Bozi: Wa ku-date na mimi ajipange sana! | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, July 08, 2016

Bozi: Wa ku-date na mimi ajipange sana!




MSANII wa filamu Bongo ambaye pia anauza nyago kwenye video mbalimbali za wanamuziki, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema kutokana na maisha yalivyo, mwanaume anayetaka ku-date naye lazima ajipange sana.

Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Bozi alisema yeye kama msichana anayekwenda na wakati hawezi kukubali kujiweka kwa mwanaume kapuku kwa kuwa, ikiwa hivyo lazima atachepuka tu.

“Unajua sababu ya wasichana wengi kusaliti wapenzi wao ni kutotimiziwa na wapenzi wao, unaweza kukuta unahitaji hiki, ukimwambia baby wako anakuambia hana kitu, anatokea mtu anakuambia sema unachotaka unadhani kwa maisha ya sasa utakataa, lazima utasaliti tu,” alisema Bozi

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us