Lipumba ruksa kuwania umwenyekiti CUF | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, June 06, 2016

Lipumba ruksa kuwania umwenyekiti CUF

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kama aliyekuwa mwenyekiti wake wa Taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba anataka kugombea nafasi hiyo katika uchaguzi utakaofanyika Agosti 21, mwaka huu ruksa.

  Agosti 5, mwaka jana Profesa Lipumba alijiuzulu wadhifa huo akisema ataendelea kuwa mwanachama wa kawaida wa chama hicho.

Hayo yalisemwa jana na Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Shaweji Mketo alisema alipozungumza na waandishi wa habari.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us