Kama ulikosa tuzo za Man United na wachezaji walioshinda, zipo hapa (+Pichaz&Video) | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 03, 2016

Kama ulikosa tuzo za Man United na wachezaji walioshinda, zipo hapa (+Pichaz&Video)


Mei 3 2016 klabu ya Manchester United ya Uingereza ilifanya na kutoa tuzo zake za mwaka kwa wachezaji ambao wamefanya vizuri katika msimu wa 2015/2016, Man Unitedwametoa tuzo hizo kwa wachezaji kama Marcus Rashford ambaye ameshinda tuzo ya mchezaji bora mwenye umri chini ya miaka 18 na golikipa wao David de Gea ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka.
Mshambuliaji wao kutoka Ufaransa waliomsajili akitokea Monaco Anthony Martial yeye alifanikiwa kushinda tuzo ya mfungaji wa goli bora la msimu, goli ambalo alilifunga katika mchezo dhidi ya Liverpool. Unaweza anagalia pichaz na list ya washindi wote hapo chini.
33C0656B00000578-3569787-image-m-38_1462230338200
Smalling akiwa na tuzo yake
33BFCB7600000578-3569787-image-a-39_1462230344165
Smalling na mpenzi wake
33C0C14800000578-3569787-image-m-30_1462230096929
33C0C14C00000578-3569787-image-m-32_1462230171776
33C070B500000578-3569787-image-m-12_1462225709459
Kutoka kushoto ni Wayne Rooney na Smalling
33BF9C6100000578-3569787-image-a-19_1462216085780
David de Gea na mpenzi wake kwenye Red Carpet
33BF996200000578-3569787-image-m-18_1462216070715
Wayne Rooney na mkewe
33BF9C6E00000578-3569787-image-m-40_1462218755415
Juan Mata na mpenzi wake katika Red Carpet
33C066B000000578-3569787-image-m-16_1462226068051
Marcus Rashford akiwa na tuzo yake katika picha ya pamoja na kocha wa Academy ya Man United Nicky Butt
V
List ya washindi wa tuzo za Man United 2015/2016
ChfSOVuWMAIUhhf
David de Gea na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka

source millard ayo.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us