Barcelona yasajili kipa tokaa Ajax | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, August 25, 2016

Barcelona yasajili kipa tokaa Ajax

 Barcelona imekamilisha usajili wa kipa Jasper Cillessen kutoka Ajax ya Uholanzi.

Kipa huyo anatua Barcelona kuchukua nafasi ya Claudio Bravo ambaye anajiunga na Man City.

Barcelona imemwaga pauni million 12 kumpata kipa huyo kinda ambaye anaelezwa kuwa ana kipaji hasa.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us