Jay Dee azindua wimbo wake kwa kishindo Dar | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, March 22, 2016

Jay Dee azindua wimbo wake kwa kishindo Dar


DSC_1412-768x511
Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee akiwa katika pozi.
DSC_1431-768x511
Meneja wa Lady Jay Dee, Seven Mosha akifungua uzinduzi huo.
DSC_1435-1-768x511
Lady Jay Dee akitia saini hati ya makubaliano ya wimbo wake kuuzwa kupitia mtandao wa Mkito. Anayemshuhudia ni Meneja Masoko wa Mkito, Aishi Mengi.
DSC_1440-768x511
Meneja Masoko wa Mtandao wa Mkito, Aishi Mengi akitia saini ya makubaliano na Jide.
DSC_1441-768x511
Jide na Aishi wakikabidhiana hati.
DSC_1464-768x511
Lady Jay Dee akitoa neno muda mfupi kabla ya kuanza kugawa tuzo.
DSC_1471-768x511
Jide akiwa na moja ya tuzo alizozigawa usiku kwa watu wake wa karibu.
DSC_1476-768x511
Komando Jide akitoa tuzo kwa rafiki yake, Abdallah ambaye amekuwa akimpa sapoti kubwa kimuziki.
DSC_1482-768x511
Jide akitoa tuzo kwa mdau wake wa karibu kimuziki, Edward.
DSC_1490-768x511
Jide akimkabidhi tuzo msanii wa R&B, Rama Dee kama mtu wake wa karibu katika muziki.
DSC_1495-768x511
Jide akimkabidhi tuzo Monica Joseph kama mtu wa karibu pindi anapokwama kiuchumi.
DSC_1498-768x511
Jide akimpa tuzo ya heshima Mbunge wa Viti Maalum, CCM Arusha, Catherine Magige.
DSC_1501-768x511
Jide akitoa tuzo kwa shabiki wake wa karibu anayefuatilia muziki wake, Lucy Mosha.
DSC_1507-768x511
Jide akimpatia tuzo DJ Choka kama mmoja wa watu wake wa karibu kimuziki.
DSC_1512-768x511
Jide akimkabidhi tuzo rafiki yake wa karibu, Dori ambaye amekuwa msaada mkubwa katika maisha yake.
DSC_1521-768x511
Jide akimpa tuzo mwakilishi wa Benki ya CRDB kama watu wake wa karibu katika muziki wake.
DSC_1526-768x511
Jide akimpa tuzo mwanamitindo maarufu, Khadija Mwanamboka kama mtu anayetoa mchango mkubwa kwake.
DSC_1530-768x511
Jide akimpa tuzo rafiki yake wa karibu, Anitha.
DSC_1534-768x511
Jessica Malembeka akipokea tuzo kutoka kwa Jide.
DSC_1543-768x511
Komando Jide akipokea zawadi kutoka kwa rafiki yake, Ester Fayard.
DSC_1561-768x511
Muongoza vipindi wa Global TV, Salum Yassin akisalimiana na Jide muda mfupi kabla ya kuanza uzinduzi. Pembeni yake ni meneja wa Jide, Wakazi.
j2
Baadhi ya wahudhuriaji waliofika katika uzinduzi huo.

USIKU wa kuamkia Jumamosi ulikuwa maalum kwa mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee ambapo alikuwa akifanya ‘Listening Party’ ya wimbo wake wa Ndi Ndi Ndi.
Katika uzinduzi huo alioupa jina la Naamka Tena ulihudhuriwa na watu wengi wa karibu na Jide ambapo mbali na uzinduzi wa wimbo huo pia kulikuwa na hafla fupi ya ukabidhiwaji wa tuzo kwa watu waliotoa mchango mkubwa katika muziki wake na maisha kwa ujumla.
Akizungumzia uzinduzi huo, Jide alisema;

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us