Kim Kardashian alipwa shilingi bilioni 1.5 kupiga selfie na mastaa hawa wa Instagram | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, July 20, 2016

Kim Kardashian alipwa shilingi bilioni 1.5 kupiga selfie na mastaa hawa wa Instagram



Wakati ambapo warembo wengi duniani hupiga selfie kuwafurahisha tu followers wao kwenye mitandao ya kijamii, Kim Kardashian anaingiza mkwanja mrefu.

 Tovuti ya Page Six imedai kuwa staa huyo mwishoni mwa wiki alilipwa $700,000 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kupiga selfie na mastaa Instagram huko Hamptons.

Kardashian, aliyepelekwa huko kwa ndege binafsi, alitokea kwenye Revolve Hamptons House huko Water Mill, LI, Jumamosi iliyopita na kupiga picha na mastaa hao maarufu Instagram kwa saa moja.

Kim pia alikuwa na walinzi 25 kumlinda. Kwa mujibu wa Forbes utajiri wa Kim sasa ni zaidi milioni 51. Hizi ni picha alizopiga na mastaa hao:










google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us