Hebu ona majanga yaliyompata huyu dada baada, ya kujichora tatoo | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, August 08, 2016

Hebu ona majanga yaliyompata huyu dada baada, ya kujichora tatoo

 Mwandada anekwenda kwa jina la Torz Reynold mwenye umri wa miaka 26 anetokea nchini Uingereza ametoa kali ya mwaka baada ya kulipiza kisasi baada ya kugundua boyfriend wake amekuwa akimcheat.

Torz alikuwa amejichora tattoo yene jina la mpenzi wake huyo mkononi na ndipo alipo amua kuuimenya sehemu hiyo ya ngozi yake na kuiweka kwenye chupa na kuifunga kama zawadi na kumtumia huyo jamaa yake posta.

Inasemekana huyo bwana alimuwaga mpenzi wake kwamba amepata kazi Alaska na akaondoka huku mpenzi wake huyo alimsindikiza airport. Baada ya muda akisikia kutoka kwa marafiki zake kwamba huyo bwana yuko nchini UK anaishi na mwanamke mwingine. 

 Mkono wa Torz ukiwa na tattoo yenye jina la ex wake 'Chopper'

 Torz akionyesha kifaa alicho tumia kumenyea ngozi yake hiyo

 Torz akionyesha mkono wake baada ya shughul hiyo na kipande cha ngozi alicho menya

 Kipande cha ngozi kikiwa kwenye chupa tayari kupelekwa posta

 Alama iliyo bakia baada ya kutoka kipande cha ngozi kilicho kuwa na jina la 'Chopper'

 Majanga

Huyu ndiye bwana aliyetumia zawadi ya kipande cha ngozi chenye jina lake

Jamani tuweni makini na hizi tattoo na pia napenda kunukuu maneno

google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us