MWANAMKE AAMUA KUFUNGA NDOA NA MBWA WAKE BAADA YA KUACHANA NA MUMEWE | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 08, 2016

MWANAMKE AAMUA KUFUNGA NDOA NA MBWA WAKE BAADA YA KUACHANA NA MUMEWE

Baada ya ndoa yake kuingiwa na jini kisirani na kupelekea kuachana na mume wake , mwanamke huyu muingereza aliamua kufunga ndoa ya kifahari na Mbwa wake.

Mwanamke huyo aliejulikana kwa jina la Amanda Rodgers alifunga ndoa na mbwa wake ambae jina lake ni Sheba.

Tukio hilo la kustaajabisha lilihudhuriwa na watu wasiopungua 200, kushuhudia ndoa hiyo.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 46 alisema " Sheba amekuwa katika maisha yangu kwa miaka mingi sana, ananifanya niwe na furaha na anatioa mawazo pale napokuwa na huzuni,sifikirii kitu kingine zaidi ya yeye kuwa ndie mwenza wangu wa maisha"

Amanda aliolewa miaka 20 iliyopita na mwanaume, lakini ndoa yao ilidumu kwa muda mfupi sana,

Mwanamke huyo kwa sasa amebadilisha jina lake katika akaunti yake yaTwitter na anjiita @Shebarodgers

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us