Video fupi Toyota Hiace iliyozama baharini Dar es Salaam namna ilivyotolewa | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, April 21, 2016

Video fupi Toyota Hiace iliyozama baharini Dar es Salaam namna ilivyotolewa



Baada ya Jumatano ya April 20 2016 kuzama kwa gari ndogo aina ya Hiace ikiwa na watu wa wawili katika bahari ya Hindi eneo la Kigamboni, nimekutana na video fupi ikionesha namna kikosi cha uokoaji kilivyotoa Hiace hiyo baharini.
HIECEEEE122
Kama utakuwa unakumbuka vizuri usiku wa siku ambayo Daraja lilizinduliwa April 19 2016 ilitolewa taarifa ya gari moja aina Toyota Hiace yenye namba za usajili T271 CRG  kuserereka kutoka kwenye pantoni na kuzama baharini. Pantoni hilo lilikuwa likivuka kutoka Posta kuelekea Kigamboni Alfajiri ya April 20 2016.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us