KINGAZI BLOG: September 2016

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, September 19, 2016

Vyakula vinavyopendekezwa kutumiwa na wanawake wakati wa Siku zao (period).

Katika kipindi cha mzunguko (siku za hedhi) kwa kawaida wanawake hupoteza kiasi cha damu pamoja na baadhi ya madini chuma mwilini.

Hali hiuo huweza kusababisha upungufu wa damu kama mwanamke atakuwa hapati lishe bora na ya kutosha. Sasa ili kuzuia upungufu wa damu na madini mwilini, msichana anatakiwa kula vyakula vyenye madini chuma na chokaa kwa wingi ikiwa ni pamoja na hivi vifuatavyo:-

Orodha ya vyakula vinavyopendekezwa

Mboga za majaniMaharageSoyaSamakiMaziwaKoroshoMayaiDagaa n.k.
Mbali na vyakula hivyo, pia mwanamke huhitaji kuzingatia hali ya usafi wa mwili, hasa sehemu za siri . Tumia vitambaa safi vilivyo nyooshwa kwa pasi au pedi zilizohifadhiwa katika hali ya usafi.

CHECK PICHA DIAMOND PLATINUMS NA WCB WAONYESHA JINSI WALIVYOMALIZANA NA UONGOZI WA SAIDA KAROLi


Sallam kutoka WCB ameonyesha baadhi ya nyaraka ambazo zimewapitia kibali cha kutumia sehumu za wimbo ‘Maria Salome’ wa Saida Karoli katika wimbo mpya wa Diamond, ‘Salome’.

Wimbo ‘Maria Salole’ wa Saidi Karoli ni miongoni mwa nyimbo za asili zilizofanya vizuri miaka ya 2000.
Hali hiyo iliufanya uongozi wa Diamond kuzungumza na uongozi wa Saida Karoli ili upate kibali cha kutumia sehemu za nyimbo hiyo.
“Tunakushukuru sana uongozi wa Saida Karoli na mzee Felician Mutakyawa kutupa haki na baraka zote kutumia wimbo wa Maria Salome,” aliandika Sallam instagram. “Tunatambua kwamba nyimbo hii itaendelea kuwa moja ya nyimbo bora kuwahi kutoka katika nchi ya Tanzania,”
Diamond kupitia wimbo huu amerudi tena katika nyimbo za asili baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Mdogo Mdogo’ miaka miwili iliyopita.

Official VIDEO | Diamond Platnumz Ft. Rayvanny Salome ( Traditional ) | Watch/Download




RAYMOND WA WCB WASAFI NDIO HABARI YA MJINI,CHECK ALIVYOTIKISA NA VAZI LA AINA YAKE

Raymond aka Rayvanny look fabulous on this new wear of African print dress.Raymond Aka Rayvanny Stuns on new Fashion Kitenge Photo on his new Music of Salome

Saturday, September 17, 2016

WALIOJIBADILISHA JINSIA WATAKA KUTAMBULIWA JINSIA MPYA WANANYANYASIKA PAKISTAN.

Nchini Pakistan watu waliojibadilisha jinsia wametishia kwenda mahakama kuu kudai haki zao za msingi kwani wananyanyaswa.Madai yao nikutambulika kisheria waajiriwe,huduma za afya na elimu wapewe.Wamekua wakijiuza na kucheza kwenye harusi ili kupata fedha ya
kujikimu.Sababu za msingi zakujibadilisha ni kutokukubali jinsia walizozaliwa nazo.


Maaajabu!!! MSICHANA AZAA NA NYOKA NA KISHA MTOTO KUFANANA HIVI

Kehinde Adegoke, a teenager who is an indigene of Ogbomoso in Oyo State Nigeria, has revealed how she had  with a snake in her dream for four years and eventually got pregnant without any physical relationship with any man.

Nigerian Tribune reports that the 19-year-old girl was delivered of a baby boy in the early hours of March 2015 but the baby later died on Sunday, March 29 without any sickness attached to it. Narrating her story, she said:

“My parents live in Niger but I am from Ogbomoso, Oyo State. I was troubled by an unseen spirit. I would see the snake beside me. The snake would then turn to a Fulani man who would have intercourse with me. It started about four years ago.

“After the intercourse, the Fulani man would turn to a snake again and leave. Whenever I woke up, I would not see any semen indicating that I had s*xual intercourse. But in the dream, he would climax and release in me.

