TANZIA:MSANII MAARUFU WA VICHEKESHO KINYAMBE AFARIKI DUNIA | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 12, 2016

TANZIA:MSANII MAARUFU WA VICHEKESHO KINYAMBE AFARIKI DUNIA

Msanii aliyekuwa anakuja kwa kasi katika Tasnia nzima ya filamu za kuchekesha za bongo (Bongo comedy),Maarufu kama KINYAMBE ambaye jina lake Halisi ni JAMES PETRO NSEMWA  hatunaye tena duniani baada ya kufariki dunia jana usiku. 
 
Habari kutoka kwa ndani ya familia zinasema KINYAMBE amefariki Dunia  baada ya kuugua kwa siku kadhaa japo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa juu ya undani wa kifo cha staa huyo wa vichekesho nchini. Kinyambe ataendelea kukumbukwa kutokana na jitihada mbalimbali alizozifanya katika tasnia ya filamu za vichekesho hasa kwa staili na sauti yake ya uchekeshaji wa aina yake.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMINA.
(R.I.P.KINYAMBE)

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us