MKE WA REGNARD MENGI, JACKLINE, ATANGAZA AJIRA HIZI, CHANGAMKIA SASA. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, July 21, 2016

MKE WA REGNARD MENGI, JACKLINE, ATANGAZA AJIRA HIZI, CHANGAMKIA SASA.

MKE wa Bilionea mkubwa TZ,Regnald Mengi,Jackline Mengi leo hii ametangaza tenda kubwa kwa wasuka KATANI wote nchini ambao wanaweza kutengeneza zulia la katani.
Jackline ambaye umaarufu wake umekuwa zaidi mara baada ya kuolewa na mmiliki huyo wa kituo cha Luninga cha ITV,ameandika kuwa yupo tayari kukutana na fundi wa kutengeneza mazulia hayo ili wakafanya biashara.

V

 Follow


Bado natafuta mtengenezaji wa mazulia ya katani kama haya nchini.Naomba anayefahamu anitumie contacts


google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us