Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni kwa staili ya tofauti leo | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, June 21, 2016

Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni kwa staili ya tofauti leo



Wabunge wa upinzani katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania leo wameendelea na msimamo wao wa kususia vikao vya bunge lakini leo wamekuja na staili tofauti ambapo leo wameua kutoka nje ya ukumbi wa bunge kimyakimya bila kelele.

Inasemekana baada ya hapo wamepanga kufanya kikao kujadili mstakabali wa msimamo wao,wabunge hao wamedhihirisha dhahiri kwamba wamechoshwa na Uongozi wa bunge kupitia naibu spika Dkt.Tulia Akson

Inasemekana pia kwamba baada ya kikao walichoitisha wabunge hao wa upinzani,Watatoa tamko kupitia mbunge wa Vunjo,Mh.James Mbatia.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us