hatiani Mbunge wa Jimbo la Ubungo Saed Kubenea kwa kosa la kutoa lugha chafu ya matusi kwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ambaye sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Muimbaji wa Zamani wa Blue 3 Jackie Chandiru Hoi Kwa Madawa ya Kulevya

BOFYA HAPA KUDOWNLOAD APP YETU YA TANZANIAMPYASASA.


Madawa ya kulevya si janga linaloviumizwa vichwa vya wadau wa muziki wa Bongo Flava, bali Uganda pia mambo si mambo.
 

Gallery

Popular Posts

About Us