Drake ataka kuzaa na Rihanna! | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 08, 2016

Drake ataka kuzaa na Rihanna!


STAA wa muziki kutoka Marekani ambaye ni raia wa Canada, Aubrey Graham ‘Drake’ kidizaini ameonesha kama kutaka kuanzisha familia na msanii mwenzake, Robyn

 Rihanna Fenty baada ya kutamka hadharani katika Ukumbi wa Air Canada Centre mjini Toronto.

Tukio hilo lilijiri katika moja ya ziara zake kati ya saba zinazofahamika kama OVO Fest ambapo akiwa katikati mwa shoo, Drake alishangaa Rihanna kumsapraizi kwa kuingia jukwaani na kumfanya aweke wazi.

“Hii ni mara ya pili umenionesha sapraizi ndani ya mji wangu, lazima nianzishe familia na wewe ya kuwa na watoto,” alisema Drake.

Rihanna anatajwa kuwa na Drake kwa sasa baada ya kuachana na Travis Scott, pia aliwahi kuwa na Chris Brown.


google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us