Mchungaji Feki na Waombewaji wawekwa Mikononi mwa Polisi DSM | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, July 24, 2016

Mchungaji Feki na Waombewaji wawekwa Mikononi mwa Polisi DSM

Anayejiita mchungaji David Mwamkinga amejikuta mikononi mwa polisi jijini Dar es Salaam baada ya ndugu wa baadhi ya wafuasi wa mchungaji huyo kuamua kuwatoa ndugu zao waliofungiwa ndani kwa zaidi ya miaka 10 , kwa lengo la kufanyiwa maombi kutokana na maradhi yanawasumbua.

Hatua hiyo inafuatia kilichoelezewa kuwa ni kuzidi kudhoofika kwa hali za waombewaji hao ambapo jeshi la polisi limeingilia kati na kufanikiwa kumkamata mchungaji huyo pamoja na wafuasi wake eneo la Magomeni Kagera na kuelekea nao kituoni.

credit

 MUUNGWANA BLOG

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us