Ubonge wa Mwili Wamtesa Joyce Kiria, Ahofia Kuipoteza Ndoa yake. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 12, 2016

Ubonge wa Mwili Wamtesa Joyce Kiria, Ahofia Kuipoteza Ndoa yake.


MTANGAZAJI wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia EATV, Joyce Kiria ameweka wazi kuwa hivi sasa yuko kwenye mikakati ya kupunguza mwili wake ili asije kupoteza ndoa.
 Akizungumza na Amani Joyce alisema, amekuwa akiuweka mwili wake sawa ili usinenepe sana kwa kuwa hataki tena kuonekana mzee akawapa nafasi wasichana ‘potabo’ wakaingilia ndoa yake na kuipoteza.
“Akuu!! Kisa cha kujizeesha na mwili hata ukitembea na mumeo uonekane kama shangazi yake mimi sitaki kabisa, sasa hivi ni diet kwa kwenda mbele kila kukicha nisije kuwapa madungaembe nafasi ya kuingilia ndoa yangu,” alisema Joyce.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us