Mwenyekiti wa kijiji auawa kwa, kuchinjwa kama kuku MVOMERO. | KINGAZI BLOG

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, August 11, 2016

Mwenyekiti wa kijiji auawa kwa, kuchinjwa kama kuku MVOMERO.


Imetokea Morogoro Wilaya ya MVOMERO kijiji cha MAFURU kitongoji cha KIDIWA mwenyekiti wa kitongoji kwa jina GODFREY MPEKA  ameuawa kikatili na watu wanao sadikika kuwa ni wajamii ya wafugaji Mpaka mchana wa Tarehe 9 Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi na Afisa usalama wa Wilaya walikuwa katika eneo la tukio wakiwatafuta wauaji hao.

Mauaji hayo yametokea Mara Tu baada ya mwenyekiti kuwakamata ngombe walio kuwa wame ingizwa kwenye shamba la wanakijiji ndipo wafugaji walipo mkamata mwenye kiti na kumchinja kama kuku.

Angalia Video kisha usisahau Kubofya Subscribers hapo chini ya YouTube..





google+

linkedin

About Author
  • BLOG NAMBA MMOJA KWA MATANGAZO YA AJIRA NA NAFASI ZA KAZI TANZANIA. Soma zaidi

     

    Gallery

    Popular Posts

    About Us