Alshabab wavamia kituo cha polisi Wajir Kenya | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, April 10, 2016

Alshabab wavamia kituo cha polisi Wajir Kenya


Image copyrightAFP
Image captionAlshabab wavamia kituo cha polisi Wajir Kenya
Wapiganaji takriban 100 wa kundi la kigaidi la Alshabab wamevamia kituo kimoja cha polisi Wajir Kaskazini mwa Kenya.

Hadi kufikia sasa idadi ya waliojeruhiwa ama kufa haijajulikana lakini kinachothibitishwa na serikali kuwa walifaulu kuteka gari la serikali aina ya Land Cruiser.
''wavamizi walishambulia kituo cha polisi cha Diff na wakakabiliwa vikali na askari waliokuwepo, wengi wao walijeruhiwa ila walifaulu kuteka nyara gari la serikali la kituo cha Diff ambalo walitumia kuwabeba majeruhi wao'' alisema Inspekta Jenerali wa polisi wa Kenya Joseph Boinnet.
Maafisa 3 wa polisi wa Kenya walijeruhiwa.
Kundi hilo lilitorokea mpakani.
Kikosi cha jeshi la Kenya limewafuata huko baada yao kuvuka mpaka kati ya Kenya na Somalia.

SOURCE;BBC

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us