Kim Kardashian kumnusuru auza makalio kwenye ‘gift paper’ | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, June 20, 2016

Kim Kardashian kumnusuru auza makalio kwenye ‘gift paper’


Kim Kardashian.

NEW YORK, MAREKANI

KISTAAJABU ya Musa! Mwanamitindo na Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian ameamua kujikita kwenye ujasiriamali ambapo hivi karibuni aliibuka na biashara ya kuuza makalio yake kwenye karatasi za zawadi ‘gift paper’.


Makalio yake kwenye karatasi za zawadi ‘gift paper’.

Kim (32) ambaye ni mama wa watoto wawili, North na Saint aliozaa na rapa Kanye West, alianzia ujasiriamali kwa kutengeneza gift paper zikiwa na picha mbalimbali za sura zake, mumewe na mtoto wake, North.

Inaelezwa kuna kipindi alitengeneza gift paper zenye jina la Bae ambazo zilitumika kwa wingi kwenye harusi ya mwanamitindo, Lorraine Shwartz ambazo huziuza kwa Sh. 76,300.

 

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us