Navy Kenzo wala shavu la ubalozi Airtel Tanzania | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, April 12, 2016

Navy Kenzo wala shavu la ubalozi Airtel Tanzania



Uwekezaji wao sasa umeanza kulipa. Kundi la Navy Kenzo limepata shavu la ubalozi wa promotion mpya ya Airtel.

Kundi hilo linaloundwa na Nahreel na mchumba wake Aika litakuwa balozi wa promotion ya Jipimie Airtel Yatosha.

“Tunapenda kuwataarifu rasmi kama Navy Kenzo ni Ambassador wapya wa #JipimieAirtelYatosha ambayo ni bundle mpya na za kipekee wewe kama mteja unaweza kujipimia chochote utakacho iwe dakika, sms au Mb pekee au vyote tu piga *149*98# #jipimieyatosha,” wameandika kwenye Instagram.


Navy Kenzo wamejipatia umaarufu Afrika kwa ngoma zao, Game na Kamatia zenye video kubwa na za gharama.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us