ALICHOANDIKA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ KUHUSU WEMA SEPETU | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, July 11, 2016

ALICHOANDIKA MAMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ KUHUSU WEMA SEPETU


Mtu wangu wa nguvu najua mitandao ya kijamii ina nguvu sana siku hizi, jumapili ya July 10 2016 mama mzazi wa msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz amempost Wema Sepetu ambaye alikuwa ni girlfriend wa zamani wa Diamond Platnumz.

Picha aliyopost mama Diamond
kendrah_michaelUzalendo kwanza..umependeza sanaa mamy akee
Najua ni kipindi kirefu kimepita toka toka Diamond Platnumz na Wema waachane, tokaDiamond na Wema waachane ni kipindi kirefu kimepita na watanzania hawakuona upande wa Diamond wakimzungumzia Wema, lakini sasa hivi imekuwa sio ishu tena kwaWema kumpost mama Diamond na yeye kupostiwa na mama Diamond.

Picha aliyopost Romy Jons
Baada ya mama Diamond kupost alifuatia Romy Jons ambaye ni kaka yake naDiamond Platnumz, hiyo inaonesha kuwa upande wa Diamond Platnumz na Wema Sepetu hakuna tatizo kama ambavyo baadhi ya watu walikuwa wanaweza kuhisi.

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us