“I have never had any man who wooed me in real life and looked like the man. His face was strange. The Fulani man also used to appear to me in real life, but I was the only person who would see him.

“He dared not see me with any man, even if the person was my brother. He would frown and warn me off the man. This would make me change my countenance to whomever I was talking with. Also, if I wanted to tell my parents what I was experiencing, he would appear and warned me against revealing anything. That was why the experience I was having spanned some years.”

However, Kehinde’s life story changed when she discovered she was pregnant towards the end of 2014. According to her, “I noticed that I was pregnant in October 2014. My stomach started protruding and the change in me was noticed by my mother and neighbours. They asked whether I was pregnant and I said no. Though I did not see my menses, my thinking was that it was a temporary reaction and that it would still come since I didn’t have s*xual intercourse.

“When I went to a hospital to carry out a pregnancy test, it was positive. I was surprised because I did not have intercourse with any man. My parents did not believe me and were furious with me. I was so confused that I left Minna for Ogbomoso in Oyo State.

“At Ogbomoso, someone told me about a church, Joyous Miracle Gospel Church and Ministries a.k.a. Iyanu Ayo. I met the founder, Apostle Johnson Olayinka Afolabi a.k.a. Okoto Jesu. He asked me to go through marathon and dry fasting which spanned 41 days.

“After the fasting, I did not feel anything in my tummy again. All I noticed was that my stomach would be flat whenever I woke up in the morning but it would protrude immediately I ate. I went through another fast in March after which I experienced my miracle.” The miracle happened on March 27.

“At about 9 a.m., I started feeling stomach pain. Nothing was moving in me. I took some drugs and the pain subsided. It started again and I had to go to Prophet Afolabi . He prayed into water which he asked me to drink. The pain did not subside.

“By evening, the pain had become unbearable. Prophet was told and he blessed water again and sent it to me through one of his pastors. After drinking the water the second time, I vomited. The vomit was smelly. That was all I knew as I passed out. I did not know how I got to the hospital. I learnt Okoto Jesu poured water in the church bell and rang the bell seven times, commanding all evil spirits in me to vanish in the name of Jesus. I was then taken to a private hospital (names withheld). I became fully conscious of my environment during deday, March 29. Since then, I have been delivered and free from manipulations of the spirit world. I no longer see the snake or the Fulani man.”

Kehinde also disclosed that she had familiar spirit and belonged to a group of ‘destroyers’ (egbe abatenije), though she went through deliverance in 2011. Before the deliverance, she said she used to see herself in the midst of other children, with all of them adorning black garments. She also revealed that she was initiated into the demonic group by four women whom she knew physically, though saying that two of them were dead. But all that had become a thing of the past, she stated.

Prophet Afolabi, who is popularly called Okoto Jesu, attested to the story of this girl. According to him, “When Kehinde was brought to our church, we pressed her stomach but couldn’t feel any pregnancy. We told her to go through dry fast. She fasted for three days three times making a total of nine days and she did it without any adverse effect, which could not have been so if she was pregnant.

“She also observed white fast. The prayers offered her and the water given to drink turned the demons in her into a human form which came out as a baby. Even when she was taking to the hospital, the nurse who examined her said she was still a virgin, which confirmed that she was indeed possessed. It was simply God at work.”

Okoto Jesu said that a case like that of Kehinde had never happened in his church “though we have had cases of women who were pregnant for six, seven years but delivered when they got here.”

Kehinde’s mother, Mrs Adegoke, told reporters that Kehinde was a strange child right from when she was in her womb, saying that the twin brother died at birth. She disclosed that when Kehinde was undergoing deliverance session in 2011, she was rolling on the ground and screaming that witches should leave her alone as she was no longer willing to be their tool.

