Alichokisema Zitto kabwe baada ya kufungiwa kuhudhuria vikao vya bunge kupitia twitter. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 31, 2016

Alichokisema Zitto kabwe baada ya kufungiwa kuhudhuria vikao vya bunge kupitia twitter.


Muda mfupi baada ya kutolewa taarifa ya kusimamishwa kwa wabunge saba wa Upinzani akiwemo Zitto Zubery Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha Act-Wazalendo ametumia akaunti yake ya Twitter kueleza haya kuhusiana na Sakata hilo:

 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Wabunge wafuatao tunajadiliwa kusimamishwa kazi za Bunge kwa vipindi tofauti tofauti. Wabunge hao ni Tundu...hfb.me/4Zsu1o7FE 

7:22 PM - 30 May 2016

  313  202


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Tundu Lissu, Godbless Lema, Halima Mdee, Esther Bulaya and John Heche also debated to be suspended for different times

7:20 PM - 30 May 2016

  484  323


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Wabunge wote wa Upinzani wamepewa onyo kali kwa kung'ang'ania kutaka Bunge lionyeshwe moja kwa moja na Shirika la TBC

7:34 PM - 30 May 2016

  747  353


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Tundu Lissu na Esther Bulaya wanasimamishwa kwa mikutano 2 ya Bunge ( yaani wasiingie Bungeni mpaka mwaka 2017)

7:40 PM - 30 May 2016

  848  373


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Mimi na Halima tunasimamishwa shughuli za Bunge mpaka mwezi Septemba

7:41 PM - 30 May 2016

  787  383


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Mbunge Msukuma " hili ni fundisho kwa wabunge wengine". Huyu ni Mbunge ambaye alitaka Bangi iruhusiwe kulimwa

7:43 PM - 30 May 2016

  636  404


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Ridhiwani Kikwete " lazima ifike sehemu adabu itawale Bungeni. Hawa wabunge wamepewa kitu wanachostahili. Kanuni...hfb.me/86IZUBqFZ 

7:45 PM - 30 May 2016

  414  181


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Kigwangalla: " anataka wabunge wasiadhibiwe zaidi ya vikao 10"

7:48 PM - 30 May 2016

  464  292


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

Goodluck Mlinga ( aliyetaka sanamu la Askari pawekwe mdogo wangu Diamond) : " tunajenga heshima ya Bunge. Iwe fundisho. Naunga mkono hoja."

7:54 PM - 30 May 2016

  494  424


 Follow


Zitto Kabwe Ruyagwa ‎@zittokabwe

I dedicate this to my friend Deo Haule Filikunjombe. It is his victory and I won't celebrate this as to me the election became meaningless


google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us