Gigy Money sikio la kufa | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, May 28, 2016

Gigy Money sikio la kufa

KUONESHA kwamba haoni wala hasikii, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amezidi kutia fora kwa kunaswa na wanaume tofauti safari hii, ametupia picha kimahaba akiwa na msanii wa Singeli, Amani Fongo.

Gigy ambaye amekuwa akitupia picha za nusu utupu katika Mtandao wa Instagram pamoja na kuwa kimahaba na wanaume tofauti kama staa wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’, mtangazaji Gardner G. Habash na Idris Sultan, amepondwa vibaya baada ya kutupia picha mpya ya Fongo.

“Huyu kama vile hana wazazi sasa tumueleweje, mara Gardner mara Matonya yaani sijui ndiyo kiki au vipi,” aliandika mdau mtandaoni huku Gigy mwenyewe akidai aachwe kwani ndiyo maisha yake.
GPL

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us