Nancy Sumari na Luca Neghesti Wafunga Ndoa yao Jana Julai 1 | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 02, 2016

Nancy Sumari na Luca Neghesti Wafunga Ndoa yao Jana Julai 1


YAMETIMIA! Hivyo ndivyo tunaweza kusema kwa sasa baada kushi kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka mingi, hatimaye Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group Limited, Luca Neghesti na Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni Miss World Africa, Nancy Sumari kufunga ndoa jana Ijumaa.

Wawili hao wamefunga ndoa jana jijini Arusha na kuhudhuriwa na watu takriban 60 ambao wengi wao ni ndugu na marafiki zao wa karibu. Tunawapongeza kwa hatua hiyo kubwa kwenye maisha yao.

Luca na Nancy ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bongo5 wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike aitwaye Zuri.



google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us