NISHA AELEZA MAJUNGU NA WIVU VILIVYOMTENGA NA MARAFIKI ZAKE | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, July 18, 2016

NISHA AELEZA MAJUNGU NA WIVU VILIVYOMTENGA NA MARAFIKI ZAKE


 

Stori: Hamida Hassan, Wikiend
DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye kutokuwa na marafiki wa kike kuwa ni majungu na wivu tofauti na marafiki wa kiume.
Nisha ameliambia Wikienda kuwa, watu wengi wamekuwa wakimuuliza sababu ya kuwa na marafiki wa kiume pekee na siyo wa kike ambapo amekuwa akiwajibu kuwa si kwamba hakuwahi kuwa nao lakini aliachana nao kwa sababu wanawake wengi hawawapendi wenzao kwani wakiona wanafanikiwa huwa wanaumia.“Niliyoyapitia kwa marafiki wa kike ni tofauti na wa kiume, wa kike wana wivu na majungu mengi, mtu ukimpita kidogo tu kimaendeleo anakuwa na chuki tofauti na wanaume,” alisema Nisha.
Nisha aliweka wazi kuwa marafiki wa kiume ni muongozo mzuri kwa sababu ukishuka wanakuongoza na ukiwa nacho bado mnasaidiana tofauti na baadhi ya wanawake.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us