TAARIFA RASMI JUU YA SAKATA LA KUJIUZULU MANJI KWENYE KLABU YANGA | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 15, 2016

TAARIFA RASMI JUU YA SAKATA LA KUJIUZULU MANJI KWENYE KLABU YANGA

Ni kweli Mwenyekiti amekusudia kufanya hivyo kwa sababu anasakamwa , anatukanwa na kudhalilishwa na Makonda na Mzee Akilimali.

Lakini kibaya hakuna tamko kutoka kwa Mwana-Yanga yeyote aliyekemea hilo na kuonyesha kumuunga mkono MWENYEKITI .Hivyo anajiona mnyonge na amesuswa bora akae pembeni. . Hivyo tumewasiliana viongozi wa Kanda wote tumeamua Tuitishe kikao cha Dharula kesho SAA 4 Asubuhi pale makao makuu tutatoa Tamko la pamoja na wengine wataanza kuongea na vyombo vya habari Leo hii.

Hima Tuhamasishane tuwe pamoja kesho .Tuwasihi wanachama wetu wafike club.

Katibu Mkuu.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us