TAJIRI ANUNUA NDEGE YA ZAMANI NA KUISAFIRISHA KWA KUTUMIA USAFIRI WA MAJINI | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, May 14, 2016

TAJIRI ANUNUA NDEGE YA ZAMANI NA KUISAFIRISHA KWA KUTUMIA USAFIRI WA MAJINI



Ndege aina ya Boeing 767 imeanza safari kwa kubebwa na chombo cha baharini kinachovutwa na boti kuelekea eneo ambalo itabadilishwa matumizi yake na kutumika kama kivutio nchini Ireland.
Mfanyabishara David McGowan ameinunua ndege hiyo ya zamani ya abiria kwa paundi 16,000 za Uingereza, ambayo inaumri wa mika 30, kutoka uwanja wa ndege wa Shannon.
Awali ndege hiyo yenye uzito wa tani 50, ilikuwa isafirishwe kwa njia ya barabarani, lakini maafisa usafirishaji walimueleza tajiri huyo italeta usumbufu kwa watumiaji wengine wa barabara.

Crane yenye uzito wa tani 150, ilitumika kuibeba ndege hiyo na kuiweka kwenye chombo cha majini

Safari ya kuelekea Ireland ikiendelea kama inavyoonekana hapa

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us