Picha Diamond na Mafikizolo Walivyotinga Bungeni leo | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 12, 2016

Picha Diamond na Mafikizolo Walivyotinga Bungeni leo

May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha burudani Chuo kikuu Dodoma.


Tazama Video Hapa:

diamondplatnumz

1 hour ago

+ FOLLOW

Ilibidi kujikausha na kueka sura ya userious ili furaha isiwazidi tukaja haribu Hali ya hewa ikawafujo tukapelekwa Polisi bure kwa kusababisha Zogo Bungeni.... too Much Love thanks alot Our People .... Shukran sana Mh Waziri Nape Nauye kwa Mualiko huu #ColorsOfAfrica #Vodacom4G#VodacomOngeaDeilee

4699

156

POWERED BY INK361.COM

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us