HEBU SOMA KAULI HII YA DIAMOND PLATINUMZ!!! LAZIMA UTAMKUBALI TUU CHIBU | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, July 01, 2016

HEBU SOMA KAULI HII YA DIAMOND PLATINUMZ!!! LAZIMA UTAMKUBALI TUU CHIBU


Msanii wa muziki, Diamond Platnumz ametoa kauli tata kuhusu uchawi na kuibua minong’ono mingi katika mitandao ya kijamii kuhusu wasanii kurogana.
Muimbaji huyo ambaye ana tuzo nyingi za kimataifa kuliko msanii yeyote nchini licha ya kukosa tuzo ya BET na kwenda kwa Black Coffee wa Afrika Kusini , alipost ujumbe wa ujio wa kazi yake mpya aliyowashirikisha wasanii wa kundi laP Square wa Nigeria huku akiwataka wenzake kutoa taarifa kwa waganga wao.

“Haya ongeeni vizuri na waganga wenu, baada ya siku nne naachia mashine nyingine,” aliandika Diamond kupitia twitter.

 Follow


Chibu Dangote @diamondplatnumz

Haya Ongeeni Vizuri na waganga wenu Baada ya siku nne simba Anaachia ile Mashine....

7:14 PM - 26 Jun 2016

  1821  4414


Kauli hiyo ya uchawi ambayo amekuwa akirudia rudia mara kadhaa katika mazungumzo yake, imewafanya mashabiki wa muziki kuamini kumbe wasanii wanatumia ndumba katika muziki wao.

Juni 5 mwaka huu, Diamond wakati akimtambulisha Rich Mavoko WCB, aliwataka waandishi wa habari kuacha kuchochea migogoro ya wasanii ili waganga na wao wapumzike.

“Watu wanapogombana tunaleta vita katika sanaa, familia, tuwapumzishe waganga na wao wanachoka, tunapeleka hela za bure,” alisema Diamond huku akicheka.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us