VIDEO:Maswali na majibu bungeni leo, ishu ya wafanyakazi wa viwanda imemsimamisha Waziri | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 26, 2016

VIDEO:Maswali na majibu bungeni leo, ishu ya wafanyakazi wa viwanda imemsimamisha Waziri


April 25 2016 Bunge la 11 mkutano wa tatu limeendelea, na Waziri wa Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage alikuwa akijibu maswali ya wabunge.

Mbunge wa Moshi mjini, Japhary Michael aliuliza ‘Viwanda vingi vilivyobinafsishwa havifanyi kazi badala yake vimegeuzwa kuwa maghala ya kuhifadhia bidhaa mbalimbali na vimechakaa sana, aidha mafao ya wafanyakazi waliostaafishwa katika hawalipwi licha ya malalamiko ya muda mrefu, Serikali imejipanga vipi?’
Waziri Mwijage akajibu>>>’Wizara kwa kushirikiana na ofisi ya msajili wa hazina inaendelea na zoezi la kufanya ufuatiliaji na Tathmini katika viwanda na mashirika yaliyobinafsishwa ili kubaini kama masharti ya vipengele vya mikataba
Aidha, Serikali haiwajibiki kulipa mafao yoyote kwa wafanyakazi waliokuwa katika viwanda vya magunia na Kilimanjaro Timber UltilizationWaziri Mwijage

Aidha, Serikali haiwajibiki kulipa mafao yoyote kwa wafanyakazi waliokuwa katika viwanda vya magunia na Kilimanjaro Timber Ultilization Waziri Mwijage

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us