Rais Edgar Lungu Ashinda Uchaguzi Zambia | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 15, 2016

Rais Edgar Lungu Ashinda Uchaguzi Zambia

Rais Edgar Lungu.

RAIS Edgar Lungu ametangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Zambia kwa kupata asilimia 50.35 ya kura na kumshinda mpinzani wake, Hakainde Hichilema aliyepata asilimia 47.67.

Chama Kikuu cha Upinzani, UPND kimepinga matokeo hayo na kudai kura zimeibiwa.

Hakainde Hichilema ambae ni mara yake ya tano kugombea urais anadai kuwepo kwa udanganyifu wakati wa upigaji kura siku ya Alhamisi.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us