Diamond akiri kumkubali Wema Sepetu | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, July 06, 2016

Diamond akiri kumkubali Wema Sepetu

MKALI wa Bongo hivi sasa ,na Rais wa label ya WBC Diamond Platnumz mapema hivi leo ameonyesha kuzika rasmi tofauti zake na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu,ambapo katika tukio lisilo la kawaida Daimond amepost ujumbe wa kushow Support tukio linalofanywa na Mlimbwende huyo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006.

Kufuatia tukio hilo mashabiki wa Staa huyo nguli Afrika Mashariki kwa sasa wamempongeza Baba Tiffa kwa kitendo hiko ikizingatiwa kuwa wawili hao walikuwa katika kile kilichozungumziwa kuwa ni 'mgomo baridi wa kampani'.
Hata hivyo hii ni kama Diamond anajaribu kulipa fadhila kwa Wema ,kwani kipindi ambacho Diamond alikuwa akiwania tuzo za BET ,Wema alionyesha kumuunga mkono Staa huyo pamoja na kwamba hakuweza kufanya vizuri katika tuzo hizo

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us