MATUKIO YALIOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 19, 2016

MATUKIO YALIOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2016.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali kutoka kwa Kiongozi wa upinzani bungeni  Freeman Mbowe , mjini Dodoma Mei 19, 2016.


Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo akiwasilisha Makadirio ya Matumizi ya wizara hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 19, 2016.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga kwenye viwanja vya bunge jini Dodoma Mei 19 , 2016. Wapli kushoto  ni Waziri wa Ardhi,, nyumba  na Maendeleo ya Makazi,, William Lukuvi na watatu kushoto ni Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bukoba Mjini Wilfred Rwakatare kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 19, 2016.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us