TANZIA:MBUNGE WA CHADEMA AFARIKI DUNIA | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, April 08, 2016

TANZIA:MBUNGE WA CHADEMA AFARIKI DUNIA


Binti Lissu

Christina Mughwai Lissu enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Singida, Christina Mughwai Lissu (CHADEMA) amefariki dunia leo kwa ugonjwa wa kansa. Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es Salaam.

Marehemu Christina ni dada wa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMEN

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us