HII NDIO HISTORIA FUPI YA ZARI THE BOSS LADY | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, June 05, 2016

HII NDIO HISTORIA FUPI YA ZARI THE BOSS LADY


“Habari mpya ni kwamba Diamond Platnumz atakuwa mgeni rasmi katika pati ya Zari All White Ciroc, najihisi niko sahihi kwa sababu sioni kama kuna ushindani wowote, huyu ni mtu wangu na itabaki kuwa hivyo,” 

Licha ya kumzidi miaka 10, Zari atangaza rasmi kuwa ni mtu wake wa karibu kwa sasa. 

Johannesburg/Dar. Baada ya kuukimbia ukweli kwa kipindi cha mwezi mmoja, mwanamuziki Diamond Platnumz amethibitisha kuwa na uhusiano baina yake na staa maarufu kutoka Uganda, Zari ‘The Boss Lady’ na kwamba atakuwa mgeni rasmi katika hafla yake ijulikanayo ‘Zari All White Ciroc’ itakayofanyika mwezihuu. 

Nyota huyo aliyevunja rekodi kwa kunyakua tuzo tatu za Channel O Music Video Awards (ChoMVA) wikiendi iliyopita, amekuwa akijadiliwa katika mitandao ya Tanzania na nje ya nchi kwa kuonekana na wanawake tofauti kila wakati, hali inayowachanganya mashabiki wake. Hata hivyo, Diamond hajasita kuelezea hisia zake za sasa na kwamba yupo tayari kuhudhuria hafla hiyo, inayotarajiwa kufanyika Desemba 18. “Nitakuwapo katika hafla hiyo, ni lazima nimuunge mkono, mbona kuna wengi wanaunga mkono na watu hawasemi, kama wanavyokaa kimya kwa wengine nahuku iwe vivyo hivyo,” alisema Diamond huku akishindwa kukiri moja kwa moja kwamba ana uhusiano na Zari, “waswahili wanasema A na B yote majibu.”>>>

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us