Friday, September 16, 2016

Shilole na Nuh Mziwanda wamaliza bifu lao

Ilikuwa ni ‘break up’ iliyofuatiwa na uadui mkubwa. Ilipelekea hadi Nuh Mziwanda kuandika wimbo ‘Jike Shupa’ uliomlenga ex wake Shilole.
nuih
Haikuishia hapo, wawili hao waliendelea kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii na kwenye mahojiano na kulaumiana kwa mengi. Hata hivyo mlalamikaji mkubwa alikuwa Nuh aliyemwelezea Shishi kama mwanamke aliyempotezea muda wake na kumkwamisha kwenye muziki.
Pia wimbo wa Shilole, Say My Name una mashairi yanayotaka kuhusiana na vunjiko la huba kati ya mastaa hao waliotengeneza vichwa vya habari wakiwa pamoja ikiwa ni pamoja na kujichora tattoo za majina yao.
Na sasa huenda wameamua kuyaacha yaliyopita yapite na wagange yajayo. Alhamis hii wawili hao waliweka picha zao kwenye Instagram kwa mara ya kwanza tangu waachane.
shishi
Akiweka picha ya Nuh kwenye akaunti yake ya Instagram, Shilole aliandika: God Bless You.
shishi-2
Naye Nuh alimweka Shishi kwenye akaunti yake na kuandika: Nakutakia kila la kheri mwanangu Mungu akuzidishie uendelee kutoboa katika Kazi yako.”

Thursday, September 15, 2016

HAYA HAPA MAJINA YOTE YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI MWAKA HUU 2016/2017

Image result for tcu tanzania





HIVI HAPAVYUO NA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA


  • Chuo Kikuu cha Ardhi, (ARU)
  • Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU),
  • International Medical and Technological University (IMTU)
  • Moshi University College of Cooperative and Business Studies(MUCOOBS-MOCCU)
  • Chuo Kikuu cha Mlima Meru
  • Chuo Kikuu cha Muhimbili (MUHAS)
  • Chuo Kikuu cha Morogoro (MUM)
  • Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU)
  • Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT)
  • Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCO)
  • Chuo Kikuu St. Augustine cha Tanzania (SAUT)
  • Chuo Kikuu St. John cha Tanzania (SJUT)
  • Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA)
  • Chuo Kikuu cha Zanzibar
  • Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji-TEKU
  • Chuo Kikuu cha Tumaini (TU)
  • Chuo Kikuu cha Bukoba
  • Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), established in 1970 from the split of the Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki
  • Chuo Kikuu cha Dodoma,UDOM
  • Chuo Kikuu cha Zanzibar (ZU)


NOTE:LINK IMEKAA POA ,ANDAA USERNAME NA PASWORD YAKO ILI UONE KAMA UMECHAGULIWA KWA KU LOGIN KWENYE PROFILE YAKO! 

 kuangalia  umechaguliwa wapi bofya HAPA 

AU

==>Ingia hapa kuona ulipochaguliwa ==>TCU CAS | Search Selection



AU
KUONA VYUO VYENYE NAFASI BONYEZA HAPA

Saturday, September 10, 2016

Mtangazaji wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya

Leo Septemba 10, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya 11, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji 1 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa 1 ili kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika Halmashauri hizo.

Miongoni mwa Wakurugenzi wa Halmashauri walioteuliwa, yumo pia mtangazaji wa kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv kinachorushwa kila siku kuanzia jumatatu hadi Ijumaa.

Hudson Stanley Kamoga ameteuliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.

Hii sio mara ya kwanza kwa Rais Magufuli kuteua watangazaji kushika nyadhifa mbalimbali kwani alimteua aliyekuwa Mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni.

Wakurugenzi wengine walioteuliwa leo ni pamoja na;-

Mwailwa Smith Pangani – Halmashauri ya Wilaya ya NsimboGodfrey Sanga – Halmashauri ya Wilaya ya MkalamaYusuf Daudi Semuguruka – Halmashauri ya Wilaya ya UlangaBakari Kasinyo Mohamed – Halmashauri ya Wilaya ya NachingweaJuma Ally Mnwele – Halmashauri ya Wilaya ya KibondoButamo Nuru Ndalahwa – Halmashauri ya Wilaya ya MoshiWaziri Mourice – Halmashauri ya Wilaya ya KaratuFatma Omar Latu    – Halmashauri ya Wilaya ya BagamoyoGodwin Emmanuel Kunambi – Manispaa ya DodomaElias R. Ntiruhungwa – Mji wa TarimeMwantumu Dau – Halmashauri ya Wilaya ya BukobaFrank Bahati – Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Ruby aamua kumjibu Diva baada ya kudai kuwa hamfahamu....... "Ampa makavu live"

Muimbaji wa ‘Na Yule’ Ruby amefunguka baada ya mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva kudai kuwa hamfahamu msanii huyo.

