Wiki nne zilizopita Diamond Platnumz alikuwa na Papa Wemba Studio | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, April 25, 2016

Wiki nne zilizopita Diamond Platnumz alikuwa na Papa Wemba Studio


Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 headlines za taarifa za kifo cha mwimbaji Mkongwe kutoka Congo DRC Papa Wemba aliripotiwa amefariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Ivory Coast.
Sasa leo April 25 2016 Diamond Platnumz anaingia kwenye list ya wasanii walioguswa na msiba huo ambapo kupitia kwenye mtandao wake wa  instagram alipost video akiwa na Marehemu Papa Wemba wakitayarisha wimbo wao mpya ambao ulirekodiwa kipindi Diamond yuko Ufaransa kwenye ziara yake iliyopewa jina la From Tandale to the World. DIAMOND aliandika haya hapa instagram

Jus four weeks ago we were in Paris, featured me in his song and we planned alot for the song and Suddenly got the news….dah! still don’t want to believe that you are really Gone Legend….We will always miss you 🙏… #RipPapaWemba (Wiki nne tu zilizopita tulikuwa Paris, Akanishirikisha kwenye nyimbo yake, tukapanga mengi juu ya wimbo halaf ghafla naskia habari ya Msiba…Dah! nimesikitika sana, Hakika binadamu ni wazungumzaji tu ila Mwenyez Mungu ndio Mpangaji…Pumzika salama Kiongozi wetu daima tutakukumbuka🙏 #RipPapaWemba )

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us