KINGAZI BLOG: 03/29/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, March 29, 2016

New AUDIO | Alice Kella & Vanessa Mdee, Ruby, Maua Sama, Ibrah - Awena Remix | Download


Fat Joe, Remy Ma ft. French Montana - All The Way Up(OFFICIAL VIDEO)


YEMI ALADE FT FLAVOUR - KOM KOM(AUDIO)



YEMI ALADE - MARRY ME(AUDIO)


50 CENT FT CHRIS BROWN - IM THE MAN(AUDIO)

Ufanisi mdogo katika ushirikiano kati ya Boko Haram na IS


Abubakar Shekau
Kiongozi wa kundi la Boko Haram, Abubakar Shekau.
Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau alitangaza kulitii kundi la Dola la Kiiislamu lakini hakuna ufanisi mkubwa unaoonekana katika ushirikiano kati ya makundi hayo mawili.

Takribani mateka wote wa ndege ya Misri waachiwa huru


Ndege ya shirika la ndege la Misri bado inaendelea kushikiliwa na mtekaji nyara aliyeilazimisha kutua nchini Cyprus katika tukio la aina yake ambalo maafisa wanasema halina uhusiano na ugaidi.
Ndege ya shirika la ndege la Misri, EgyptAir, ikiwa imetekwa na kulazimishwa kutua nchini Cyprus. Ndege ya shirika la ndege la Misri, EgyptAir, ikiwa imetekwa na kulazimishwa kutua nchini Cyprus.
Taarifa za hivi karibuni kabisa zinasema kati ya watu 81 waliokuwamo kwenye ndege hiyo, ni saba tu waliobakia, huku wengine wote wakiwa wameshaachiwa huru. Miongoni mwa waliobakia ni rubani, msaidizi wake, abiria wanne na mtekaji nyara mwenyewe.

DK SHEIN AMTEUA BALOZI SEIF ALI IDD KUWA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR



Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein amemteua Balozi Seif Ali Idd kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa visiwa hivyo.

Usipitwe na hii!!! MAAJABU;ATENGENEZA NYUMBA KWA KUTUMIA MAKOPO TU!!>>>>>Inashangazaa sana>>>>>>



Mambo 6 usiyoyajua kuhusu… Yemi Alade



Yemi-Alade-
Yemi Alade
Machi 13, 1989 katika Jimbo la Abia nchini Nigeria alizaliwa staa wa muziki anayewakilisha Afrika kwa sasa, Yemi Eberechi Alade.
Miaka 16 baadaye, Yemi aliingia rasmi kwenye muziki ambapo alipofikisha miaka 20 tu alibuka kidedea katika shindano la kuibua vipaji vya kuimba lililojulikana kama Peak Talent Show.

Wafuasi Zaidi ya 600 wa UKAWA Wakiongozwa na Freeman Mbowe Wafanya Tukio Kubwa Nyumbani Kwa Lowassa

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Freeman Mbowe, amewashauri Watanzania wasife moyo kwa matokeo mabaya ya uchaguzi yaliyopinduliwa; na kwamba matokeo hayo yawe chachu ya kufanya  vizuri zaidi katika uchaguzi ujao.

Harmonize: ni kweli Zari kaniunganisha na Huddah!


harmonize kasuku - bekaboy
Staa wa Bongo fleva Rajab Abdulhan ‘Harmonize’.

Siri nje! Staa kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) anayejipenyeza kwa kasi kwenye Bongo Fleva, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ amekiri kuwa shemeji yake kwa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz;, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’,ndiye aliyemuunganisha na demu mkali kutoka Nairobi nchini Kenya, Huddah Monroe ‘The Boss Chick’.
vlcsnap-2015-11-30-16h52m54s213‘Harmonize’ akiwa na Huda.
Akizungumza na blog hii, Bamaga- Mwenge jijini Dar, wikiendi iliyopita, Harmonize alisema kuwa kwenye maisha yake hakuwahi kuwa na ndoto ya kukutana laivu na Huddah lakini bahati hiyo aliipata akiwa nchini Afrika Kusini baada ya kukutanishwa naye na Zari.
“Katika maisha yangu nilikuwa namuona tu Huddah na kumtamani ila namshukuru shemeji yangu Zari aliyenikutanisha na Huddah na kutuunganisha kuwa marafiki ambao tumekuwa tukiwasiliana utadhani tulifahamiana zaidi ya miaka hata mitano huko nyuma,” alisema Harmonize akihojiwa nablog hii.

Milio ya risasi jengo la Bunge Marekani

 
Jengo la Bunge la Marekani Capitol Hill
Kuna taarifa za milio ya risasi katika viunga vya jengo la Makao Makuu ya Bunge la Congress, US Capitol Hill.
Mashuhuda wanasema wameambiwa kwa vipaza sauti kuwa kila mtu ajifiche.

HAYA HAPA MAGAZETI YA TANZANIA YALOCHOANDIKA LEO JUMANNE,MACHI 29,2016.KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA UDAKUNA MICHEZO.


March 29 2016 nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysasa.

VIDEO: Hasira za Nicki Minaj baada ya kuona mlinzi wake anachezea simu badala ya kumlinda.



Hii ishu imetokea wakati Nicki Minaj akifanya show Dubai na kilichotokea ni kwamba Mlinzi wake huyo hakuwa makini na kazi, wakati Nicki yuko kwenye stage anaimba, akagundua kwamba upande

WATU 6 WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KATIKA MLIMA IPOGOLO-MKOANI IRINGA, 38 WAJERUHIWA



Watu sita wamefariki dunia katika ajali iliyotokea katika Mlima Ipogolo baada ya Basi la Lupondije linalofanya safari zake kati ya Iringa na Mwanza kupinduka baada ya mfumo wa breki kushindwa kufanya kazi. 


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Peter Kakamba amesema Dereva wa basi hilo ambalo hufanya safari zake kati ya Iringa na Mwanza alilazimisha kupita na abiria wote wakiwemo waliopaswa kushuka kituo kikuu cha mabasi Iringa ili kuwahi moja ya mabasi yaendayo Mbeya kutokea Dar es Salaam ili afaulishe abiria waliokuwa wanaelekea mkoani Mbeya. 


Abiria wanasema ajali hiyo imetokana na uzembe wa dereva kwani basi hilo lilimshinda na kupinduka.

Katika ajali hiyo jumla ya watu 38 wamejeruhiwa na baadhi yao kulazwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Iringa ambapo 11 kati yao wametibiwa na kuruhusiwa.
 

Gallery

Popular Posts

About Us