Ruby ameiambia Bongo5 kuwa kauli aliyoitoa mtangazaji huyo anaiona ni kama utoto. “Naona ni ujinga, I don’t want to talk about it, naona ni utoto sidhani kama ninaweza kuliongelea hilo.”

“Everybody knows me, so nahisi huo ni utoto tu labda wa kukosa majibu kwenye maswali ya interview aliyohojiwa. I don’t to talk about her,” ameongeza.

Pia Ruby amedai kuwa licha ya kuzinguana na uongozi wa THT, bado mambo yanaenda mswano.

“Kutokuwa na mawasiliano mazuri na uongozi wangu wa zamani sijaathirika kwakweli, sitaki kuliongelea hilo kwa sababu mimi naona kwangu ni kitu ambacho kimeshapita nataka niongelee vitu ambavyo vinaendelea mbele. Sidhani kama nina tofauti na wao mimi sijui ila, I don’t talk about them, at all.”

Inawezekana Diva alitoa kauli hiyo kutokana na Ruby kutokuwa na mawasiliano mazuri na Clouds Media baada ya kushindwa kuhudhuria kwenye tamasha la Fiesta lililofanyika Mwanza, August 20 ya mwaka huu.

Shilole adai ilikuwa si rahisi kufanya scene na raymond kwa "NATAFUTA KIKI".


Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema ilikuwa ni jambo gumu kwake kufanya video ya ‘Natafuta kiki’ ya msanii Raymond.
Msanii Raymond akiwa na Shilole wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Natafuta kiki’
Amesema ugumu huo ni kutokana na ukweli kwamba ‘scene’ ambazo alipaswa kucheza zilikuwa ngumu kwake jambo ambalo lilimfanya atumie kwanza kilevi kuondoa aibu.
Shilole alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV na kudai alikuwa anashindwa kufanya mambo kwenye video hiyo kutokana na vile anavyomuheshimu Raymond kama mdogo wake.
“Mimi niliweka upendo na kuona nimsaidie mdogo wangu Raymond katika kazi yake ili iweze kutazamwa na watu wengi zaidi, ila kiukweli ilikuwa ni kazi mbaya sana kwangu na ngumu lakini nikaona maji nishayavulia nguo hivyo sina budi kuyaoga, nikamwambia Raymond wewe ni mdogo wangu sasa naanzaje kufanya haya mambo? Ilikuwa ni ngumu ikanibidi ninywe pombe kidogo ili niweze kuchangamka, kwani watu walikuwepo wengi nikawa naona aibu. Akaniambia hamna usijali hii kazi tu nisaidie tu, ikabidi nivae ile night dress na kuingia kazini” alisema Shilole.
Mbali na hilo Shilole alisema kuwa amekuwa akitumika kwenye baadhi ya video mbalimbali kutokana na wasanii hao kumuomba ashiriki kwenye video zao ili kuwasaidia video zao kuangaliwa na watu wengi zaidi.
“Nilifanya video ya Man Fongo haina ushemeji, video ya Darasa ‘Too much’ hii ya Raymond ‘Natafuta kiki’ na ile ya Dully Skyes na Harmonize ‘Inde’ wao wamekuwa wakiniomba na kusema uwepo wangu kwenye video zao unaleta ‘impact’ kwa watu kwani watu wanakuwa wanazitazama sana video zao hivyo mimi naamua kuwapa ‘support’.

Friday, September 09, 2016

DUNIANI KUNA VITUKO: KUTANA NA FAMILIA INAYOLALA NA MYAMA HATARI SIMBA CHUMBA KIMOJA!


Kwenye nyumba tunazoishi mara nyingi tumekua tukifuga na kuishi na Paka au Mbwa kitu ambacho ni kawaida na ni nadra sana kukutana na mtu anaeishi na au kufuga viumbe ambavyo ni hatari kwa maisha ya binadamu mfano Nyoka. 


Sasa hii inaweza kutushangaza kwa sababu kuna Simba ajulikanaye kama mkuu wa msitu alihamishia makazi yake kwenye nyumba ya Melanie Griffith mwigizaji ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 57. 

Unaambiwa Simba huyu alihamia kwenye nyumba hiyo toka Melanie akiwa na umri wa miaka 14 huko Sherman Oaks,California Marekani ambapo mama yake Melanie ni mwigizaji Tippi Hedren na baba yake wa kambo kwa muda huo Noel Marshall.

 

Gallery

Popular Posts

About Us