Dayna Nyange Adai Anapenda Kuvaa Nguo za Kuacha Kiuno Chake Wazi | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 05, 2016

Dayna Nyange Adai Anapenda Kuvaa Nguo za Kuacha Kiuno Chake Wazi



Msanii wa kike, Dayna Nyange amedai anapenda kuvaa nguo ambazo zinaacha wazi sehemu ya kiuno chake.
Dayna

Akizungumza katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times Fm, Dayna amewataka watu kuacha tabia ya kuingilia maisha ya watu wengine.

“Unajua usipende kumjaji mtu kwa mavazi, mimi si mvaaji wa vikaptula au vinguo vifupi napenda tu kuvaa nguo inayoniacha ‘kakiuno’ tu kidogo wazi, kwa sababu napenda” alisema Dayna.

Muimbaji huyo kwa sasa anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Angejua’.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us