Hiki ndicho kilichomkuta Msanii Malaika | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 19, 2016

Hiki ndicho kilichomkuta Msanii Malaika


Staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Malaika Exavery

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Malaika Exavery hivi karibuni yalimkuta makubwa baada ya gari lake (Toyota Harrier Lexus) kunasa kwenye tope maeneo ya Kigamboni, Dar na kushindwa kutoka kwa muda na kusababisha umati umzunguke.

Akizungumza na Tzmpya blog Malaika anayetamba na Wimbo wa Raruararua alisema siku hiyo alikuwa akitoka kurekodi Kigamboni hivyo hakujua sehemu anayopita kutakuwa na matope mazito yatakayo-sababisha garilake likwame.

“Sijawahi kutokewa na tatizo kama lile, sikuwa nikijua chochote kuhusiana na njia ile mara nikajikuta gari likishindwa kutoka. Kila mtu alinionea huruma ila nashukuru kuna gari lilitokea na kunivuta,” alisema Malaika.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us